- Thread starter
- #181
mamako amekupa taarifa zangu leo nilivyompga mti. NtakurogaPole dada... Labda jina lako ndo linaonekana kama la kiume. Lakini basi tu nao hawaelewi. Umeandika mwandiko wa kike kabisa huu. Hata ungejiita Juma lakini tone na mwandiko vya kike kabisa.. sema ulivyowachamba hapa hawarudia tena kusema we ni kama mwanaume.