Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 9,219
- 8,904
Afadhali waupige greda Kirumba wasimamishe stadium angalau ya 30,000 but modern one.Inaitwa afcon 2027 kwa jina tu lakini itachezwa January-February 2028
Uwanja utakuwa 100%..
Tanzania itahost magrupu 3 kati ya 6....
Moja Dar, pili Arusha, Tatu Zanzibar.
Kwa habari ya uwanja wa Dodoma ni siasa tu
Dodoma lengo lilikuwa zuri sema watendaji upeo wao sidhani kama unatosha, maana nyumba binafsi Dodoma zipo hovyo sana, hata mahoteli, kumbi za starehe, masoko na muunganiko wa miundombinu mingine imekaa kilocal sana.
Dodoma haina Downtown.
Mwanza kwanza, Dodoma labda kizazi kijacho, waende taratibu.