Ujenzi wa uwanja wa Afcon 2027 utakamilika?

Ujenzi wa uwanja wa Afcon 2027 utakamilika?

Kuandaa haya mashindano taifa linapata faida gani?
Faida ni kubwa
.itachochea sekta ya utalii kukua zaidi hapo pesa za kigeni tutapata nyingi tu
●Wafanyabiashara watanufaika sana maana bidhaa muhimu zitauzika kwa uharaka zaidi hivyo faida kubwa
Na mengine mengi km uwekezaji
 
Wapi sasa mkuu hakuna lolote watu washakula zao kitambo na waandishi washabinywa kende wasitoe taarifa kuhusu mradi
Kwahiyo hakuna chochote kinachofanyika pale mkuu?

Yaan kwamba hakuna mkandarasi yeyote ambaye yuko site?
 
Kwahiyo hakuna chochote kinachofanyika pale mkuu?

Yaan kwamba hakuna mkandarasi yeyote ambaye yuko site?
Ni gelesha tu washafunga hela watoe wapi maana mfalme ulizingua sijui walimunyima nini??
 
Kuna uwezokano nchi ikanyang'anywa uenyeji wa michuano hiyo na nchi nyingine hasa Rwanda ikapewa. Nchi ilikuwa imepandwa mzuka/mihemko kutaka kupewa kuandaa michuano hiyo na ikapewa zigo hilo! Sasa muziki wake umekuwa mnene na muda umebaki mchache uwanja na miundombinu yake haujakamilika. Mazingira ulipo uwanja huo ni porini/msituni/kichakani barabara na majengo ya huduma kuzunguka uwanja huo hayajajengwa na panatakiwa eneo hilo liwe kama mji mdogo uliochangamka
Watafosi itumike viwanja vilivyopo Zanzibar, kule Mwinyi yuko serious na ujenzi wa viwanja.
 
Watafosi itumike viwanja vilivyopo Zanzibar, kule Mwinyi yuko serious na ujenzi wa viwanja.
Yule nae miyeyusho tu amana niyakitambu capacity ni ndogo sana umekaa kizamani zamani wanashindwa kufanya marekebisho
 
Faida ni kubwa
.itachochea sekta ya utalii kukua zaidi hapo pesa za kigeni tutapata nyingi tu
●Wafanyabiashara watanufaika sana maana bidhaa muhimu zitauzika kwa uharaka zaidi hivyo faida kubwa
Na mengine mengi km uwekezaji
Nimeandika nikafuta
 
Kiwanja kimoja, bonanza,tena hata hiyo amahoro haikua hivyo
Kwa vigezo vya viwanja 2026, Tanzania tunavyo zaidi ya nane,chamazi,namungo,kaitaba,kmc,isamunyo,mkwakwani,kwaraa
Hivi hiki unachokiandika unakijua😅😂😂😂
Au unadhani Afcon ni ndondo cup
 
angekuwepo magufuri huo uwanja ungekuwa ulishaisha lakini hawa waliopo walishapiga pesa na wameshajenga majumba yao ya kifahari walitegemea kama kawaida wakipewa vimasada watadanganyishia
Hii nchi ina vituko sana kila mradi wanaouanzisha unakuwa kama n last born anajenga nyumba hv
Kwamba anasubiri kaka zake waje kutoka mjini Kisha awapeleke site wakague Maendeleo ya ujenzi Kisha wamuonee huruma wamchangie mifuko miwli ya saruji
 
Kwa mtazamo wangu huu uwanja hauwezi kukamilika sababu ni hizi

1)Kiwanja kipo maporini sana italazimika waanze kujenga miundombinu kama mabarabara , hospital , maduka n.k

2)Bajeti kubwa ya usalama hasa ulinzi mkali maeneo yote ya uwanja maana uko msituni

3)Pesa za afcon mkazitumia kwenye siasa mkasahau mradi kitawalamba tu .

4) Mradi umebakuza takribani miezi tu unadhani utakamilika pitch bado viti kufungwa bado kuweka mataa bado yaani ni zero

5) Mkandarasi akamatwe huwezi peleka kiwanja porini sisi sio sokwe .
6)Sasa mmeomba backup kutoka China wamalizie uwanja mshavurunda turudishe mpira kwa kipa wapewe rwanda.

Afcon inakuja kwenye nchi ambayo hata miundombinu kama barabara ni changamoto, maji hakuna, hospital hadi sasa hazijajengwa anyway ukichanganya siasa na michezo mwisho wa siku inakuaga hivyo .

Ukicheki uwanja wa kenya uko vizuri wamebakiza pitch tu wakamilishe facilities zingine nikumalizia tu
Uongozi mbaya husababisha miradi kufa .

Mliwambia how are you kumbe nahela hamna mlitegemea kukopa ili mkamilishe ujenzi , tajiri hanuniwi aya sisi yunataka uwanja ukamilike
Uwanja utakamilika bila shida yoyote
 
Kiwanja kimoja, bonanza,tena hata hiyo amahoro haikua hivyo
Kwa vigezo vya viwanja 2026, Tanzania tunavyo zaidi ya nane,chamazi,namungo,kaitaba,kmc,isamunyo,mkwakwani,kwaraa
Yaani CAF wataona watanzania wana matatizo ya akili endapo wataoneshwa hivyo viwanja ulivyoorodhesha ndio ifanyike mashindano ya AFCON
 
Kwa mtazamo wangu huu uwanja hauwezi kukamilika sababu ni hizi

1)Kiwanja kipo maporini sana italazimika waanze kujenga miundombinu kama mabarabara , hospital , maduka n.k

2)Bajeti kubwa ya usalama hasa ulinzi mkali maeneo yote ya uwanja maana uko msituni

3)Pesa za afcon mkazitumia kwenye siasa mkasahau mradi kitawalamba tu .

4) Mradi umebakuza takribani miezi tu unadhani utakamilika pitch bado viti kufungwa bado kuweka mataa bado yaani ni zero

5) Mkandarasi akamatwe huwezi peleka kiwanja porini sisi sio sokwe .
6)Sasa mmeomba backup kutoka China wamalizie uwanja mshavurunda turudishe mpira kwa kipa wapewe rwanda.

Afcon inakuja kwenye nchi ambayo hata miundombinu kama barabara ni changamoto, maji hakuna, hospital hadi sasa hazijajengwa anyway ukichanganya siasa na michezo mwisho wa siku inakuaga hivyo .

Ukicheki uwanja wa kenya uko vizuri wamebakiza pitch tu wakamilishe facilities zingine nikumalizia tu
Uongozi mbaya husababisha miradi kufa .

Mliwambia how are you kumbe nahela hamna mlitegemea kukopa ili mkamilishe ujenzi , tajiri hanuniwi aya sisi yunataka uwanja ukamilike
Nchi Ina viongozi wa ajabu sana.....
 
Kwamba wa Arusha 70+% umefeli na zenji wayafeli,nyi huwa wehu!?
Uwanja wa Arusha upo katika hatua nzuri kabisa. Changamoto ni hizo huduma nyingine.

Barabara distance ni ndogo tu, mwezi unatosha kufanya landscape nje ya uwanja na kuunganisha barabara kwa kiwango cha lami.

Kule itakuwa kama tunaenda sokoni na kurudi.

Ila kukamilika utakamilika kwa wakati.

Nje zinawekwa pitch 2 za mazoezi.
 
Yaani CAF wataona watanzania wana matatizo ya akili endapo wataoneshwa hivyo viwanja ulivyoorodhesha ndio ifanyike mashindano ya AFCON
Acheni kukurupuka,niliyemjibu ilikua ni kuhusu chan siyo AFCON
 
Mkandarasi ndio anatoa eneo la uwanja kujengwa??? Kwa akili hizi mzee Wassira ataendelea kushika nyadhifa tu
 
Kiwanja kimoja, bonanza,tena hata hiyo amahoro haikua hivyo
Kwa vigezo vya viwanja 2026, Tanzania tunavyo zaidi ya nane,chamazi,namungo,kaitaba,kmc,isamunyo,mkwakwani,kwaraa
Wanaongelea viwanja vya mpira sio hayo maboma ya kulisha kondoo unayo yataja hapo mvua ndogo tu ikinyesha ni majaluba ya mpunga.
 
Wanaongelea viwanja vya mpira sio hayo maboma ya kulisha kondoo unayo yataja hapo mvua ndogo tu ikinyesha ni majaluba ya mpunga.
Viwanja nilivyotaja ni vya nyasi bandia,jikite kulima hoho mkuu
 
Inaitwa afcon 2027 kwa jina tu lakini itachezwa January-February 2028
Uwanja utakuwa 100%..
Tanzania itahost magrupu 3 kati ya 6....
Moja Dar, pili Arusha, Tatu Zanzibar.
Kwa habari ya uwanja wa Dodoma ni siasa tu
 
Back
Top Bottom