BIG BROTHER ALEX
JF-Expert Member
- Sep 24, 2025
- 1,293
- 2,214
Eti kwenu kenya, kunduchi beach weweTulia kwenu kenya na njaa yenu kali
Eti kwenu kenya, kunduchi beach weweTulia kwenu kenya na njaa yenu kali
Magufuli alijenga uwanja gani?..alikamilisha mradi gani?angekuwepo magufuri huo uwanja ungekuwa ulishaisha lakini hawa waliopo walishapiga pesa na wameshajenga majumba yao ya kifahari walitegemea kama kawaida wakipewa vimasada watadanganyishia
Umeshiba au unashindia jaba?Eti kwenu kenya, kunduchi beach wewe
Umeona ulivo ZEZETA WEWE Yani sadio mane ukamchezeshe majaliwa stadium? Nimo NDANI nalia tuna VIONGOZI WA hovyo SANA, nalia KWA kweli INASIKITISHA sanaKiwanja kimoja, bonanza,tena hata hiyo amahoro haikua hivyo
Kwa vigezo vya viwanja 2026, Tanzania tunavyo zaidi ya nane,chamazi,namungo,kaitaba,kmc,isamunyo,mkwakwani,kwaraa
Kunduchi beach Iko upande gani dar?..hutumia barabara gani kuingia na kutoka mjini?Eti kwenu kenya, kunduchi beach wewe
We MWENYE viwanja vingi MBONA hukuomba uandae peke Yako ukajificha madakoni MWA Uganda na kenya?Kiwanja kimoja, bonanza,tena hata hiyo amahoro haikua hivyo
Kwa vigezo vya viwanja 2026, Tanzania tunavyo zaidi ya nane,chamazi,namungo,kaitaba,kmc,isamunyo,mkwakwani,kwaraa
Mane alicheza CHAN Rwanda 2016!?..acha kukurupuka ka'uharoUmeona ulivo ZEZETA WEWE Yani sadio mane ukamchezeshe majaliwa stadium? Nimo NDANI nalia tuna VIONGOZI WA hovyo SANA, nalia KWA kweli INASIKITISHA sana
Uganda na kenya ndiyo waliojificha kwa tz, maana kenya hata kiwanja chenye sifa hawakuwa nachoWe MWENYE viwanja vingi MBONA hukuomba uandae peke Yako ukajificha madakoni MWA Uganda na kenya?
NIMEKWAMBIA UMETAJA UWANJA WA MAJALIWA NIKAKUULIZA SADIO MANE AKACHEZE MAJALIWA STADIUM? WE SI NDIO UMEUTAJA?Mane alicheza CHAN Rwanda 2016!?..acha kukurupuka ka'uharo
Acha kurukia rukia hoja we punguani,nilimjibu aliyedaia Rwanda iliandaa chan peke yake 2016NIMEKWAMBIA UMETAJA UWANJA WA MAJALIWA NIKAKUULIZA SADIO MANE AKACHEZE MAJALIWA STADIUM? WE SI NDIO UMEUTAJA?
HAWAKUA NA KIWANJA? UNAFAHAMU UTARATIBU WA KUOMBA KUANDA MASHINDANO? HUWEZI OMBA WENYEJI HUNA KIWANJA, SASA WATU WA CAF WATAKAGUA WAPI? HUNA KIWANJA? HUNA AKILI WEWE BAKI KWENYE SIASA MPIRA HUUJUI KABLA TANZANIA HAJA OMBA WENYEJI YE NA WENZAKE WATU WA FIFA NA CAF WALIKUA WASHA FIKA HAPA NA WAKATEMBELEA VIWANJA KIKIWEMO CHA ARUSHA , AMIR ABEID, NA MI NILIKUWEPO HAPO UWANJANI KIPINDI HICHO NIPO ARUSHA, BAKI KWENYE SIASA HUKU SI MAHALA PAKO USILAZIMISHE, UNGE KUWA MKE WANGU NINGE KUA NAKULAMBA MAKOFI KILA SIKU, UBISHI TU WAKIJINGAUganda na kenya ndiyo waliojificha kwa tz, maana kenya hata kiwanja chenye sifa hawakuwa nacho
Unaelewa maana ya 'kiwanja chenye sifa'?!..una upeo mdogo sanaHAWAKUA NA KIWANJA? UNAFAHAMU UTARATIBU WA KUOMBA KUANDA MASHINDANO? HUWEZI OMBA WENYEJI HUNA KIWANJA, SASA WATU WA CAF WATAKAGUA WAPI? HUNA KIWANJA? HUNA AKILI WEWE BAKI KWENYE SIASA MPIRA HUUJUI KABLA TANZANIA HAJA OMBA WENYEJI YE NA WENZAKE WATU WA FIFA NA CAF WALIKUA WASHA FIKA HAPA NA WAKATEMBELEA VIWANJA KIKIWEMO CHA ARUSHA , AMIR ABEID, NA MI NILIKUWEPO HAPO UWANJANI KIPINDI HICHO NIPO ARUSHA, BAKI KWENYE SIASA HUKU SI MAHALA PAKO USILAZIMISHE, UNGE KUWA MKE WANGU NINGE KUA NAKULAMBA MAKOFI KILA SIKU, UBISHI TU WAKIJINGA
Huku hakuna njaa? Mbona tunalialia kwa wachina wasaidie pesa za ujenzi wa uwanja. Uwanja wenyewe watazamaji 30k tu lakini bado unatushinda tunataka kuwakopa pesa wachinaTulia kwenu kenya na njaa yenu kali
Ndivyo ilivyokua,sijui walinyimana nini na magu,akaingia mitiniYule mfalme awajengee uwanja ?? Tatizo tunapenda dezoo sana
Yaulize macho yako,na msingemuwa sasa hivi tungekuwa sawa na dubaiMagufuli alijenga uwanja gani?..alikamilisha mradi gani?
JibuYaulize macho yako
Kama wenyeji waliuwawa itakuwaje kwa wageniIpewe Rwanda yenye uwanja mmoja ipokwe Tanzania yenye viwanja vitatu tayari na cha nne kipo 70+%,we ni mtanzania?
Kuandaa haya mashindano taifa linapata faida gani?Hii fursa ikiondoka ndio basi tena, itabidi nchi isubiri miaka miaka mingi kuja kuandaa tena kama itakuwa tayari ina viwanja bora. Tatizo ni kuwa na viongozi wasiokuwa na maono ya fursa za nchi. Walipojenga uwanja wa mkapa waliona imetosha kumbe walitakiwa kujenga viwanja vingine katika majiji mengine ili iwe rahisi kuomba na kupewa kuandaa michuano mikubwa. Kuna michezo ya jumuiya ya madola, olimpiki na kombe la dunia lakini hakuna maono ya kujiweka tayari kuwa na viwanja vya michezo hiyo ili ukiomba kuandaa unapewa kwa kuwa tayari una viwanja