Ujenzi wa Subway Trains jijini Dar

Ujenzi wa Subway Trains jijini Dar

Underground subways za train zippo SA, Hivyo si sahihi kusoma Africa yote hamna
 
Nilikuwa naomba kuuliza,

Hivi kati ya BRT na underground (subway) trains, mradi upi ungeweza kuleta matokeo makubwa na ya haraka?

Foleni za Dar usipokuwa na roho ngumu unaweza ukadondosha chozi barabarani kama mtoto mdogo, especially kama unawahi appointment muhimu.

Pia tufahamishane; mradi wa BRT una bajeti ya kiasi gani? Na je, pesa hizo zingetosha kutekeleza mradi wa ujenzi wa subway hapa Dar?

Pia tufahamishane, ni nini kimesababisha miaka yote hii ya uhuru? Tumeshindwaje kuwa na ka-flyover walau hata kamoja tu hapa Dar despite the incredible necessity na hasara yote hii tunayopata kutokana na foleni?

DON FRANCIS


Kwa hali ya Tanzania na maliasili tulizonazo tuna uwezo kabisa w kuwa na vitu kama hivi.


ChinaRoads.jpg


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Tunashindwa kumaintain reli ya kati iliyojengwa na mkoloni tutaweza subway jamani!
 
Tuanze na treni za kawaida kwanza...kama hizi za kawaida tumeshindwa kuziendesha subway ni ndoto za alinacha!BRT ni jibu rahisi na dogo kwa swali gumu na refu hapa jijini Dar.
 
Definitely underground rail system ingeleta matokeo ya haraka sana. Lakini hatuwezi, na kama sikosei Africa nzima hakuna underground trains. Angalia hii; Mradi wote wa BRT, 21km, gharama yake ni USD 290m.

Source; http://www.worldbank.org/en/news/pr...em-benefit-300000-commuters-create-80000-jobs.

Wakati ujenzi wa ungerground rail system, Kilometre 1 tu inagharimu around USD 200m!!!

Source; http://railway-technical.com/finance.shtml
Kwa maneno mengine, ujenzi wote huu wa BRT tunaoufanya tungeweza kujenga kama kilometre moja tu ya underground rail network.

Kumbe basi MABILIONI YOTE wanayofisidi tunayoyajua na tusiyoyajua, tungeweza kuwa na kilometa nyingi zaidi za BRT Dar kama siyo subways!!
 
Hivi Tanzania ni Dar pekee? si ondokeni mrudi vijijini kwenu.

Mie niko kwetu Mkuranga.
 
Mkuu ni kujipanga tu.
Kama Ethiopia wenye njaa Kali choka mbaya wameweza sembuse sisi Tanzania

Mkuu umeongea kwa hisia kali ni kweli ethiopia hawana resource za kutosha kutushinda sisi ila kwa ss wale wana vitega uchumi kama ethiopian airliner ambayo wana fleet 56 hapo ni 787 dream liner na airbus wanazo sisi hata ndege moja ukiondoa ya Rais hatuna na jana nimesoma ktk taharifa zao wame order kutengenezewa fleet 36 ndio shirika lenye ndege na safari nyingi dunian linalotoka Africa. Sisi tuna kila kitu ya kuzizidi nchi nyiingi za Africa tatizo ufisadi na kukosa maaharifa. Adis kuna hotel five star za kutosha hakuna mkoa tz ambao una hotel nying na bora kama Adis Ababa.
 
Back
Top Bottom