Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,094
- 1,376
Umeme wa kueleweka kwanza, na maji safi ya bomba pia kwa wananchi wote wa TZ sio Dar peke yake...T hen ndio uanze kuwaza sijui ma fly over, subways na underground train.... Kwanza muweze maji tuu...
Jinsi ulivyoileta hii mada ndio picha halisi ya akili za Waafrika wengi na ndio maana likaitwa bara la giza!!
WAAFRIKA NDIVYO TULIVYO Nyani Ngabu
Jinsi ulivyoileta hii mada ndio picha halisi ya akili za Waafrika wengi na ndio maana likaitwa bara la giza!!
WAAFRIKA NDIVYO TULIVYO Nyani Ngabu
Last edited by a moderator: