Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

SGR Kwenda mwanza kwanza haina tofauti na ulivyojengwa uwanja wa ndege mkubwa chato
So tuseme, hawa wakoloni wa ujerumani nao hawakuwa na akili kuijenga reli hii ya zamani toka DSM mpka MZA?

Iko hivi

Ukiwa mza, unafika Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi kwa haraka, so mza ni very potential kufikwa na SGR haswa kwa nchi kama UGANDA kupitishia mizigo yao via Lake VIctoria

Mwanza naturaly ni business centre kwa mikoa ya Shinyanga, Mara, Kagera, Simiyu na Geita! So nilazma SGR ifike ili kurahisisha usafiri wa BIDHAA na watu kwa mkoa na mikoa jirani!

Kutokana na Population ya watu idadi ya mizigo inayotoka DSM kuja mwanza then kuelekea kanda yaziwa ni mingi, the same to bidhaa haswa mifugo, (ng'ombe) mbuzi kodoo pamoja na mazao kama pamba kutoka MZA (kanda ya ziwa) Kwenda DMS

Zingatia mwanza ni second largest city and second to contribute kwenye pato lataifa, it means biashara ipo!
 
So tuseme, hawa wakoloni wa ujerumani nao hawakuwa na akili kuijenga reli hii ya zamani toka DSM mpka MZA?

Iko hivi

Ukiwa mza, unafika Uganda, Kenya, Rwanda na Burundi kwa haraka, so mza ni very potential kufikwa na SGR haswa kwa nchi kama UGANDA kupitishia mizigo yao via Lake VIctoria

Mwanza naturaly ni business centre kwa mikoa ya Shinyanga, Mara, Kagera, Simiyu na Geita! So nilazma SGR ifike ili kurahisisha usafiri wa BIDHAA na watu kwa mkoa na mikoa jirani!

Kutokana na Population ya watu idadi ya mizigo inayotoka DSM kuja mwanza then kuelekea kanda yaziwa ni mingi, the sa me to bidhaa haswa mifugo, (ng'ombe) mbuzi kodoo pamoja na mazao kama pamba kutoka MZA (kanda ya ziwa) Kwenda DMS

Zingatia mwanza ni second largest city and second to contribute kwenye pato lataifa, it means biashara ipo!
Wakoloni walifanya upembuzi wa faida ya kujenga reli ya kati. walikuwa wanasombea pamba na manamba kutoka kanda ile Kuja kanda ya mashariki BAndarini na kwenye mashamba ya mkonge na mpira. Walisafirisha zana nzito za uchimbaji madini kutoka BAndarini Dsm. Hivyo usishangae kuona mkoloni Kajenga reli ya kati.

Sisi hatukufanya upembuzi yakinifu wa faida, idadi na aina ya mizigo itakayosafirishwa kutumia sgr kabla ya kuanza ujenzi. Hatukujuwa hatima ya Reli ya kati na malori baada ya ujio wa sgr sokoni
 
Ufisadi ndio maana reli ya TAZARA aitumiki ipatavyo. Matajiri wa Malori wanafissdo reli hiyo
Ku Promote matumizi makubwa ya Tazara Serikali ingejenga stations za tazara maeneo ya iringa karibu na misitu ya mbao, mbeya na tunduma ili mizigo na abiria watumie tazara zaidi na kuongeza tozo kubwa kwa malori yanayosafirisha mizingo kwa njia barabara. Hii ingelimda barabara zetu na kuongeza matumizi ya Tazara. Sasa hivi Tazara inapita maporini tu kisikokuwa na watu wengi wala mizigo, ni shaba tu.
 
Bangi ni zao zuri lakini linasumbua ukiamua kupitiliza....kipande cha Isaka Mwanza kishaanza. Ukiamua kuishia Tabora haina maana utashindwa...inawezekana ila ni kwa matumizi ya bangi au cocaine peke yake ndio utatoa maamuzi kama hayo
KINAWEZA KUSIMAMA NA KUBADILisha matumizi ya hela za kipande hicho zikatumike katika ujenzi wa miundo mbinu ya bandari kavu kule Tabora.

Nchi ni yetu sote, tumsaidie Rais namna ya kupunguza mikopo Badala ya kusema usikope bila kutoa njia mbadala. Tusidanganyane Tanzania hatuna hela ya kuendesha nchi na kujenga miradi mikubwa ya dodoma, sgr, bwawa, barabara, madaraja Na flyovers, madarasa ya watoto wetu, madawa, kuhudumia majeshi na watumishi kwa wakati mmoja. Wacha tukope tutalipa pole pole kwa pesa za utalii, uwekezaji kwenye viwanda, uchimbaji, uvuvi, kilimo cha mashamba makubwa, mifugo na usafirishaji.

Nchi yenye mali nyingi kama hii itapigwaje mnada, tusidanganyane. Sana sana watachukua migodi au bandari moja au mbuga moja au SGR YENYEWE kwa muda kadhaa kufidia deni Lao. Mtu mzima kama yule kusema nchi itapingwa mnada inatia mashaka kidogo
 
Dikteta alikuwa hashauriki, alilopanga ndilo alikuwa anatekeleza. Rot in hell Magufuli
Hii project aliyeanza kuipika ni Mkapa. JK alikaribia kuanza ila muda ukamtupa mkono. JPM aliikamisha tu. Tuache kuongea kama hatuna facts.
JPM kuna miradi mingine miwili alitumia nguvu za ziada...kuhamia Dodoma na Stigler gourge. Ila hata hii yeye sio muasisi wake
 
Hii project aliyeanza kuipika ni Mkapa. JK alikaribia kuanza ila muda ukamtupa mkono. JPM aliikamisha tu. Tuache kuongea kama hatuna facts.
JPM kuna miradi mingine miwili alitumia nguvu za ziada...kuhamia Dodoma na Stigler gourge. Ila hata hii yeye sio muasisi wake
Hata kuanza kipande cha Mwanza -Isaka kabla ya Makutopora -Nzega ni Mkapa ndiye alipanga?.

Nakubaliana na wewe kiasi kuwa SGR blue print iliandaliwa na Mkapa lakini issue ya kwenda Rwanda ni Magufuli ndiyo alilaIzimisha
 
Alichokuwa anakifanya ni sawa na baba mmoja mjinga ambae aliacha kumlipia ada mwanae ili anunue gari hadi mtoto akapoteza masomo, na baada ya kukunua gari akawa nyumbani anaacha sh. 3000 za matumizi na kwenye gari anatumia sh15,000 kuweka MAFUTA kwenye gari yake kupiga misele. Aliacha kupandisha mishahara hata mapolisi ili ajenge reli.
Kwahiyo kazi kuu naya msingi ya mapato ya serikali ni kulipana mishahara your very stupid sisi tunalipa kodi kwa ajili ya maendeleo siyo kwaajili ya kulipana posho na mishahara for nothing,mazuzu jifunzeni kujiajili kama mnaona mishahara ni midogo
 
Hata kuanza kipande cha Mwanza -Isaka kabla ya Makutopora -Nzega ni Mkapa ndiye alipanga?.

Nakubaliana na wewe kiasi kuwa SGR blue print iliandaliwa na Mkapa lakini issue ya kwenda Rwanda ni Magufuli ndiyo alilaIzimisha
JPM alijua hana control na future na alihisi kuna watu wataleta za kuleta. Akaamua kufanya vile ili mkiamua kuishia Tabora, Isaka mpaka Mwanza tuweke Makumbusho ya reli
 
Kwahiyo kazi kuu naya msingi ya mapato ya serikali ni kulipana mishahara your very stupid sisi tunalipa kodi kwa ajili ya maendeleo siyo kwaajili ya kulipana posho na mishahara for nothing,mazuzu jifunzeni kujiajili kama mnaona mishahara ni midogo
Mara nyingine muwe mnasoma na kupita tu siyo lazima u-comment. Ina sasa umeonyesha ni kiasi gani wewe ni popoma kwenye mambo ya uchumi na pato la taifa.

Kwa taarifa yako kipaumbele cha kwanza kwa taifa ni mishahara ya wafanyakazi kwa kuwa ndiyo wanaendesha nchi. Yaani wanajeshi, polisi, waalimu, mafaktari, Serikali za Mitaa etc.

Usishangae kuona pengine hadi 60% ya makusanyo ikienda kwenye mishahara na 20% ikienda kwenye miradi ya maendeleo na inayobaki ikilipa madeni ya serikali na riba
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Zambia kuna TAZARA mkuu au umesahau?
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)

Feasibility study ya mradi ilifanywa?
 
Irani ya uchaguzi ya chadema inasemaje kuhusu reli ya kati.

Kwahyo reli isijengwe probably kwasababu mkoa unaotoka upo nje ya network ya sgr.
huyu jamaa bana,
hujui reli kuu ina viunga vyake.
 
Hii project aliyeanza kuipika ni Mkapa. JK alikaribia kuanza ila muda ukamtupa mkono. JPM aliikamisha tu. Tuache kuongea kama hatuna facts.
JPM kuna miradi mingine miwili alitumia nguvu za ziada...kuhamia Dodoma na Stigler gourge. Ila hata hii yeye sio muasisi wake
Whatever the case, taaluma na ushauri makini vingetumika serikalini na bungeni, isingewezekana utekelezaji wa miradi yote hiyo kukubaliwa kuanzishwa kwa pamoja. Hapa ilitumika jeuri ya mtu mmoja kulitwisha taifa zigo la kutengua kiuno bila kujali uzima na ustawi wa wananchi.

Tanzania haina uwezo wa pesa wala wataalamu wa kuweza kusimamia kwa ufanisi utekelezaji kwa pamoja wa SGR, JNHPP, ununuzi wa ndege kwa cash na Dodoma miongoni mwa miradi mingine mingi ya uchumi. Lazima prioritization makini ingefanyika. Kuambiwa sisi ni nchi tajiri sana ilikuwa porojo mbaya sana ya kisiasa.

Mahangaiko ya taifa kuhusu miradi hiyo ndio kwanza yameanza. Itabidi serikali iwe makini sana na mwenendo mzima wa utekelezaji ili kuhakikisha hakuna ufisadi na kwamba maeneo mengine muhimu ya uchumi hayapati maumivu makubwa.

The honorable lady has very hard times ahead. She needs all the intellect, support and encouragement of everyone. The ongoing disarray in CCM and the threat posed by the opposition are not helping.
 
Whatever the case, taaluma na ushauri makini vingetumika serikalini na bungeni, isingewezekana utekelezaji wa miradi yote hiyo kukubaliwa kuanzishwa kwa pamoja. Hapa ilitumika jeuri ya mtu mmoja kulitwisha taifa zigo la kutengua kiuno bila kujali uzima na ustawi wa wananchi.

Tanzania haina uwezo wa pesa wala wataalamu wa kuweza kusimamia kwa ufanisi utekelezaji kwa pamoja wa SGR, JNHPP, ununuzi wa ndege kwa cash na Dodoma miongoni mwa miradi mingine mingi ya uchumi. Lazima prioritization makini ingefanyika. Kuambiwa sisi ni nchi tajiri sana ilikuwa porojo mbaya sana ya kisiasa.

Mahangaiko ya taifa kuhusu miradi hiyo ndio kwanza yameanza. Itabidi serikali iwe makini sana na mwenendo mzima wa utekelezaji ili kuhakikisha hakuna ufisadi na kwamba maeneo mengine muhimu ya uchumi hayapati maumivu makubwa.

The honorable lady has very hard times ahead. She needs all the intellect, support and encouragement of everyone. The ongoing disarray in CCM and the threat posed by the opposition are not helping.
Mimi si muumini wa kukata tamaa na kujisikitikia. Lililotokea limetokea na hakuna kurudi nyuma. Kilicho mbele yetu sasa ni kukamilisha miradi, na kuhakikisha tunawezesha kuanza shughuli za kiuchumi zitakazowezesha projects hizi kulipa.
Resources zote hizi zilizo nchi na nchi jirani, zinaweza kabisa kuwa na manufaa chanya kwenye hizi investments. Cha msingi ni kuwekeza kwenye akili zenye kutupeleka huko. Tukitegemea miujiza, tutafeli kama tulivyokwisha feli. Tukitegemea maajabu, hakuna bila mipangilio ya uhakika na nidhamu ya kuhakikisha mipangilio hiyo inawezekana.
Watanzania tubadilike. Tunafikiria kama tumewekwa kwenye chungu, toka mchana mpaka usiku.
 
Kwahiyo kazi kuu naya msingi ya mapato ya serikali ni kulipana mishahara your very stupid sisi tunalipa kodi kwa ajili ya maendeleo siyo kwaajili ya kulipana posho na mishahara for nothing,mazuzu jifunzeni kujiajili kama mnaona mishahara ni midogo
Ulivyozaliwa kuna mtu alimzalisha mama yako na kukata kitovu chako kukutenganisha na mama yako, hivi huyo mtu alifanya yote hayo bure bure kabisa. Wewe huna akili hata ya kubishania.
 
Whatever the case, taaluma na ushauri makini vingetumika serikalini na bungeni, isingewezekana utekelezaji wa miradi yote hiyo kukubaliwa kuanzishwa kwa pamoja. Hapa ilitumika jeuri ya mtu mmoja kulitwisha taifa zigo la kutengua kiuno bila kujali uzima na ustawi wa wananchi.

Tanzania haina uwezo wa pesa wala wataalamu wa kuweza kusimamia kwa ufanisi utekelezaji kwa pamoja wa SGR, JNHPP, ununuzi wa ndege kwa cash na Dodoma miongoni mwa miradi mingine mingi ya uchumi. Lazima prioritization makini ingefanyika. Kuambiwa sisi ni nchi tajiri sana ilikuwa porojo mbaya sana ya kisiasa.

Mahangaiko ya taifa kuhusu miradi hiyo ndio kwanza yameanza. Itabidi serikali iwe makini sana na mwenendo mzima wa utekelezaji ili kuhakikisha hakuna ufisadi na kwamba maeneo mengine muhimu ya uchumi hayapati maumivu makubwa.

The honorable lady has very hard times ahead. She needs all the intellect, support and encouragement of everyone. The ongoing disarray in CCM and the threat posed by the opposition are not helping.
Viongozi kutoka kanda ya ziwa tuwe na tahadhari nao kama taifa. Alichofanya jpm kinafanana na Alichofanya Mwl Nyerere mwaka 1978 alipotuingiza kwenye vita isiyo ya lazima na uganda na kutuaminisha kuwa uwezo wa kumpiga tunao, sababu na Nia ya kumpiga tunavyo pia. Lakini ona, kumbe ki uchumi hatukuwa na uwezo huo aliotuambia. Baada ya vita ile hali yetu ikawa mbaya hadi Leo. Jpm alitudanganya kuwa pesa za kujenga sgr, bwawa, Kuhamia dodoma, kujenga madarasa tunazo kumbe sio kweli.

Ni Heri kuwaambia watu ukweli ili wajiandae na hali kuliko kusema uongo. Sisi pesa tunazo kweli lakini ziko ardhini na baharini hatuwezi kuzitumia. Viongozi wetu walipuuza ushauri wa kuchimba chuma chetu kule liganga na mchuchuma, hivi sasa tungeijenga reli kwa kutumia chuma chetu wenyewe na kupunguza gharama za ujenzi.
 
Back
Top Bottom