Nondo 3 ni kobongobongo, siyo standard.Mm nilijenga yangu huku kijijin kwa hizo 3 nimezalia huko watoto wangu 2 na mpaka sasa ninaishi humu humu asubuh kwichi kwichi si za kitoto
Jenga tu mkuu 3 ni standard kabisa
Najaribu!duh sio kwa nondo hizo mzee, unajenga ghorofa nini?
Ndiyo zilifungwa na bangili na binding wire,pia nyumba ilikuwa na nguzo permanently zimetoka chini kabisa kwenye zege la mwanzo kabla hazijalazwa tofalo.swali,je nondo ulizifunga kwa bangili?
watu wengi mara nyingi wamekuwa wakichanganya lenta(lintel) na ring beam...lenta ni kipande kifupi tu kinachofungwa kwenye uwazi(openings) kama milango na madirisha, ring beam ni ile unafungu kuzunguka nyumba kwa kuzifuata kuta zote za nje na za ndani wengine huchagua kuta zinazobeba mzigo tu(load bearing walls).
turudi kwenye mada, ufungaji wa nondo kwa level ya juu pia hutegemea sana uzito utakaobebwa kutoka juu, tu-assume mzigo ni course chache tu za tofali na paa la kawaida la mbao na bati na kama mleta maada alimaanisha lenta kwa definition niliyotoa hapo juu pamoja na ukweli kwamba standards nyingi zinataka nondo nne lkn nondo tatu za 12mm kwa sura ya mzigo niliyoelezea hapo juu zinatosha kabisa lkn zifungwe pamoja na nondo au waya angalau wa 6mm, 8mm zinaweza tumika pia.
kama mleta maada lenta alimaanisha ring beam (kama wengi wanavyoichanganya lenta na ring beam) nondo tatu kwangu ni uharibifu wa hela (is a wastage of resources), nondo mbili za 12mm is more than enough.
kumbuka zege liwe la angalau lenye mchanganyo wa ratio ya 1:2:4 cement:mchanga:kokoto...hii kwa makadirio inakupa zege lenye nguvu ya 20Mpa au grade 20 au class 20 though itategemea na ubora wa mchanga na kokoto
Mkuu nondo tatu za 12mm au au 10mm?nondo 3 zinafaa kbsaa ila hao wanaokushauri nondo 2. kwanza wafikirie kazi ya nondo ktk hiyo linter.
Mkuu kwahiyo ushauri wako ni kwamba nondo mbili za 12mm zinaweza kutumika kwenye ring beam badala ya nondo tatu?watu wengi mara nyingi wamekuwa wakichanganya lenta(lintel) na ring beam...lenta ni kipande kifupi tu kinachofungwa kwenye uwazi(openings) kama milango na madirisha, ring beam ni ile unafungu kuzunguka nyumba kwa kuzifuata kuta zote za nje na za ndani wengine huchagua kuta zinazobeba mzigo tu(load bearing walls).
turudi kwenye mada, ufungaji wa nondo kwa level ya juu pia hutegemea sana uzito utakaobebwa kutoka juu, tu-assume mzigo ni course chache tu za tofali na paa la kawaida la mbao na bati na kama mleta maada alimaanisha lenta kwa definition niliyotoa hapo juu pamoja na ukweli kwamba standards nyingi zinataka nondo nne lkn nondo tatu za 12mm kwa sura ya mzigo niliyoelezea hapo juu zinatosha kabisa lkn zifungwe pamoja na nondo au waya angalau wa 6mm, 8mm zinaweza tumika pia.
kama mleta maada lenta alimaanisha ring beam (kama wengi wanavyoichanganya lenta na ring beam) nondo tatu kwangu ni uharibifu wa hela (is a wastage of resources), nondo mbili za 12mm is more than enough.
kumbuka zege liwe la angalau lenye mchanganyo wa ratio ya 1:2:4 cement:mchanga:kokoto...hii kwa makadirio inakupa zege lenye nguvu ya 20Mpa au grade 20 au class 20 though itategemea na ubora wa mchanga na kokoto
Mkuu ulitumiwa nondo ngapi hapa? 2 or 3 or 4 ?Hata mimi ni tofali za kuchomaView attachment 1254112
Kama ni banda la mbuzi ama kuku 3 sawa, ila kama unatarajia kulala wewe na watoto wako fuata kanuni za ujenzi, weka nondo 4Habari wakuu,katika kubana matumizi fundi kaniambia ujenzi wa lenta kwa kusuka nondo 3 unafaa,naomba ushauri wananzengo
Sio kwenu tu, ni kila sehemu.Ipo kwetu ina nondo moja tu.
Tatizo la madaftari hili kuna watu hawaweki kabisa lenta, kinapigwa ki slab flan uchwara kwenye madirishà na milango Tu na nyumba zina miaka Zaid ya 30 na bado zipo vizuri kabisa. Madaftari na uhalisia tofauti kabisaKitaalamu haufai kabisa.
Kwa sababu hiyo lenta(linta) ndiyo inapokea mzigo kutoka juu na kuleta msawazo wa jengo lako. Kwa sababu linta inapokea mzigo inatakiwa iipokee kwa usawa.
Kwanza kazi ya nondo ni nini kwenye linta??
Kazi ya nondo kwenye linta ni kuzuia kani(force) za mvutano ndani ya jengo lako!
Kwa nini sasa nondo tatu hazifai??
Ni kwa sababu standards zinashauri nondo lazima zifungwe symmetrically arranged. Ili zinapopokea mzigo na kuusambaza uwe sawa sawa.
Nondo tatu siyo symmetrically arranged. Sasa mzigo ukizidi kudogo tuu, jengo unaanza kuliona limeeanza nyufa na hata hiyo linta unaanza kuiona inapinda.
Suluhisho!
Ongeza nondo nyingine ziwe nne ili angalau ulete msawazo wa upokeaji wa mzigo na usambazaji wake.
Pia weka na nguzo kwenye kila kina na maungio ya jengo lako (kama ni nyumba kubwa na unataka idumu muda mrefu).
Ila kama ni banda tuu, komaa na aina ya ujenzi wako. Ila kama ni dream house, fuata hako kaushauri.
Msingi mil 21Mondo moja= 22000 sasa mkuu kwa nini kama uwezo huna usisubiri kidogo? Kwa nini ufanye kitu chini ya kiwango ukijua baadae kitaleta majanga?
Usinunuwe vifaa vyote kama uwezo huna.
Mwambie fundi akupe idadi ya vifaa andika kwenye karatasi.mf. Mwezi huu nunua nondo tu 15 ×22000 zinatosha.
Mwezi ujao nunua mabati etccccc
Bora ufanye kitu kidogo ila quality hata kama ukichelewa kumaliza.
Vifaa vya ujenzi vina gharama inategemea nyumba unayotaka kujenga.
Juzi kuna mtu mwenyewe mipesa yake aliniomba nitafutie fundi professional nimpeleke site anihesabie gharama na vifaa nimtumie budget, ahaa kwa nyumba anayoitaka msingi tu ni mil 21 vifaa sasa tukaenda dukani nikauliza bei ndo nilijua kujenga sio mchezo.
Samahan mkuu.2 mkuu
Hata keshokutwa haianguki pia.Ila keshokutwa yaweza kuanguka?