Ujenzi wa ghorofa moja tu

Ujenzi wa ghorofa moja tu

Sio lazima uwe na BOQ
ni lazima! ni vile tu wabongo tunafanya kazi kwa mazoea na kutofauta sheria, kanuni na taratibu zilizopo! naongea hivi kwa sababu mi ni mdau na nimeshiriki kwa namna moja au nyingine katika ku enforce taratibu hizo!
 
sikuwa na maana hiyo ila jinsi ulivyo jibu ilionyesha kama vile Indonesian haikaliwi na watu wenye ngozi nyeupe basi nikajua Indonesia inakaliwa na waafrika
Wala sio ugomvi mkuu ni joke tu usikasirike
hakuna sehemu niliyoandika nchi ya "Indonesia" au mwenzetu Dishi limeyumba kidogo?!
 
ni lazima! ni vile tu wabongo tunafanya kazi kwa mazoea na kutofauta sheria, kanuni na taratibu zilizopo! naongea hivi kwa sababu mi ni mdau na nimeshiriki kwa namna moja au nyingine katika ku enforce taratibu hizo!
Nabisha ! Sio lazima! ....

Wapi ushaenda Halmashauri unataka Building permit ukaulizwa BOQ?

Otherwise , uende bank kwa ajili ya Mkopo.....
 
Nabisha ! Sio lazima! ....

Wapi ushaenda Halmashauri unataka Building permit ukaulizwa BOQ?

Otherwise , uende bank kwa ajili ya Mkopo.....

Kila mdau wa kwa ujenzi amechomekea uwepo wake ili kumminya mjenzi yani gharama za awali zinakaribia robo ya bajeti ya ujenzi ni uonevu kwa kweli kil2 board ingepitisha ivi ktk jambo linalomlenga mlaji wa mwisho sijui ingekuwaje
 
Mkuu nafuta kwanza Land surveyor, akapime kiwanja chako then ile michoro & Data aipeleke kwa Townplanners wa Halmashauri husika kuidhinisha ule upimaji then utaanza kufanya taratibu wa kupata hati milliki ya kiwanja kutoka serikali za mitaa...

Ukimaliza hivyo , Tafuta Architect na umpeleke site kwa ajili ya kudesign nyumba unayotaka....

Architect akimaliza architectural drawings ,kwa kuwa ni ghorofa nakushauri umtafute structural Engineer kwa ajili ya structural drawings.....

Hiyo michoro yote hakikisha inakuwa stamped na uwe na kopi 2 with one original copy kwa ajili yako......

Architect na Engineer wakisha stamp michoro, unarudi Halmashari kwa ajili ya Building permit....

Mkuu hapo sasa ukishapata building permit...unipm ili nikuandalie BOQ kwa ajili ya kumanage cost za mradi wako......

Naamini umeelewa mkuu! Karibu!
Build with us!


Vp kama ulishafanyiwa kazi na surveyor na michoro ilishapitishwa ila bado kupata hati huwez kuendelea? Yaani, huwezi kufanyiwa architectural designs na ikapitishwa halmashauri iwapo tayari survey imefanyika ila bado hatua ya kupata hati?
 
Unatamani kulala juu ya ghorofa? Nchi kama Singapore watu wengi wanatamani japo siku moja tu walale nyumba ya chini, ground floor,Europe wengi wanatamani wangekua na uwezo wa kupata kiwanja ili wajenge nyumba ya chini! Anyway good lucky ila naamini ukisha lala ghorofani utaijua thamani ya kua na Nyumba ya chini,naongea kwa experience niliyoipitia.

= good luck
 
Mkuu nafuta kwanza Land surveyor, akapime kiwanja chako then ile michoro & Data aipeleke kwa Townplanners wa Halmashauri husika kuidhinisha ule upimaji then utaanza kufanya taratibu wa kupata hati milliki ya kiwanja kutoka serikali za mitaa...

Ukimaliza hivyo , Tafuta Architect na umpeleke site kwa ajili ya kudesign nyumba unayotaka....

Architect akimaliza architectural drawings ,kwa kuwa ni ghorofa nakushauri umtafute structural Engineer kwa ajili ya structural drawings.....

Hiyo michoro yote hakikisha inakuwa stamped na uwe na kopi 2 with one original copy kwa ajili yako......

Architect na Engineer wakisha stamp michoro, unarudi Halmashari kwa ajili ya Building permit....

Mkuu hapo sasa ukishapata building permit...unipm ili nikuandalie BOQ kwa ajili ya kumanage cost za mradi wako......

Naamini umeelewa mkuu! Karibu!
Build with us!


Vp kama ulishafanyiwa kazi na surveyor na michoro ilishapitishwa ila bado kupata hati huwez kuendelea? Yaani, huwezi kufanyiwa architectural designs na ikapitishwa halmashauri iwapo tayari survey imefanyika ila bado hatua ya kupata hati?

Mitaani hasa kwenye makazi mapya tunaona maghorofa mengi yanajengwa kwenye viwanja vya kupimiana kwa miguu tu. Hamna hizi process zaidi ya mkataba wa mauziano ambao unasimamiwa na serikali ya mitaa. Hapa naona mambo mengii
 
Mitaani hasa kwenye makazi mapya tunaona maghorofa mengi yanajengwa kwenye viwanja vya kupimiana kwa miguu tu. Hamna hizi process zaidi ya mkataba wa mauziano ambao unasimamiwa na serikali ya mitaa. Hapa naona mambo mengii
duuuuuu labda rushwa inapita sasa au wanafanyaje kama hawafati hizi hatua
 
Huwa natamani sana nilale kwenye ghorofa sasa katika pitapita zangu nikapata wazo la kujenga ghorofa moja chini kuwe sehemu ya kupikia tu na juu pa kulala.

Je naanzaje kupata vibali vya ujenzi? Kiwanja hakijapimwa lakini kipo maeneo ya makazi ya watu na wanaishi na kitanikosti kiasi gani kupata kibali na inawezekana kujenga hiyo floor ya juu kwa kutumia mshahara
Mshahara wako sh ngapi?? Weka range apa tuone!iyo Gorofa Unataka ya matofali ya kuchoma au ya kawaida au yale vibrated? Mpk sasa umekusanya mishahara mingapi na upo mkoa gani?
 
Mitaani hasa kwenye makazi mapya tunaona maghorofa mengi yanajengwa kwenye viwanja vya kupimiana kwa miguu tu. Hamna hizi process zaidi ya mkataba wa mauziano ambao unasimamiwa na serikali ya mitaa. Hapa naona mambo mengii

Mimi nilimaanisha kama mtu una eneo kubwa la kutosha (siyo katika mitaa iliyobanana unayoirejea), na surveyor amelipima na mchoro umeshapitishwa kabisa lakini bado mchakato wa hati, je unaweza anza mchakato wa architectural designs na mengine ili kujenga ghorofa?
 
Mitaani hasa kwenye makazi mapya tunaona maghorofa mengi yanajengwa kwenye viwanja vya kupimiana kwa miguu tu. Hamna hizi process zaidi ya mkataba wa mauziano ambao unasimamiwa na serikali ya mitaa. Hapa naona mambo mengii

Mimi nilimaanisha kama mtu una eneo kubwa la kutosha (siyo katika mitaa iliyobanana unayoirejea), na surveyor amelipima na mchoro umeshapitishwa kabisa lakini bado mchakato wa hati, je unaweza anza mchakato wa architectural designs na mengine ili kujenga ghorofa?

Hapa nakuelewa sasa.
 
Huu uzi kila nikitaka kuweka picha inakataa
 
Back
Top Bottom