Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,907
Habari Wakuu.
Kwa mujibu wa EWURA wanaoratibu kampuni zitakazoshirikishwa kwenye ujenzi wa Bomba la Mafuta la Uganda kutoka Hoima hadi Tanga,wameinesha kusikitishwa na muamko mdogo wa kampuni za Kitanzania zilijitokeza kusajiliwa.
Licha ya usajili kuwa bure na elimu kutolewa lakini ni makampuni 200 plus tuu ya Kitanzania yamejitokeza dhidi ya makampuni zaidi ya 2,000 kutoka Uganda.
EWURA ndio imepewa mamlaka kisheria kuratibu hili zoezi.
Ikiwa ujenzi umeanza na robo tatu ya ujenzi utafanyika Tanzania lakini ndio hivyo tena WaTzn tunasubilia kuja kulalamika,kulaumu na kutukana Serikali.
Sijui nani alituroga au ndio hatuna uelewa wa haya mambo au?
Msije kusema hamkuambiwa.Soma hapo chini 👇
Kwa mujibu wa EWURA wanaoratibu kampuni zitakazoshirikishwa kwenye ujenzi wa Bomba la Mafuta la Uganda kutoka Hoima hadi Tanga,wameinesha kusikitishwa na muamko mdogo wa kampuni za Kitanzania zilijitokeza kusajiliwa.
Licha ya usajili kuwa bure na elimu kutolewa lakini ni makampuni 200 plus tuu ya Kitanzania yamejitokeza dhidi ya makampuni zaidi ya 2,000 kutoka Uganda.
EWURA ndio imepewa mamlaka kisheria kuratibu hili zoezi.
Ikiwa ujenzi umeanza na robo tatu ya ujenzi utafanyika Tanzania lakini ndio hivyo tena WaTzn tunasubilia kuja kulalamika,kulaumu na kutukana Serikali.
Sijui nani alituroga au ndio hatuna uelewa wa haya mambo au?
Msije kusema hamkuambiwa.Soma hapo chini 👇