Ujenzi wa barabara Arusha nani apewe sifa?

zomba naona nimekufikisha!unadhani bila
uwepo wa chadema arusha barabara hizi zingejengwa au hizi fedha zingeishia mikononi mwa mafisadi?

Kwani ujenzi wa barabara za Arusha umeanza jana au juzi? huu si muendelezo tu.

Hiyo ya fedha kuishia mikononi mwa watu, hayo mambo ya wakati wa Mkapa, Mwinyi na Nyerere, sasa hivi kuna Jakaya Mrisho Kikwete "action speaks louder than words".
 
Kwani ujenzi wa barabara za Arusha umeanza jana au juzi? huu si muendelezo tu.

Hiyo ya fedha kuishia mikononi mwa watu, hayo mambo ya wakati wa Mkapa, Mwinyi na Nyerere, sasa hivi kuna Jakaya Mrisho Kikwete "action speaks louder than words".

ujenzi huu wa sasa ni wa ''mafuriko'' lazima kuna shinikizo la kisiasa .
 
kwa muda wa mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia barabara za katikati ya mji wa arusha zikiwekwa lami kwa kasi ya ajabu.tukifumbia macho mambo mengine mengi tunaweza kuita haya yanayoendelea arusha nimafanikio makubwa.
Swali langu ni moja na jepesi tu,
JE KWA MAFANIKIO HAYA NI CHAMA KIPI KINASTAHILI SIFA KATI YA CCM NA CHADEMA?

sifa wapewe mukama na mhe. wassira.
Kwi kwi kwi........!
 
kwa muda wa mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia barabara za katikati ya mji wa arusha zikiwekwa lami kwa kasi ya ajabu.tukifumbia macho mambo mengine mengi tunaweza kuita haya yanayoendelea arusha nimafanikio makubwa.
Swali langu ni moja na jepesi tu,
JE KWA MAFANIKIO HAYA NI CHAMA KIPI KINASTAHILI SIFA KATI YA CCM NA CHADEMA?

Wananchi walipa kodi ndio wanaotakiwa kupewa sifa kabla ya chochote,na vyama vinatokana na wananchi hao hao pia kodi kwa ajili ya maendeleo ya taifa inachangwa kutoka kwa wananchi hao hao.
 
kwa muda wa mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia barabara za katikati ya mji wa arusha zikiwekwa lami kwa kasi ya ajabu.tukifumbia macho mambo mengine mengi tunaweza kuita haya yanayoendelea arusha nimafanikio makubwa.
Swali langu ni moja na jepesi tu,
JE KWA MAFANIKIO HAYA NI CHAMA KIPI KINASTAHILI SIFA KATI YA CCM NA CHADEMA?

mbona ni rahisi sana kipi kinachotekeleza ilani ya uchaguzi ?
 
ujenzi huu wa sasa ni wa ''mafuriko'' lazima kuna shinikizo la kisiasa .

Ushaambiwa juu huko ni mkopo wa World Bank ulioombwa zamani za sasa umefanikiwa, ni kipi unachoshindwa kuelewa?

Na zile Kilomita zaidi ya 11,000 Tanzania nzima ni shinikizo pia? Nenda kaone Singida mitaa yote inatiwa lami, Magufuli anakwambia katika Afrika kwa sasa Tanzania ndiyo inaongoza kwa miradi ya barabara za lami, uko wapi wewe?

N ama highway yanayokuja Dar? au hujapita Morogoro Road Dar., kuona ujenzi ulivyoanza kwa kasi?
 
Wananchi walipa kodi ndio wanaotakiwa kupewa sifa kabla ya chochote,na vyama vinatokana na wananchi hao hao pia kodi kwa ajili ya maendeleo ya taifa inachangwa kutoka kwa wananchi hao hao.

Jakaya Mrisho Kikwete anastahili kila pongezi jinsi alivyobadili sekta ya barabara Tanzania, hakuna wa kabla yake aliyefanya hata nusu ya anayoyafanya yeye, si katika barabara tu, katika nyanja zote. Leo Arusha kuna vyuo vikuu.
 
Unaulizwa swali jingine unajibu vingine kabisa. Kuwa mkweli.

Zomba , barabara zote zinazozungumziwa zipo katikati ya jiji. Na zipo kwenye kata zinazoongozwa na madiwani wa cdm. Kata ya Levolosi na Ngarenaro zinapojengwa hizo barabara zinaongozwa na madiwani wa cdm. Kwahiyo sifa wapewe cdm.
Nadhani hilo ndilo jibu ulilolitaka!
 
Zomba , barabara zote zinazozungumziwa zipo katikati ya jiji. Na zipo kwenye kata zinazoongozwa na madiwani wa cdm. Kata ya Levolosi na Ngarenaro zinapojengwa hizo barabara zinaongozwa na madiwani wa cdm. Kwahiyo sifa wapewe cdm.
Nadhani hilo ndilo jibu ulilolitaka!

Na fedha yote inatoka kwenye Serikali ya chadema au sio? Na chadema ndio wali "negotiate" na World Bank au sio?
 
Kama nisivyoweza kumsifu baba kwa wajibu wake wa kuleta chakula nyumbani ndivyo nisivyoweza kumsifu mleta lami, kwa sababu hii haki kwa miaka zaidi ya 40 angetakiwa awe anafanya kitu kingine si barabara tena
 
Ni bahati mbaya hoja hii ya inatolewa na mwana JF. Mtoa hoja anapaswa kufahamu kuwa public goods hugharimiwa na Serikali? Hoja ya sifa haina nafasi hapa ni wajibu wa saerikali kufanya hivyo.
 
Jakaya Mrisho Kikwete anastahili kila pongezi jinsi alivyobadili sekta ya barabara Tanzania, hakuna wa kabla yake aliyefanya hata nusu ya anayoyafanya yeye, si katika barabara tu, katika nyanja zote. Leo Arusha kuna vyuo vikuu.

vyuo vikuu unavyovisema ni vya serikali? La hasha! Hivyo huwezi kumsifia jk kwa hilo na kuhusu barabara hela zilishatoka wakazitumia wajuavyo, baada ya lema kutuma barua kuulizia hiyo hela ndio serikali imeanza kuzitengeneza,wamepewa miezi 3 baada ya hapo kuna watu kutoka wb watakuja kukagua
 
Ni bahati mbaya hoja hii ya inatolewa na mwana JF. Mtoa hoja anapaswa kufahamu kuwa public goods hugharimiwa na Serikali? Hoja ya sifa haina nafasi hapa ni wajibu wa saerikali kufanya hivyo.

mangapi yanayotakiwa kufanywa na serikali hayafanyiki mpaka kelele za wanasiasa zipigwe.nimeleta hii changamoto kwa kuwa wakati wa kampeni ni lazima tutasikia kuwa ''tumejenga barabara'' au 'bila sisi barabara hizi zisingejengwa''
wewe kama great thinker unaona ni nani ana haki ya kujisifu?
 
kwanza,CHADEMA,pili GODBLESS LEMA,aka, kiboko ya pinda).tatu madiwani wote wa chadema.fungu la ujenzi wa barabara huwa linatolewa au lilishatolewa longtime ila yule mbunge wa magamba anaitwa mrema alipiga crosi akaenda kununua shamba lake la maua na kunashule anajenga njiro sasahivi.kama sio chadema hii nchi sasahivi sijui ingekua imebaki na nini,wangeuza mpaka wake zetu.

kabisa kaka hizi barabara zingekua tayari long time sana vile tu wachumia tumbo waliingilia big up kamanda lema!
 
Back
Top Bottom