Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Uongozi uliopo madarakani upewe sifa, kwakuwa sio kila anayepeleka maombi huko WB anakubaliwa wengine wanapigwa chini maana funds zao ni limited na mahitaji ni unlimited after all mkopo hapewi mtu asiyeweza kurejesha.