Sorrow to Joy
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 292
- 59
nasikia huyo mkurugenzi na kundi lake wameondolewa kwa kashfa ya rushwa.
Walishindwa kumpitisha yule mwanamke katika uchaguzi na inaaminika kuwa wana urafiki na LEMA wa CDM. Unajua aliko Mateo Basilio baada ya ule uchaguzi????