The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Safi wamesikiliza mawazo yetu ya Serikali kuanza ujenzi bila kusubiria wanaoitwa Wawekezaji..Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo katika mwaka ujao wa fedha. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa alibainisha jana kuwa hawatalazimika kusubiri zaidi wawekezaji
Ushauri hizo industrial parks ziwekewe miundombinu yote kama kule kwala investors watakuia wenyewe bila masharti ya ajabu ajabu..
Hope by 2030 itakuwa imekamilika .