Ujenzi DART Dar es Salaam, Serikali iko likizo?

Ujenzi DART Dar es Salaam, Serikali iko likizo?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,590
Reaction score
28,571
download-1.jpeg
download.jpeg

Siyo siri, ujenzi wa mradi wa Dar es salaam Rapid Transport(DART), una matatizo makubwa.

Mkandarasi barabarani hana vifaa kabisa vya kukidhi kazi hizi kubwa.

Kwa observation ya wazi ni kwamba mkandarasi mchina, kwanza hana uwezo.

Pili linaloigusa Serikali moja kwa moja ni kwa nini mkandarasi au hawa wakandarasi wa kichina wamefumua jiji zima la Dares salaam.

Hizi ni dalili ya poor project management kwa upande wa serikali.

Haingii akilini, kwamba kuna mtu serikalini, anaona yanayoendelea sasa Jijini na yuko kimwa utafikiri kila kitu kiko sawa.

Wananchi wameanza kulalamika kupoteza muda barabarani, magari kuharibika kwa mashimo mengi ya barabara za mchepuko.

Kiujumla miradi hii ni aibu kwa Taifa.
 
Watu washapiga 25 percent yao hapo wametulia saivi wananunua mahekalu Dubai huko.. So mkandarasi atajenga kwa standards anazozijua yeye sio standards zinazotakiwa.

Mkiambiwa chama chenu CCM ni laana element.
 
Watu washapiga 25 percent yao hapo wametulia saivi wananunua mahekalu Dubai huko.. So mkandarasi atajenga kwa standards anazozijua yeye sio standards zinazotakiwa.

Mkiambiwa chama chenu CCM ni laana element.
Serious allegations.
Lakini wananchi tunataka kuona miradi hii ya DART ikamilike mapemana kero tunazoziona sasa zimalizike.
 
Waheshimiwa muda mwingi wanatumia Airport, BTW mkandarasi anaenda na kasi ya Serikali, maana hata akiangalia route zilizokamilika hakuna gari sasa kwa nini ajifanye kihere here akimbize mradi kwa spidi.?!
 
Serious allegations.
Lakini wananchi tunataka kuona miradi hii ya DART ikamilike mapemana kero tunazoziona sasa zimalizike.
Rushwa inapotamalaki kamwe miradi haitakamilika kwa mapema kwa wakati na hata ikikamilika haitakuwa na viwango vya ubora vinavyotakiwq ili miradi husika idumu na kuwa bora kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom