Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,190
- 21,324
Kwanini unasema alikiwa right...tufungulie na sisi kile tusichokionaMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Wewe unamwamin kuwa mkataba ulikuwa unasema hivo ?Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Rudia kusoma na ujikite kwenye hoja ...Bandari, Mkalimani hujui kuandika, unajua nini kuhusu mikataba?
Kajifunze kuandika kwanza
Kwani walipitia huo mkataba wakaona kweli ...Kwa maneno yake ni kweli mkataba ulikuwa mbovu lakini tuliuona mkataba au changa la mwendazake
Mkuu lazima tujiulize nani aliyempotosha mh raisi ..Kazi ipo
Niliamini ungesema kidogo kwa nini alikuwa sawaMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Wekeni hadharani mktaba huo ujadiliwe na tanuru la fikra kisha majibu watayapata kwa uamuzi ulio sahihi.Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamin huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwan kuna mtu aliyeuona huo mkataba ?wabunge je ?
Uzi tayari
Naunga mkono hoja, hapa kwenye hii bandari panapaswa kuangalia interest za nchi kwanzaMagufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Alikua right kwa hoja zipi?Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right