Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,748
- Thread starter
- #101
Chief... mwaga madini bhana. Mbona wadodosa dodosa tuVikundi vya kigaidi ni zao la CIA kwa maslai ya nchi zao.
Shukrani chief... tuko pamojaAsante mkuu Habibu B. Anga kwa makala pia pole kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wako kwenye makala ile
Bila shaka chiefMkuu nimesubscribe uzi ila pia naomba uni add kwenye taglist
Unamuongelea al-zawahiri yupi? Muhammad al-Zawahiri au Ayman al-Zawahiri??Mimi atakaye ni ambia Al zawahir yule namba mbili wa Usama yuko wapi? Na anafanya nini? Akija na story kuwa hivi vikundi vya kigaidi chanzo chake ni nini, kwa faida ya nani? Basi huyo ndiye ni takaye muamini katika habari za hivi vikundi vya itikadi kali za kiislam . Tusisahau habari ya kuuwawa kwa Usama ndiyo iliyompa kiulaini Obama kipindi cha miaka 4 ya pili katika kuiongoza USA kama rais.
Pamoja sana kiongozi
Ndio maana jiwe hapindui kwake kila kitu anaomba msaada kwa Tolu.Kama ile thread ya The Richest Man ndo imekufa kibudu hv basi kweli Jirani ana ushawishi mkubwa sana kwenye hizi nchi za maziwa makuu...Yaani hata kuandikwa tu anatoa amri kuwa asiandikwe na inatekelezwa....Duu ama kweli....Pole The Bold...wasije tu wakawa wamekubinya naniii mkuu wangu maana hawachelewi.
Unamuongelea al-zawahiri yupi? Muhammad al-Zawahiri au Ayman al-Zawahiri??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni akili za kukubali jambo bila kufikiri!Heshima yako mkuu,
Hebu tuandikie hiyo makala kuhusu Al-Qaida kuwa "kazi" ya CIA tufaidi hiyo ilmu chief...
Kama unasema hili kwa sababu tu umesikia watu wanasema hivyo but hjui kwa nini basi nitakusaidia kukupa sababu kwanini watu wanadhani al-qaida ni kazi ya CIA kisha nitakuchambulua hiyo sababu na kukupa udhaifu wa hiyo sababu/hoja.
Nakukaribisha tuufanye huo mjadala hapa sasa hivi.
Hakuna haja ya kutumia lugha kali wala ya maudhi... tujadili tu kama watu tunaopeana ilmu. Karibu chief
Sent using Jamii Forums mobile app