Ujasusi Sebuleni Kwetu

Ujasusi Sebuleni Kwetu

Mimi atakaye ni ambia Al zawahir yule namba mbili wa Usama yuko wapi? Na anafanya nini? Akija na story kuwa hivi vikundi vya kigaidi chanzo chake ni nini, kwa faida ya nani? Basi huyo ndiye ni takaye muamini katika habari za hivi vikundi vya itikadi kali za kiislam.

Tusisahau habari ya kuuwawa kwa Usama ndiyo iliyompa kiulaini Obama kipindi cha miaka 4 ya pili katika kuiongoza USA kama rais.
 
Kama ile thread ya The Richest Man ndo imekufa kibudu hv basi kweli Jirani ana ushawishi mkubwa sana kwenye hizi nchi za maziwa makuu...Yaani hata kuandikwa tu anatoa amri kuwa asiandikwe na inatekelezwa.

Duu ama kweli....Pole The Bold...wasije tu wakawa wamekubinya naniii mkuu wangu maana hawachelewi.
 
Mimi atakaye ni ambia Al zawahir yule namba mbili wa Usama yuko wapi? Na anafanya nini? Akija na story kuwa hivi vikundi vya kigaidi chanzo chake ni nini, kwa faida ya nani? Basi huyo ndiye ni takaye muamini katika habari za hivi vikundi vya itikadi kali za kiislam . Tusisahau habari ya kuuwawa kwa Usama ndiyo iliyompa kiulaini Obama kipindi cha miaka 4 ya pili katika kuiongoza USA kama rais.
Usama ndio nani mkuu?
 
Mimi atakaye ni ambia Al zawahir yule namba mbili wa Usama yuko wapi? Na anafanya nini? Akija na story kuwa hivi vikundi vya kigaidi chanzo chake ni nini, kwa faida ya nani? Basi huyo ndiye ni takaye muamini katika habari za hivi vikundi vya itikadi kali za kiislam . Tusisahau habari ya kuuwawa kwa Usama ndiyo iliyompa kiulaini Obama kipindi cha miaka 4 ya pili katika kuiongoza USA kama rais.
Vikundi vya kigaidi ni zao la CIA kwa maslai ya nchi zao.
 
Back
Top Bottom