Ujasusi Sebuleni Kwetu

Ujasusi Sebuleni Kwetu

NEXT EPSODE:itakua samahani kwa usumbufu siwezi endelea na hii makala sababu familia ya Ghailani kule zanzibar wameona inawadisturb maisha yao kwahyo basi sitaendelea nayo na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeambiwa nisiendelee.😀😀😀 hii makala nayo haiishi na nilijua tu ukikatisha ile ya kagame basi itafuata hii ya 1998 balozi kulipuliwa halafu nayo itakatishwa next epsode.
😂😂😂😂
 
Habib amekuwa mhuni mhuni sana siku hizi
Hizi mada zina unyeti sana zinagusa maeneo nyeti sana kiintelijensia,kisiasa na kidiplomasia so kupata ukinzani au upinzani ni jambo linalotarajiwa. Km imetokea hivyo yeye afanye nini. Halafu Jf siyo ya kwake kuna wenye mamlaka ya kupokea malalamiko au order yyte ili kusitisha chochote kinachorushwa humu. KUFIKIA HITIMISHO KUWA NI MHUNI SI SAHIHI HATA KIDOGO.
 
Nafikili ni bora hizi mada kama zinahusu familia za walengwa moja kwa moja aombe ridhaa kwa familia
 
Kwani hujui yule demu waje cheupe ndiye sekretari wa komando kipensi pale Jangid Plaza ?
Tangu aandike makala ya kumpigia debe Ontario kuhusu Forex nikaanza kumtilia mashaka......Sasa hivi ameleta tabia ya kukatisha kila thread hapa jukwaani ila wanafunika tu kombe km vjle kiachofanyika ni sawa tu
Hivi pale jangid wapo ghorofa Ya ngapi? Au washahama?
 
Back
Top Bottom