Shida kweliCha ajabu mijitu inamchekea tu
Km vipi asiwe analeta vithread vyake
😂😂😂😂NEXT EPSODE:itakua samahani kwa usumbufu siwezi endelea na hii makala sababu familia ya Ghailani kule zanzibar wameona inawadisturb maisha yao kwahyo basi sitaendelea nayo na sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimeambiwa nisiendelee.😀😀😀 hii makala nayo haiishi na nilijua tu ukikatisha ile ya kagame basi itafuata hii ya 1998 balozi kulipuliwa halafu nayo itakatishwa next epsode.
Ndio raha yake anawachota akili halafu anawaaacha kwenye flyover tazarwAna zingua sasa ndio nn kuanza vyema halafu akaishia njiani. Haipendezi
Hizi mada zina unyeti sana zinagusa maeneo nyeti sana kiintelijensia,kisiasa na kidiplomasia so kupata ukinzani au upinzani ni jambo linalotarajiwa. Km imetokea hivyo yeye afanye nini. Halafu Jf siyo ya kwake kuna wenye mamlaka ya kupokea malalamiko au order yyte ili kusitisha chochote kinachorushwa humu. KUFIKIA HITIMISHO KUWA NI MHUNI SI SAHIHI HATA KIDOGO.Habib amekuwa mhuni mhuni sana siku hizi
Kama anakukera mle ban wewe tu autakaa ukereke tenaCha ajabu mijitu inamchekea tu
Km vipi asiwe analeta vithread vyake
Kwani na yeye alikuwa kwenye mv nyerere?Wale wenzangu na mimi mnaotegemea Habib Anga atarudi mnaendeleaje hapo jukwaani![]()
![]()
![]()
Hivi pale jangid wapo ghorofa Ya ngapi? Au washahama?Kwani hujui yule demu waje cheupe ndiye sekretari wa komando kipensi pale Jangid Plaza ?
Tangu aandike makala ya kumpigia debe Ontario kuhusu Forex nikaanza kumtilia mashaka......Sasa hivi ameleta tabia ya kukatisha kila thread hapa jukwaani ila wanafunika tu kombe km vjle kiachofanyika ni sawa tu
Sawa mkuuKama anakukera mle ban wewe tu autakaa ukereke tena
It seems like Forex😛Tabia ya thread kuishia katikati Huu n utapeli mambo leo.
Hatujambo kabisaWale wenzangu na mimi mnaotegemea Habib Anga atarudi mnaendeleaje hapo jukwaani![]()
![]()
![]()