Evarist Massawe
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 666
- 857
Hili jukwaa la inteligency mbona news zake zinaload muda mrefu saana kwa sie wa app, kuna shida gani kwani nyie mods
Kwakweli yani uzi una load hadi unachoka unaamua kuiweka pembeni kwanzaHili jukwaa la inteligency mbona news zake zinaload muda mrefu saana kwa sie wa app, kuna shida gani kwani nyie mods
Wala sio njaaa!!kitu uzalendo ndio cha maana,na uzalendo hauibuki tu kwa kauli mbiu,au kwa kuvaa nguo zenye bendera ya taifa bali hujengwa toka mtu akiwa mdogo kwa kuona kweli nchi ni mali ya wote na sio watu wachache tu!!angalia mfano wa israel kwenye uzalendo huwaambii kitu kwani upo damuni hata wazungu kwani nchi zao zinawatambua raia wake na zipo tayari kugombana na nchi nyingine kisa raia wake yupo matatani,mfano ugomvi wa kiuchumi uliopo sasa kati ya USA NA TURKEY!!kisa uturuki wanamshikilia raia wa marekani ,huku wao wakiona si haki!!lakini huku raia wanapotezwa wala hakuna anayejari,vyombo vya dola kila siku ni kuua raia wasio kuwa na hatia!!hapo uzalendo utoke wake???!!hapa uliopo ni ule wa kinafiki tu mtu akipata cheo kwa kujikomba ndio anaitwa mzalendo!!!!Hatari sana...watanzania kwa njaa zetu,mtu anaweza kufanya ujasusi kwa urahisi sana na hata kushambulia jiji zima la dar na kuliteketeza kabisaa!!!
Naona jamaa hajaelewa vizuri, wanaotumika wanaamini wanapigania imani yao kumbe ni kinyume kbs na wanachokifikiria.Wala sio njaaa!!kitu uzalendo ndio cha maana,na uzalendo hauibuki tu kwa kauli mbiu,au kwa kuvaa nguo zenye bendera ya taifa bali hujengwa toka mtu akiwa mdogo kwa kuona kweli nchi ni mali ya wote na sio watu wachache tu!!angalia mfano wa israel kwenye uzalendo huwaambii kitu kwani upo damuni hata wazungu kwani nchi zao zinawatambua raia wake na zipo tayari kugombana na nchi nyingine kisa raia wake yupo matatani,mfano ugomvi wa kiuchumi uliopo sasa kati ya USA NA TURKEY!!kisa uturuki wanamshikilia raia wa marekani ,huku wao wakiona si haki!!lakini huku raia wanapotezwa wala hakuna anayejari,vyombo vya dola kila siku ni kuua raia wasio kuwa na hatia!!hapo uzalendo utoke wake???!!hapa uliopo ni ule wa kinafiki tu mtu akipata cheo kwa kujikomba ndio anaitwa mzalendo!!!!
Hatari sana...watanzania kwa njaa zetu,mtu anaweza kufanya ujasusi kwa urahisi sana na hata kushambulia jiji zima la dar na kuliteketeza kabisaa!!!