strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,313
------- kabisa anafanya wanaume wote tuonekane makanjanja kama uliamuA kula ujana kwanini ulileta kiumbe?
Umeona eeh jamaa!?
------- kabisa anafanya wanaume wote tuonekane makanjanja kama uliamuA kula ujana kwanini ulileta kiumbe?
Akijibu hili swali uniite mkuu nipo aroundNa ulie mpa mimba aolewe na nani?
yeah jamaa jinga hili alafu anakuja anajiita kidumeUmeona eeh jamaa!?
Tena ni lijinga sn na wala halijitambui kbs. Ningekuwa nalifaham ningelizaba ht makofi. badala ya kuwaza future ya mtoto wake lenyewe kwa umalaya wake linawaza chupi. Huyo aliemzalisha sasa hv amemuona ana kasoro gani???????????yeah jamaa jinga hili alafu anakuja anajiita kidume
acha uzinzi baki njia kuuHabari watu wa humu ndani,
Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.
Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za wazazi wanajua hali halisi.
Ni miaka mi nne sasa tupo mbali mbali hii ni kutokana nami kuamishiwa kikazi mkoa mwingine,but mahitaji yote ya mtoto namtimizia.
Huku nilipo ndani ya miaka miwili iliyopita nimejikuta nipo kwny mahusiano mapya na msichana mwingne,huyu msichana tumetokea mkoa mmoja,anaijua familia yangu nami naijua familia yao mwanzo mwisho, nimemueleza hali halisi ya kwamba nina mtoto,na amekubaliana na hali na anataka tuoane.
Ki ukweli nami nampenda sana tena sana tu.
Nia yangu kuja hapa ni kuomba msaada na mawazo yenu, nitaanzaje kumwambia mpenzi wangu wa mwanzo kama nina mtu mpya ambae nipo tayari kumuoa!!?
Habari watu wa humu ndani,
Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.
Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za wazazi wanajua hali halisi.
Ni miaka mi nne sasa tupo mbali mbali hii ni kutokana nami kuamishiwa kikazi mkoa mwingine,but mahitaji yote ya mtoto namtimizia.
Huku nilipo ndani ya miaka miwili iliyopita nimejikuta nipo kwny mahusiano mapya na msichana mwingne,huyu msichana tumetokea mkoa mmoja,anaijua familia yangu nami naijua familia yao mwanzo mwisho, nimemueleza hali halisi ya kwamba nina mtoto,na amekubaliana na hali na anataka tuoane.
Ki ukweli nami nampenda sana tena sana tu.
Nia yangu kuja hapa ni kuomba msaada na mawazo yenu, nitaanzaje kumwambia mpenzi wangu wa mwanzo kama nina mtu mpya ambae nipo tayari kumuoa!!?
Hapo ndo ninapowachukia wanaume wanaotutendea mabaya,usiwe katili wa moyo kiasi hicho bro!!kumbuka nae bila wewe kumzalisha pasipo ndoa huenda angekuwa na ndoa inayokubalika mbele ya mungu na hata wazazi pia,cha msingi oa mama mtoto wako acha kuongeza wahanga wa maumivu ya mapenzi.