elinamndeme
New Member
- Apr 20, 2014
- 3
- 0
A cha upuuzi bro mama watoto wako anakupenda ndiomana akakuzawadia mtoto tulia melee motto apate faraja ya baba name mama na c MTU baki michepuko sio dili Baki kwenye njia kuu japo kunafoleni ila in salama
Mapenzi ya kuishi mbali mbali ni magumu sana
wanaume bwana mkishazalisha watoto wa wenzenu mna wa damp halafu yeye aolewe na nani kumhuzunisha mdada wa watu ndo mana huwa hamfanikiwi mnaanza kutafta mchawi unakuta mdada wa watu anakulilia halafu ufikirii mtoto wenu itakuwaje punguza u selfish wewe
Acha nipite kimya kimya tu
muoe ulomzalisha,sio vizuri ivo
Acha tamaa ndugu yangu je usengehamishiwa huko ulipo ungeingia mahusioano mapya?? fikiria future ya mwanao yeye ndie utakaemuathiri.unachokitafuta hasa ni nini.yaani sikuuungi mkono hata kidigoHabari watu wa humu ndani,
mi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za wazazi wanajua hali halisi.Ni miaka mi nne sasa tupo mbali mbali hii ni kutokana nami kuamishiwa kikazi mkoa mwingine,but mahitaji yote ya mtoto namtimizia.Huku nilipo ndani ya miaka miwili iliyopita nimejikuta nipo kwny mahusiano mapya na msichana mwingne,huyu msichana tumetokea mkoa mmoja,anaijua familia yangu nami naijua familia yao mwanzo mwisho, nimemueleza hali halisi ya kwamba nina mtoto,na amekubaliana na hali na anataka tuoane.Ki ukweli nami nampenda sana tena sana tu.Nia yangu kuja hapa ni kuomba msaada na mawazo yenu, nitaanzaje kumwambia mpenzi wangu wa mwanzo kama nina mtu mpya ambae nipo tayari kumuoa!!?
Yani natamani kukupa tusi kubwa.... yani ulimpa mimba una mtoto unataka kuoa mwingine eti unampenda huyo wa mwanzo si ulimpenda mpaka ukawa unakula kavu .... we mkaka angali mwanao na future ya binti wa watu acha ubinafsi et mapenzi nyambafu kabisa huna akili wewe... kwani kipapuchi cha huyu mpya na wa zamani tofauti ni nini? Ungekuwa na akili ungemuoa huyo mama watoto wako siku nyingi sana.... acha ubinafsi