Yaogope kama ukoma.,,...
Wadada kuna kitu cha kujifunza hapa.
Huna sifa za kua mwanaume wewe labda hyo ya kuwa na dushe tu! foolishHabari watu wa humu ndani,
Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school)
,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.
Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za wazazi wanajua hali
halisi.
Ni miaka mi nne sasa tupo mbali mbali hii ni kutokana nami kuamishiwa
kikazi mkoa mwingine,but mahitaji yote ya mtoto namtimizia.
Huku nilipo ndani ya miaka miwili iliyopita nimejikuta nipo kwny
mahusiano mapya na msichana mwingne,huyu msichana tumetokea mkoa
mmoja,anaijua familia yangu nami naijua familia yao mwanzo mwisho,
nimemueleza hali halisi ya kwamba nina mtoto,na amekubaliana na hali na
anataka tuoane.
Ki ukweli nami nampenda sana tena sana tu.
Nia yangu kuja hapa ni kuomba msaada na mawazo yenu, nitaanzaje
kumwambia mpenzi wangu wa mwanzo kama nina mtu mpya ambae nipo tayari
kumuoa!!?
Acha umalaya dogo ishi na mkeo na mwanao mjenge familia yenu,usije pata mikosi ya kingese we mtu anakusubiri we unaleta unyambwa,unafyambwa nn!Habari watu wa humu ndani,
Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.
Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote mbili za wazazi wanajua hali halisi.
Ni miaka mi nne sasa tupo mbali mbali hii ni kutokana nami kuamishiwa kikazi mkoa mwingine,but mahitaji yote ya mtoto namtimizia.
Huku nilipo ndani ya miaka miwili iliyopita nimejikuta nipo kwny mahusiano mapya na msichana mwingne,huyu msichana tumetokea mkoa mmoja,anaijua familia yangu nami naijua familia yao mwanzo mwisho, nimemueleza hali halisi ya kwamba nina mtoto,na amekubaliana na hali na anataka tuoane.
Ki ukweli nami nampenda sana tena sana tu.
Nia yangu kuja hapa ni kuomba msaada na mawazo yenu, nitaanzaje kumwambia mpenzi wangu wa mwanzo kama nina mtu mpya ambae nipo tayari kumuoa!!?
Dont look at your self, look at the bigger picture. Ndo maana wengine wanaoa tu na kubaki vitombelo maisha yao yote sio kuwa hawakuweza kukomaa kuoa wanao wapenda, but they decided to be RESPONSIBLE for their past mistakes. Just going an extra mile to compansate the most loosing ones.
DO THE RIGHT THING KID! DO THE RIGHT THING!
yaani wanaume mnakuwaga kama nyoka muda mwingine,assume huyo ni mdogo wako alafu wewe ndo kaka mtu ungeto ushauri gani????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
ETI MPENZI WANGU WA ZAMANI NITAMWAMBIAJE??UNAMUITA MPENZI KABISA?
Dah kuna watu mnafanya wanaume wote tunaonekana mawack aisee!