Ujambazi Unaofanywa Na Polisi Tarime !

Ujambazi Unaofanywa Na Polisi Tarime !

Unakijua ndomana umekielezea kwa ufasaha vp hao waliosema pesa sio za umma lakini leo wanazirudisha Serikalini?

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
Sasa si bora wanaozirudisha. Wenzenu huko wanazigonga halafu wanahamasisha nyinyi muandamane na nyinyi kwakuwa hazuwatoshi mnarundikana nao
 
Hiii kitu ndo inasababisha wananchi hata kusherehekea pindi police wanapouwawa.Baadhi ya polisi sio waadilifu ni wapenda rushwa, Wanyang'anyi na wanaonea sana raia. MIMI niliwahi kuibiwa zaid ya 2.5M.na nikaumizwa vibaya na majambazi lakini nilipofika police waliniambia nitoe laki 2 ili wafatilie.
 
Jitahidi kuwatafuta silencer MKIRU wawashuhulikie ni inshu ndogo hiyo siyo ya kulalamika
 
Kwanini usiende takukuru kama unauhakika wanatoa risiti feki,acha kulalama onana na taasisi husika badala ya kuja kulia mitandaoni

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Mkuu kufanya kesi waakati uko safarini ni gharama ndo maana tunashindwa kuacha kuhudumia familia na kuanza kesi. Kama serikali ikiamua kuonea wananchi tutaonewa tu polisi kazi yake kesi mimi kesi siyo kazi yangu. Wanatuumiza.
 
Sasa si bora wanaozirudisha. Wenzenu huko wanazigonga halafu wanahamasisha nyinyi muandamane na nyinyi kwakuwa hazuwatoshi mnarundikana nao
Vipi huyu nae anaongezwa katika orodha ya watuhumiwa? Au akizirudisha hana kesi? Na wale waliopo lupango wanaruhusiwa kuitisha press nakuzirudisha kama huyo then wawe huru?

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya kuvuka sehemu moja inayoitwa Nyancha Bukenye mida hii kuna polisi wanasimamisha kila gari linalopita barabarani na kuwalazimisha madereva kutoa hela wakidai wana speed na makosa mengine ya kulazimisha. Mmoja wao anatoa kauli chafu sana kwa madereva, anawaambia asiyetaka kutumia barabara anunue ndege apae usitumie barabara

Hawa watu wanataka hela yoyote siyo chini ya 20,000. Mimi wamenilazimishia makosa sita na kutaka 180,000 baada ya mabishani wakasema watanipunguzia iwe laki moja. Ukiwaambie wakupe risiti wanasema wanakupeleka kituoni huko utapata evidence ya speed yako huko. Ukikomaa sana, wanakupa risiti feki, lakini lazima uwape hela kwanza. Nimefanikiwa kumpata mdada anayekusanya hela ni WP 9555 PC Grace. Kamanda Siro imulike ofisi ya OCD Tarime. Watasababisha vurugu maana huu unyanganyi siyo wa kawaida. Huyo Grace aisaidie polisi kufanya uchunguzi. Wana Land rover Defender Pick up nyeupe iliyofichwa kwenye Kichaka

Nimeendesha gari kwa miaka 12, sijawahi ambiwa fine zaidi ya 30 au mara 2 tsh 60, huko hapatakuwa Tanzania!
 
Huo uonevu unajenga chuki kwa raia RPC mulika hapo kabla hayatukuta mambo

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Huo uonevu unajenga chuki kwa raia RPC mulika hapo kabla hayatukuta mambo

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
No kweli kabisa kaka. Maeneo ya huku chuki ZA wanannchi zinakuwaga mbaya sana
 
Wanakusanya za "kubrush Viatu waacheni wana kibali,,,,,,!

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Wanakusanya za "kubrush Viatu waacheni wana kibali,,,,,,!

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app

Siku moja polisi watakuja kuelewa ni kwa nini wanachukiwa na wananchi
 
Kwanini usiende takukuru kama unauhakika wanatoa risiti feki,acha kulalama onana na taasisi husika badala ya kuja kulia mitandaoni

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app

Hizo taasisi husika ndio zinakamata watu wakitukana humu mitandaoni. Mbona hiki hawaoni!!?
 
Kwa nini waleta mada kutoka ccm kila kitu wanachukulia mzaha? Mtu anaongelea polisi wahalifu nanyi mnatania?
 
Mkuu kufanya kesi waakati uko safarini ni gharama ndo maana tunashindwa kuacha kuhudumia familia na kuanza kesi. Kama serikali ikiamua kuonea wananchi tutaonewa tu polisi kazi yake kesi mimi kesi siyo kazi yangu. Wanatuumiza.
Hakuna aliyejuu ya sheria ulikuwa na uwezo wa kudai haki yako badala ya kukimbilia kulalamika.Huwezi ukaibiwa ulimwengu huu,ukakubali kuibiwa na baadaye ukaja kutulilia humu.Polisi wanaongozwa na sheria kama ulionewa ungechukua hatua stahiki na si kisingizio cha safari.Ulimwengu wa kulalama umepitwa na wakati ni wakati wa action tu
 
Asante mleta mada mpaka dakika hii umeitendea haki smartphone yako na umetutendea haki watanzania wenzako.
 
Dawa ya hili tatizo Traffic wote nchi nzima wapewe mashine za EFD.

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Sio Tarime Tuu huku Tabora wanaua kabisa unapo kataa kutii wanachokitaka polisi Mungu anawaona

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa ni kwamba waache kuwaonea raia. Wewe kila gari linalazimishwa kutoa hela wanayotaka wao. Siyo haki
...Jikusanyeni wote mnaoonewa halafu mumpigie IGP au Waziri mwigulu vinginevyo mnawachangia mapesa wenzenu...

Sent from my CHC-U01 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini usiende takukuru kama unauhakika wanatoa risiti feki,acha kulalama onana na taasisi husika badala ya kuja kulia mitandaoni

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Tena angetumia na ujanja ujanja akamrekodi, hpo angemaliza kaxi kabisa hlf msitake kuwa wajinga cku hizi risiti za fine za kulipia hakikisha ni za electronics cyo za kuandika na kslamu

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom