Ujambazi Unaofanywa Na Polisi Tarime !

Ujambazi Unaofanywa Na Polisi Tarime !

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,283
Baada ya kuvuka sehemu moja inayoitwa Nyancha Bukenye mida hii kuna polisi wanasimamisha kila gari linalopita barabarani na kuwalazimisha madereva kutoa hela wakidai wana speed na makosa mengine ya kulazimisha. Mmoja wao anatoa kauli chafu sana kwa madereva, anawaambia asiyetaka kutumia barabara anunue ndege apae usitumie barabara

Hawa watu wanataka hela yoyote siyo chini ya 20,000. Mimi wamenilazimishia makosa sita na kutaka 180,000 baada ya mabishani wakasema watanipunguzia iwe laki moja. Ukiwaambie wakupe risiti wanasema wanakupeleka kituoni huko utapata evidence ya speed yako huko. Ukikomaa sana, wanakupa risiti feki, lakini lazima uwape hela kwanza. Nimefanikiwa kumpata mdada anayekusanya hela ni WP 9555 PC Grace. Kamanda Siro imulike ofisi ya OCD Tarime. Watasababisha vurugu maana huu unyanganyi siyo wa kawaida. Huyo Grace aisaidie polisi kufanya uchunguzi. Wana Land rover Defender Pick up nyeupe iliyofichwa kwenye Kichaka

UPDATE. Huyo Grace hakuwa na sauti. Kazi yake ilikuwa ni kukusanya Hela. Steringi alikuwa ni Mzee mmoja aliyevaa Uniform pamoja na Kijana aliyevaa nguo ZA Kiraia. Alivaa T-shirt ya rangi ya damu ya Mzee, yenye mistari mieusi
 
Baada ya kuvuka sehemu moja inayoitwa Nyancha Bukenye mida hii kuna polisi wanasimamisha kila gari linalopita barabarani na kuwalazimisha madereva kutoa hela wakidai wana speed na makosa mengine ya kulazimisha. Mmoja wao anatoa kauli chafu sana kwa madereva, anawaambia asiyetaka kutumia barabara anunue ndege apae usitumie barabara

Hawa watu wanataka hela yoyote siyo chini ya 20,000. Mimi wamenilazimishia makosa sita na kutaka 180,000 baada ya mabishani wakasema watanipunguzia iwe laki moja. Ukiwaambie wakupe risiti wanasema wanakupeleka kituoni huko utapata evidence ya speed yako huko. Ukikomaa sana, wanakupa risiti feki, lakini lazima uwape hela kwanza. Nimefanikiwa kumpata mdada anayekusanya hela ni WP 9555 PC Grace. Kamanda Siro imulike ofisi ya OCD Tarime. Watasababisha vurugu maana huu unyanganyi siyo wa kawaida. Huyo Grace aisaidie polisi kutoa ushahidi

Bora umempata jina na number hawa ni walafi kupindukia
 
Chadema hao

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Hili lichama likitoka madarakani huenda haya maudhi yakaisha

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Wametumwa na CCM, achana nao mkuu.
Wala sina shaka polisi wanatumiwa na CCM kuwaibia wananchi. Ila hawa wa leo, kwa yale mazingira, no wahuni wanatafuta hela zao. Ile siyo mazingira ya kawaida
 
Tatizo sio chama tatizo ni wanachama..........
 
Baada ya kuvuka sehemu moja inayoitwa Nyancha Bukenye mida hii kuna polisi wanasimamisha kila gari linalopita barabarani na kuwalazimisha madereva kutoa hela wakidai wana speed na makosa mengine ya kulazimisha. Mmoja wao anatoa kauli chafu sana kwa madereva, anawaambia asiyetaka kutumia barabara anunue ndege apae usitumie barabara

Hawa watu wanataka hela yoyote siyo chini ya 20,000. Mimi wamenilazimishia makosa sita na kutaka 180,000 baada ya mabishani wakasema watanipunguzia iwe laki moja. Ukiwaambie wakupe risiti wanasema wanakupeleka kituoni huko utapata evidence ya speed yako huko. Ukikomaa sana, wanakupa risiti feki, lakini lazima uwape hela kwanza. Nimefanikiwa kumpata mdada anayekusanya hela ni WP 9555 PC Grace. Kamanda Siro imulike ofisi ya OCD Tarime. Watasababisha vurugu maana huu unyanganyi siyo wa kawaida. Huyo Grace aisaidie polisi kufanya uchunguzi. Wana Land rover Defender Pick up nyeupe iliyofichwa kwenye Kichaka
Hayo majungu .. Takukuru si wapo?
Kwann usiende huko
 
Hili lichama likitoka madarakani huenda haya maudhi yakaisha

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
Likitoka kiingie chama gani?
Unataka chama ambacho hakina hata ofisi wakat wanakula mabilion ya ruzuku kila mwez
 
MKUUU SEMA TUUU WALIKUCHELEWESHA ULIPOKUWA UNAENDA KUHUSU ILO JINA NAZANI HUJATUMIA INTELIJENSIA YOYOTE KULIPATA....JJINA HILO UMELIKUTA KWENYE KARATASI YA KWENDA KULIPIA.....
 
Likitoka kiingie chama gani?
Unataka chama ambacho hakina hata ofisi wakat wanakula mabilion ya ruzuku kila mwez
Unakijua ndomana umekielezea kwa ufasaha vp hao waliosema pesa sio za umma lakini leo wanazirudisha Serikalini?

Sent from my HUAWEI Y541-U02 using JamiiForums mobile app
 
Hawa askari wanatumwa na chadema (in lizaboni's mind )

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom