BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
...Huo ndio ukweli wa mambo...Polisi magamba wako busy kuwadhibiti CDM huku majambazi yakitanua mtaani kwa raha zao.
wapo busy na chadema
wapo busy na chadema
Tunajua mnaturekodi
kwenye kamera zenu na
sisi tunaifahamu vizuri
teknolojia hii, ndiyo
maana tunalazimika
kuharibu mtandao
mzima, mmoja wa
jambazi alikaririwa
akisema huku akifungua
mtambo wa kamera.
Baada ya kumaliza
kuharibu mitambo ya
kamera, waliondoka na
maguni ya fedha na
kwenda walikoegesha
magari yao ya kifahari
na kupakia.
Kuhusu camera za security, majambazi hao hawaelewi vizuri jinsi zinavyofanya kazi.
Camera zinatuma picha zake moja kwa moja kwenye server na hata kama ukiharibu camera, bado wanaweza kupata picha zilizorekodiwa kabla ya kuharibu mitambo. Picha zote zinakuwa uploaded kwenye DriveHQ FTP server palepale zinapochukuliwa na zinabaki.
"Even if an intruder destroys a security camera, he cannot destroy the recorded data, which can be immensely helpful for tracking down the intruder."
Kuhusu camera za security, majambazi hao hawaelewi vizuri jinsi zinavyofanya kazi.
Camera zinatuma picha zake moja kwa moja kwenye server na hata kama ukiharibu camera, bado wanaweza kupata picha zilizorekodiwa kabla ya kuharibu mitambo. Picha zote zinakuwa uploaded kwenye DriveHQ FTP server palepale zinapochukuliwa na zinabaki.
"Even if an intruder destroys a security camera, he cannot destroy the recorded data, which can be immensely helpful for tracking down the intruder."
Kuhusu camera za security, majambazi hao hawaelewi vizuri jinsi zinavyofanya kazi.
Camera zinatuma picha zake moja kwa moja kwenye server na hata kama ukiharibu camera, bado wanaweza kupata picha zilizorekodiwa kabla ya kuharibu mitambo. Picha zote zinakuwa uploaded kwenye DriveHQ FTP server palepale zinapochukuliwa na zinabaki.
"Even if an intruder destroys a security camera, he cannot destroy the recorded data, which can be immensely helpful for tracking down the intruder."
Labda tupate jibu huo mtambo wa kamera maana yake ni hiyo ftp server au la kabla ya kudhani hawajui hiyo technolojia ... ama?
Kuhusu camera za security, majambazi hao hawaelewi vizuri jinsi zinavyofanya kazi.
Camera zinatuma picha zake moja kwa moja kwenye server na hata kama ukiharibu camera, bado wanaweza kupata picha zilizorekodiwa kabla ya kuharibu mitambo. Picha zote zinakuwa uploaded kwenye DriveHQ FTP server palepale zinapochukuliwa na zinabaki.
"Even if an intruder destroys a security camera, he cannot destroy the recorded data, which can be immensely helpful for tracking down the intruder."
Hii lazima itainvolve mlolongo wa watu..kuanzia bank mpaka polisi.