satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Dah!jamaa walijipanga na hii movie lazima inamkono wa wafanyakazi haiwezekani wajue nani anamiliki funguo ya strong room na kwenye atm,this is a set up,na polisi ccm walikua wapi?ingekua maandamano ya chadema walishakwenda na mavitambaa yao mekundu