mtima nyongo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,947
- 2,047
kwa hapa zanzibar wanadai sikukuu ni kesho ingawa hawana uhakika sana
Me nasema sikukuu ni leookwa hapa zanzibar wanadai sikukuu ni kesho ingawa hawana uhakika sana
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Habari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Chiefmbona simple tu,tatizo ni Saud arabia,wale ni imposter au spoiler lakini wanakwenda kwa umakini mkubwa,katika uislam waliona wapenyee hapo kwenye sikukuu ili kucreate disunity,uwahabi uliundwa na majasusi wa magharibi
Hata Rwanda Iddi ni leo, nimekutana na muumini akasema kwake Iddi ni leo kwa sababu alianza mapemaHabari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Kazi gani hio wakati mnachuna ngozi na kuwakata viungo ma albino watanzania?Kitimoto waislam washika dini wanakula
Pombe waanzilisha wa ukristo yaani Roman wanakunywa pombe
Mimi huwa nashangaa mamluki wa juzi ndio wanajifanya waislam
Kuna uislam kama nchi za kiarabu, na ndio wafiraji na wala kitimoto, Wewe mtanzania dini unasimuliwa
Kuna ukristo kama Vatican lakini Wao ndio wabakaji na walawiti na dini wanaijua
Ahaaa tufanye kazi, Imani ina wenyewe
Naomba ubadilishe Kichwa chako cha habariHabari zenu!
Na wale waliofunga na kumaliza na wanaokaribia kumaliza nao napenda niwape hongera kwa hilo!
Ishu yangu ni ndogo, inakuwaje dini "kubwa" duniani ila ina misimamo tofauti tofauti? mimi nimejikita ktk suala hili la iddi. Hii sio mara ya kwanza kutokea mkanganyiko!
Hapa tanzania, waislamu wengine wanadai sherehe yao ni leo na wengine wakidai ni kesho na hata wengine wakidai labda keshokutwa. Ni kwamba hapa Tz dini hii imekosa viongozi wenye msimamo au ndio ilivyo?
Kuna waislamu wako Uarabuni leo, kesho wakija bongo wanakula iddi mara mbili. Sina uhakika na Kenya na Uganda iddi ni lini ingawa nimeona mabandiko mitandaoni yakionesha kuwa iddi kwa ni leo, JE NI WAPI HASA UISLAMU UNAKOSEA? UPANDE WA PILI VITU KAMA HIVI HUWA FIXED, MNAJUA HATA MIAKA 10 MBELE!
Wapi katika uislam umehalalisha kubaka?Kwa mfano, usishangae kusikia wafanyakazi wa ndani wanawake wanabakwa huko Uarabuni maana Uislamu umehalalisha mwanaume kuwalala walio chini ya milki yake. Akifanya hivyo mtu anaejiita Mkristo basi atakuwa ameasi Ukristo.
Ya kweli haya??.Kila ninaposoma vitabu vyenu huwa nakumbushwa UKWELI huu: mtu hawezi kusoma Qur'an na akabaki Muislamu unless mtu huyo ni sampuli ya Dr. Zakir Naik. Hebu soma hapa halafu uniambie kama kuna logic yeyote hapa:
Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.
(Reference: Sahih Muslim 2749).
Muhammad anasema usipofanya dhambi Allah anakuua ili aumbe watu watakaokuwa tayari kufanya dhambi ili waungame dhambi zao ili Allah awasemehe!! Really? Bado kuna watu wanaamini MUNGU kweli anaweza akaagiza mtu afanye dhambi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
shukrani sanaNaomba ubadilishe Kichwa chako cha habari
Uislam haukufeli na wala hautofeli
Sema
Waislam mumefeli wapi?!
Jawabu fupi
Elimu ndio ufunguo sahihi wa maisha ya Binaadam,Bila ya Elimu,mara nyingi mwanaadam anakuwa hana tofauti na Mnyama,
Tatizo ni Elimu Sahihi ya Dini
Na Elimu Sahihi inavigezo vyake
Jambo dogo tu Chief
Kwakuwa hatukusoma wengi wetu,Basi tunakuwa na maswali mfano wa hili
Swali hili
Majibu yake yapo katika Vitabu,lkn kwakukosa kwetu elimu,Hatujui ni wapi pa kutokea!!!!
Hili ni janga la Taifa
Na sisi Waislam tuliowengi,Dini yetu tumeikabidhi kwa watu(Masheikh)
Tumebaki kuwa mfano wa Sikio tu
Tunasikiliza zuri na baya,na wala hatuna uwezo wa kuchuja
Tutaangamia ikiwa hatutorudi katika mstari wa sawa,kwa kusoma kwa bidii huku tukimuomba Allah atufungulie fahamu na atupe elimu pamoja na kheri ya Dunia na kesho Akhera
Shukran Chief
Wapi katika uislam umehalalisha kubaka?
Mi naona ukiristo ndio umehalalisha ubakajiView attachment 1117258View attachment 1117259
Ya kweli haya??.
Kumbe ndo mana ukiwa mwema haukai sana duniani wenyewe wanasema vizuri havidumu. [emoji23][emoji23]
wewe ndio unafeli, dunia moja huku usiku kule mchana, je umewahi kuuliza hilo? ndio sababu halisi ya iddi ya kweli kuwa na tofauti ya huku na kule, haiwezi kuwa siku moja kwa mizania hiyo ya dunia moja huku jioni kwenu asubuhi
mkuu, unajua kuwa Tanzania na Iraq wana muda mmoja (3+hours from GMT) ila Iraq nao wamekula iddi leo? Abu Dhabi tumepishana saa moja ako mbele ila iddi leo, UAE pia ni saa oja wako mbele!wewe ndio unafeli, dunia moja huku usiku kule mchana, je umewahi kuuliza hilo? ndio sababu halisi ya iddi ya kweli kuwa na tofauti ya huku na kule, haiwezi kuwa siku moja kwa mizania hiyo ya dunia moja huku jioni kwenu asubuhi