Uislamu ni project ya wakatoliki

Basi sawa kama hivyo ndo unavyoielewa hiyo Aya. Lakini sijaona kama hayo maneno yanaeleza kuhusu uislam.

Twende unavyotaka, hiyo Aya inamaanisha kila mtu anazaliwa akiwa muislam kama mnavyofundisha?
 
Mm nikimbie mada ? Utakuwa unanifananisha , waislamu ndio hamna elimu kuhusu dini yenu maana mmedanganywa mengi
Nenda kajibu Yale maswali niliyo kuuliza kwenye Ile mada.

Sasa si bora wewe ungekuwa unapatia katika unayo yaandika. Shida unakosea sana, mpaka tunawapa watu uvivu wa kukujibu. Sababu una makosa mengi.
 
Yani wakatoliki waanzishe uislamu alafu badae waangaike kutaka kuufuta kwenye uso wa dunia? Ivi wakatoliki wao walikua na hamasa gani iliyowapelekea kuanzisha project ambayo baadae ikaja ikawaathiri
wao wenyewe? Ivi unajua uislamu ulichangia kuanguka kwa utawala wa Roma uko mashariki ya kati ?
 
Nenda kajibu Yale maswali niliyo kuuliza kwenye Ile mada.

Sasa si bora wewe ungekuwa unapatia katika unayo yaandika. Shida unakosea sana, mpaka tunawapa watu uvivu wa kukujibu. Sababu una makosa mengi.
Sijaona swali lolote ,mada mlijibiwa mkakimbia

Kila siku nawauliza, kwanini Quran ziliharibiwa ,ikakusanywa moja ,nyingine zilikuwa na shida gani?


Je matini au Manuscript ya Uthman ipo wapi
 
Kitendo Cha wakristo khshusha thread nyingi dhidi ya waislamu Kuna mazingatio kwa mwenye akili

Kiufupi mmeshindwa kuitetea DINI YENU
 
Ni sababu huna elimu na historia,na hujui kuunganisha dot ,

Uislamu ulikuja kuwageuka Catholic,japokuwa kwasasa umeshasalenda, Pale Saudi Arabia tayari pashawekwa pupet wao na Sasa taratibu Saudia Arabia inaenda kuwa kama Ulaya,


Dola ya Byzantine, kama muendelezo wa Dola ya Roma Mashariki, ilikuwa na mamlaka ya kidini na kisiasa. Baada ya Mfalme Constantine kuhalalisha Ukristo katika karne ya 4, Ukristo ukawa dini rasmi ya dola.

Kwa muktadha huu, Wakristo wa Byzantine walihitaji udhibiti juu ya maeneo matakatifu kama Yerusalemu, ambayo yalikuwa yakisumbuliwa na Wayahudi waliopinga ukristo.

Katika mazingira haya, Waarabu waliokuwa wanaishi kandokando ya Himaya ya Byzantine walikuwa washirika muhimu, kama vile Waarabu wa Ghassanid, ambao walikuwa Wakristo waliowekwa kama ngome ya kinga dhidi ya Waarabu wa kipagani na Wapersia.

“The Ghassanids, a Christian Arab tribe allied with Byzantium, were instrumental in defending the Empire’s southern borders.”
— Irfan Shahîd, Byzantium and the Arabs in the Sixth Century


Hii inathibitisha kuwa kabla ya Uislamu, kulikuwa na ushirikiano wa karibu kati ya Wakristo wa Byzantine na Waarabu wa Mashariki ya Kati.


Wakati Waislamu wa mwanzo walikimbilia Ethiopia (Hijra ya Kwanza), walipewa hifadhi na Negus (al-Najāshī), Mfalme Mkristo wa Dola ya Aksum. Hili linaonyesha kwamba Uislamu haukuonekana kama tishio la moja kwa moja kwa Wakristo wa wakati huo, bali kama harakati ya karibu na Ukristo.

“The King of Abyssinia, who was a Christian, granted the Muslims asylum and protection…”
— Ibn Ishaq, Sirat Rasul Allah



Hali hii ya ushirikiano wa awali kati ya Wakristo na Waislamu inaibua maswali: Je, ni kwa nini wakubali dini mpya, kama haikuwa na agenda za pamoja? Je, kulikuwa na mpango mpana wa kisiasa?

Katika nyakati za kisasa, Mapapa kama John Paul II na Francis wamekuwa wakisali katika misikiti kama ishara ya "maelewano ya kidini." Papa John Paul II alisali katika msikiti wa Umayyad mjini Damascus mwaka 2001, na Papa Francis alifanya hivyo Istanbul na Abu Dhabi.

Je, hii ni juhudi za kisasa tu? Au ni mwendelezo wa uhusiano wa kihistoria wa muda mrefu? Je, hii inaashiria kuwa Kanisa Katoliki lina nafasi ya kipekee katika historia ya Uislamu? Nakuachia maswali


Wayahudi walikuwa na historia ndefu ya mvutano na Wakristo wa Byzantine, hasa kuhusu suala la utambulisho wa Yesu. Wakati Wayahudi walikataa Kristo kama Masiya, Wakristo waliona hiyo kama uasi wa kiroho. Inawezekana kabisa kuwa majaribio ya Byzantine kudhibiti Wayahudi yalijumuisha kuunda nguvu mbadala dini ambayo inamtambua Yesu kama nabii, lakini si Mungu jambo ambalo Uislamu unalifanya.

Baada ya Mtume Muhammad, Waislamu walifanikiwa kuvamia na kuchukua maeneo makubwa ya Dola ya Byzantine, kama Syria, Misri, na Palestina.

“The Muslim conquest of the Levant and Egypt dealt a major blow to the Byzantine Empire.”
— Hugh Kennedy, The Great Arab Conquests, 2007

“Project ilipogeuka, ikawa hatari kwa waliyoianzisha.”
 
Ndio nini sasa, umedandia gari kwa mbele hakuna ukijuacho bora ukae kimya.
Nisichokijua nikipi hujui mwanzo wa vitu kabla ya kila kitu hata agano jipya kuwepo uislam ulikuwepo why kwasababu ndio dini ambayo mtoto wa ibrahim wa kwanza aliyetolewa bomani kwa baba yake baada ya Mungu kusema atolewe anatakiwa kuzaliwa mtoto kama mtoto wa ibram kwenye tumbo la sara ndio akafukuzwa akazaliwa issaka.

Hapo sasa huyo mtoto akatafuta Dini ingine ya kumuabudu Mungu sio hiyo ya babae kwa hasira kwa hiyo alipata majini yakamsaidia nakumuongoza katika uandikaji wa kurahani na vingine.

Akaanza kumuabudu Mungu kupitia hiyo dini yake . Akaoa nakuoa zaidi ya mke mmoja akakua katika dini yake mwenyewe alioanzisha yeye namama yake.

Sasa kama unasema eti ni wakatoliki zamani DINI iliyokuwepo ni ya wayaudi tu. Na haikuzaa uislamu ni huyo mwenyewe kupitia nguvu za majini ali tengeneza dini yake. So usijidanganye. Kwa kitu hujui......

Wakatoliki hawakuwepo wakati hii dini imeanzishwa ndio pale GAZA alijenga msikiti mkubwa. Wayahudi wanayo kanisa lao pale GAZA na wajukuu ws nje wa Abrahamu ndio wapalestina.

Sasa Africa kama east western south waliletewa tu hii dini sio kwamba wanaijua . Soma historia wewe kengee na vitabu vingine uelewe .

Warabu ambao wengi ni saudi arabia ,ppalestina,hata misri hao ni wajukuu ,vilembwe wa aibraham kwa mtoto wa kwanzaa
 
Kama sio kuwepo Kwa kanisa katoliki na hayo makanisa mengine yote yasinge kuwepo

Hivyo basi ukristo wote ni mpagani
Hacha uongo! Kanisa limeanza wakati wa mitume wa Bwana Yesu, na Rumi ilihusika kuwaua mitume.
 
Paulo ndio aliyoamzisha ukristo na hiyo kazi alipewa na Dora ya roman empire na yeye Paulo ni mrumi

Matendo ya Mitume 22:28
Jemadari akajibu, Mimi nalipata wenyeji huu kwa mali nyingi. Paulo akasema, Na mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
Unao ushahidi wa Paulo kuanzisha Ukristo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…