Uislamu ni project ya wakatoliki

Uislamu ni project ya wakatoliki

Sasa hapo ndo panaonyesha mi nimezaliwa muislam?😃

Kuwa serious mzee, mi sijawahi kuwa muislam kamwe, siwezi kabisa kuwa kwenye dini dhaifu ya mudi.

Huwezi kuwa na akili ukawa muislam.

Hebu niambie hapa, kwa nini we ni muislam.
Ngoja tuone nani ambaye hana akili

Wewe siku uliyozaliwa ulikuwa na dini gani?

Yesu siku aliyozaliwa alikuwa na dini gani?

Mariam mama wa Yesu siku aliyozaliwa alikuwa na dini gani?
 
Ngoja tuone nani ambaye hana akili

Wewe siku uliyozaliwa ulikuwa na dini gani?

Yesu siku aliyozaliwa alikuwa na dini gani?

Mariam mama wa Yesu siku aliyozaliwa alikuwa na dini gani?
Mtu hazaliwi na dini acha utoto.
Mtoto anapozaliwa anakuwa empty hana dini, kabila wala utaifa. Baada ya kuzaliwa anarithi vitu vyote kutoka kwa walezi wake.

Dini dhaifu ya kiislam ndo inafundisha eti mtu anazaliwa akiwa muislam. Hili ni fundisho la kijinga mzee.
 
Mtu hazaliwi na dini acha utoto.
Mtoto anapozaliwa anakuwa empty hana dini, kabila wala utaifa. Baada ya kuzaliwa anarithi vitu vyote kutoka kwa walezi wake.

Dini dhaifu ya kiislam ndo inafundisha eti mtu anazaliwa akiwa muislam. Hili ni fundisho la kijinga mzee.
Unao ushahidi wa haya uliyoandika?

Au umeyatoa kichwani kwako?
 
Unao ushahidi wa haya uliyoandika?

Au umeyatoa kichwani kwako?
Inamaana ninaposema mtu anazaliwa akiwa mtupu kabisa hana chochote unahitaji ushahidi?
Uislam huu wa Muhammad ndo umeleta fundisho la kwamba mtu anazaliwa akiwa muislam.

Unaweza kunionyesha kwenye vitabu vya Mungu vya kabla ya mudi ambapo panaonyesha mtu anazaliwa akiwa muislam?
 
Inamaana ninaposema mtu anazaliwa akiwa mtupu kabisa hana chochote unahitaji ushahidi?
Uislam huu wa Muhammad ndo umeleta fundisho la kwamba mtu anazaliwa akiwa muislam.

Unaweza kunionyesha kwenye vitabu vya Mungu vya kabla ya mudi ambapo panaonyesha mtu anazaliwa akiwa muislam?

Luka 1:13
Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.
Luka 1:14
Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Andiko hilo hapo Yohana amezaliwa. Akiwa Muislam
 
Luka 1:13
Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.
Luka 1:14
Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Andiko hilo hapo Yohana amezaliwa. Akiwa Muislam
Hebu fafanua mkuu, sijaona uislam hapo pengine we umeona.
 
Vatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.ā€
Wewe umesoma wapi hii habari,

Uthibitisho uko wapiii
 
Hongera Kwa kutambua kuwa kanisa katoliki ni dini ya kipagani

Ila labda Kuna kitu ambacho bado haujakijua ni kuwa

Kanisa katoliki ndio baba wa madhehebu ya makanisa yote Duniani

Martin Luther alitoka katika kanisa katoliki akaanzisha kanisa la Lutheran church

Uingereza walijitenga kutoka kanisa katoliki wakanzisha Anglican church

Helena white alijitenga kutoka kanisa katoliki akaanzisha kanisa la sabato

Kama sio kuwepo Kwa kanisa katoliki na hayo makanisa mengine yote yasinge kuwepo

Hivyo basi ukristo wote ni mpagani

Ila hayo mengine sijui uislam na kanisa katoliki hapo bado Wazungu wanakudanganyeni Ili muendelee kuwa mizukule Yao
Mbona siku zote mnawasahau orthodox ambao ndo mgawanyiko wa kwanza wa kanisa ndo wakatokea roman catholic (kanisa la magharibi) na orthodox (kanisa la mashariki )
 
Mbona siku zote mnawasahau orthodox ambao ndo mgawanyiko wa kwanza wa kanisa ndo wakatokea roman catholic (kanisa la magharibi) na orthodox (kanisa la mashariki )
Paulo ndio aliyoamzisha ukristo na hiyo kazi alipewa na Dora ya roman empire na yeye Paulo ni mrumi

Matendo ya Mitume 22:28
Jemadari akajibu, Mimi nalipata wenyeji huu kwa mali nyingi. Paulo akasema, Na mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
 
Hebu fafanua mkuu, sijaona uislam hapo pengine we umeona.
Wewe si umesema binadamu anapozaliwa anakuwa hana dini?

Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Nimekupa andiko hilo linasema Yohana mbatizaji alijazwa roho mtakatifu tokea akiwa tumboni Kwa mama yake

Kwahiyo Yohana amezaliwa akiwa Muislam

Au unao ushahidi kuwa dini ya Yohana mbatizaji sio uislam?
 
Luka 1:13
Lakini yule malaika akamwambia, Usiogope, Zakaria, maana dua yako imesikiwa, na mkeo Elisabeti atakuzalia mtoto mwanamume, na jina lake utamwita Yohana.
Luka 1:14
Nawe utakuwa na furaha na shangwe, na watu wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Andiko hilo hapo Yohana amezaliwa. Akiwa Muislam
Hebu fafanua mkuu, sijaona uislam hapo pengine we umeona.
Wewe si umesema binadamu anapozaliwa anakuwa hana dini?

Luka 1:15
Kwa sababu atakuwa mkuu mbele za Bwana; hatakunywa divai wala kileo; naye atajazwa Roho Mtakatifu hata tangu tumboni mwa mamaye.

Nimekupa andiko hilo linasema Yohana mbatizaji alijazwa roho mtakatifu tokea akiwa tumboni Kwa mama yake

Kwahiyo Yohana amezaliwa akiwa Muislam

Au unao ushahidi kuwa dini ya Yohana mbatizaji sio uislam?
Nasema tena, mtoto anazaliwa empty hana chochote kinachohusiana na mafundisho ya Duniani.

Inamaana we jamaa kwa akili zako unahisi kuna jambo lolote linalohusu uislam limezungumzwa kwenye Biblia? Hebu kuwa serious achana na watu wanoungaunga aya. Biblia wakati inaandikwa hakukuwepo na kitu "uislam".

Kwenye hiyo Aya, uislam wa yohana upo wapi mbona sioni? Hebu eleza vizuri mkuu.
 
Paulo ndio aliyoamzisha ukristo na hiyo kazi alipewa na Dora ya roman empire na yeye Paulo ni mrumi

Matendo ya Mitume 22:28
Jemadari akajibu, Mimi nalipata wenyeji huu kwa mali nyingi. Paulo akasema, Na mimi ni Mrumi wa kuzaliwa.
Roman empire iliukubali ukristo wakati gani? Maana wamekuja kuudandia ukristo huko mbeleni baada ya kuona mbinu zao za kuutuliza hazifanikiwi,,,,na ukristo ukakua zaidi kipindi cha Byzantine empire ambayo ilikua ni muendelezo wa roman empire japo makao makuu yalikua Uturuki na sio roma na mgawanyiko na orthodox ndo ulipoanzia hapo kuna watawala walitaka nguvu ya utawala pamoja na kanisa ubaki uturuki huku wengine wakitaka ubaki Roma, ukiongezea na sababu zingine ndo ukatokea huo mgawanyiko, na kila upande mashariki na magharibi hadi sasa kila upande unasema wao ndo waasisi, kwahio inategemea umepikwa kwenye propaganda za wamagharibi au mashariki,,,wa mashariki wanasema wao ndo kanisa la kweli la mwanzo huku kwa wamagharibi nao wanavutia mpira kwao......kwa Afrika ni lazima upikike kwa propaganda za wamagharibi maana makanisa kwa asilimia kubwa huku yaliingia kipindi cha ukoloni na yote yalikua ni branch za roman catholic au roman catholic wenyewe,,,,,hakuna kanisa la mashariki lililoshiriki kwenye ukoloni ndo maana propaganda zao hazijasambaa kama za wamagharibi
 
Kwa karne nyingi, uhusiano kati ya Ukatoliki na Uislamu umekuwa wa mvutano na wakati mwingine wa ushirikiano wa ajabu. Madai ya aliyekuwa padri wa Kanisa Katoliki, Dr. Alberto Rivera, yameibua mjadala mzito kuhusu chanzo halisi cha Uislamu. Rivera alidai kuwa Vatican ilikuwa na mkono wa moja kwa moja katika kuanzisha dini ya Kiislamu, kama mpango wa kisiasa na kiroho wa muda mrefu wa Kanisa wa kupata udhibiti wa Mashariki ya Kati.

Madai ya Alberto Rivera Kuhusu Chanzo cha Uislamu

Katika mahojiano,Padre Rivera alieleza kuwa alipokuwa ndani ya Vatican, alifunuliwa kuhusu mpango wa siri wa kuunda dini mpya ya Kiarabu ili kuwapa Wakatoliki udhibiti wa Yerusalemu, kuwachochea Waarabu dhidi ya Wayahudi, na baadaye kuwaunganisha Waislamu na Wakatoliki kupitia heshima ya Mariamu. Rivera alisema:

ā€œVatican created Islam in the 7th century to control the Arab world and to create a military power that could seize Jerusalem for the pope.ā€

Aliongeza kuwa Muhammad alifunzwa na wakristo wa mashariki waliokuwa na mwelekeo wa Roma, na hakuwa na ufahamu wa kina wa Injili bali alipewa mwelekeo wa kuanzisha dini inayompinga Kristo lakini inayohifadhi baadhi ya mafundisho ya Mariamu.

Historia inaonyesha kuwa Waarabu walikuwa na mahusiano na Wakristo kabla ya Uislamu. Mmoja wa watu waliokutana na Muhammad akiwa kijana ni mmonaki aitwaye Buhaira, ambaye alitambua ā€œalama ya kinabiiā€ kwa Muhammad na kumhimiza alindwe. Baadhi ya wachambuzi wa kihistoria wanasema Buhaira alikuwa na mafungamano na taasisi ya Kikristo ya Kirumi, au angalau alikuwa chini ya ushawishi wa Roma kupitia matawi ya Ukristo wa mashariki.

Katika maandiko ya Patrologia Latina, inaelezwa kuwa Kanisa Katoliki lilikuwa na misheni mbalimbali za siri zilizokuwa zikifanya kazi katika maeneo ya Mashariki, ikiwemo Arabia. Mapadri hawa walihubiri Mungu mmoja lakini waliepuka kulazimisha Injili kikamilifu, jambo ambalo linawiana na madai ya Rivera kwamba

ā€œThe Vatican only gave the Arabs partial truth and kept the rest hidden to form a controllable religious bloc.ā€

Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur’an, kinamtaja Mariamu kwa heshima ya kipekee, na anatajwa zaidi ya wanawake wote, hata kuliko kwenye Biblia. Muhammad anafundisha kuwa Mariamu alizaliwa bila dhambi, jambo ambalo linashabihiana sana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu

ā€œImmaculate Conceptionā€.

ā€œAnd [mention] when the angels said, ā€˜O Mary, indeed God has chosen you and purified you and chosen you above the women of the worlds.ā€™ā€ (Qur’an 3:42)

Rivera alitumia hoja hii kama ushahidi wa kuwa Kanisa lilipandikiza ibada ya Mariamu ndani ya Uislamu kama chombo cha baadaye cha kuunganisha dini hizo mbili. Katika moja ya project zake alieleza

ā€œThis was the Vatican’s secret weapon: Mary. The Muslims would one day unite with Catholicism under her name.ā€

Zaidi ya hayo, Fatima mji wa Ureno ambako Bikira Maria aliripotiwa kuwatokea watoto mwaka 1917 umepewa jina sawa na binti wa Muhammad.

Hili linatajwa na wachambuzi wa historia ya dini ya kama hatua ya kimakusudi ya kuunganisha heshima ya Mariamu kati ya Wakatoliki na Waislamu.

Tukio la Fatima linatajwa sana na Wakatoliki, huku pia jina hilo likiwa na nafasi ya kipekee kwa Waislamu, na linazidi kuonesha muktadha wa Mariamu kama daraja la kidini kati ya dini hizo mbili.

Katika kitabu The Prophet cha Catholico Ahmed Zaki Yamani, imeandikwa kuwa maendeleo ya Uislamu katika karne ya 7 yalikuwa ya ajabu na yalikubalika haraka katika maeneo ya ki-Bizanti.

Padre Rivera alidai kuwa hili liliwezekana tu kwa sababu ya mkono wa Kanisa, likitumia Uislamu kama njia ya kudhibiti upanuzi wa Ukristo wa Kiprotestanti na Uyahudi katika Mashariki ya Kati. Anasema...

ā€œThe Pope realized he could use Islam as a sword against the Jews and the true Christians.ā€ — Rivera.

Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassins cha Eric Jon Phelps, hata baada ya kuanzishwa kwa Jesuit karne nyingi baadaye, ushahidi wa ushirikiano wa siri kati ya Vatican na Uislamu uliendelea kuwepo kupitia mikutano ya kisiasa, misimamo ya pamoja dhidi ya Israeli, na ushawishi wa Mariamu.


Alexander Hislop, katika kitabu chake maarufu The Two Babylons, anaeleza kuhusu asili ya mafundisho ya kipagani yaliyofichwa ndani ya Ukatoliki,

inadaiwa kuwa wakati Papa alipokamatwa na maadui wa Kanisa, walikuta maneno ya Kiislamu (Shahada) yakiwa yameandikwa kwenye kiti cha enzi chake

ā€œLa ilaha illa Allah, Muhammadur Rasulullahā€

maandishi haya yalikuwa sehemu ya usiri wa mafungamano ya kidini yaliyolenga kuunganisha dini kubwa za dunia kwa ajili ya lengo la kisiasa la Kanisa.


Heshima ya Mariamu katika Ukatoliki na Uislamu, na Mji wa Fatima

Uislamu unampa Mariamu (Maryam) heshima kubwa, hata kuliko Biblia yenyewe. Yeye ndiye mwanamke pekee aliyatajwa kwa jina ndani ya Qur’an, na sura nzima (Surah Maryam) imetengwa kwa ajili yake. Qur’an inaeleza:

ā€œNa kumbuka waliposema Malaika: Ewe Mariamu! Hakika Mwenyezi Mungu amekuteua na amekutakasa, na amekuteua juu ya wanawake wote wa ulimwengu.ā€ (Qur’an 3:42)

Hii inafanana na mafundisho ya Kanisa Katoliki kuhusu Immaculate Conception, kwamba Mariamu alizaliwa bila dhambi ya asili na alibeba Yesu kwa usafi kamili wa kiroho.

Mjini Fatima, Ureno, ndiko ilikodaiwa kuwa Bikira Maria alimtokea msichana mmoja mwaka 1917. Tukio hili lilipewa umuhimu mkubwa sana na Vatican. Kinachovutia zaidi ni kwamba jina "Fatima" ni jina la binti wa Mtume Muhammad. Wachambuzi wa kiroho na historia wanaamini kuwa kuchaguliwa kwa mji huo na matokeo yake yalikuwa na lengo la kufanikisha uhusiano wa kihisia kati ya Waislamu na Wakatoliki kupitia Mariamu/Fatima, ikimaanisha kwamba ibada ya Mariamu inaweza kuwa daraja kati ya dini hizo mbili.


Katika karne ya 20 na 21, kumekuwa na matukio kadhaa ya kihistoria ambapo Mapapa wamekutana na viongozi wa Kiislamu, wakashiriki ibada pamoja na hata kuweka mikakati ya ushirikiano wa kidini.

Mwaka 2019, Papa Francis alizuru UAE na kusaini "Document on Human Fraternity" pamoja na Sheikh wa Al-Azhar. Huu ulikuwa mkutano wa kihistoria unaoonyesha jinsi viongozi wa Kidini kutoka Ukatoliki na Uislamu wanavyojenga daraja la ushirikiano, wakiweka mbele maadili ya amani, umoja, na haki za binadamu. Huu ni mfano wa juhudi za kukuza uelewa na mashauriano kati ya dini hizo mbili kubwa, ingawa bado kuna maswali na shaka kuhusu umoja wa kweli wa kidini.
Akili za mburahati
 
Roman empire iliukubali ukristo wakati gani? Maana wamekuja kuudandia ukristo huko mbeleni baada ya kuona mbinu zao za kuutuliza hazifanikiwi,,,,na ukristo ukakua zaidi kipindi cha Byzantine empire ambayo ilikua ni muendelezo wa roman empire japo makao makuu yalikua Uturuki na sio roma na mgawanyiko na orthodox ndo ulipoanzia hapo kuna watawala walitaka nguvu ya utawala pamoja na kanisa ubaki uturuki huku wengine wakitaka ubaki Roma, ukiongezea na sababu zingine ndo ukatokea huo mgawanyiko, na kila upande mashariki na magharibi hadi sasa kila upande unasema wao ndo waasisi, kwahio inategemea umepikwa kwenye propaganda za wamagharibi au mashariki,,,wa mashariki wanasema wao ndo kanisa la kweli la mwanzo huku kwa wamagharibi nao wanavutia mpira kwao......kwa Afrika ni lazima upikike kwa propaganda za wamagharibi maana makanisa kwa asilimia kubwa huku yaliingia kipindi cha ukoloni na yote yalikua ni branch za roman catholic au roman catholic wenyewe,,,,,hakuna kanisa la mashariki lililoshiriki kwenye ukoloni ndo maana propaganda zao hazijasambaa kama za wamagharibi
Hao Islam hawajui historia
 
Back
Top Bottom