Uislam ndio dini bora

 
Kwani nani kawalazimisha kusherekea???
 
Kama shetani tu nae ni muislam na majini pia nayo ni maislam kwa nn isiwe dini bora kabisa
 
Huwa naheshimu sana dini za watu.
Inaonekana sherehe unayosherekea ipo kwenye kitabu chenu cha quaran na hadithi.

SWALI: 1. SHEREHE YA MAULID IMEANDIKWA KWENYE KITABU GANI AU HADITHI IPI (kumbuka shia na suna wote ni waislamu lakini wanatofautiana siku ya kusherehekea maulid )

2. na kama haipo kwenye maandiko tuiite ni haramu?

ushauri

1. siku kuu na miandamo ya mwezi haitakupeleka kwa mwenyezi wako

2. wanaomjua MUNGU hawako chini ya sheria bali wanaongozwa na amri za MUNGU.

3. Acha kuhangaika na imani za watu, tupo nyakati za mwisho kila mtu anaelekea kuchanganyikiwa na ni swala la muda

4. ishini katika upatanishi na si uchonganishi.

5. utahukumiwa kutokana na kile unachokiamini, acha kuvuruga imani za watu.

6. unaweza kuta unaiishi hyo miezi, huli kitimoto lakn we ni mzinzi na mfiraji na muongo, siku ya kiyama utakiona cha moto (TUBU, ACHA KUJIDANGANYA NA KANZU)
 
Dini bora ni ile inayohubiri upendo na haki kwa watu wote. Ni ile inayokuguarantee mahali utaenda baada ya maisha ya hapa duniani.

Kinyume na hapo hiyo dini haina uhalali wa kujiita ati ni bora
 
Mnayafunga na yanakaa ndani yenu bila kuyatoa alf unaona ni sawa
 
Mtayakemeaje sasa
Mnataka waswali wapi ?
Si ni waumini wenzenu, au nakosea jamani 🤣🤣🤣
Sasa vipi jirani aweke mbuzi halafu wewe ukachunge porini?
Wagalatia ndio wenye majini.
Kila weekend mnaenda kuyakemea tena kwa malipo.
Sisi waislamu kimyaa. Huwezi kusikia eti shehe anasema tooooka tooooka pepo mchafu

Sasa km nyie Wagalatia hamna majini huwa mnakemea hewa au? 🤣🤣
 
Dini ya copy na kupest, Quran inataja idadi ya miezi 12 ambayo warumi waliitumia kabla ya hiyo koran
 
Teh teh teh
Yaani Majini tufuge sisi waislamu ndani ya miskiti halafu
Kuyatoa myatoe nyinyi makanisani.
We kweli kandanda
Whatever
Jini linikaa kwa yoyote
Ila kibaya ni yule aliyenalo na hajui na limekaa kimya
 
Whatever
Jini linikaa kwa yoyote
Ila kibaya ni yule aliyenalo na hajui na limekaa kimya
Hio nakubali bila shaka.
Tatizo ni kwamba wenzetu wagalatia wanaimani majini yanafugwa na waislamu kama unavyofuga kuku au mbuzi
Cha ajabu sasa wao ndio wanaokemea hayo majini kila siku makanisani huku wanakusanya fungu la kumi.
Hao waislamu wanaodaiwa kuwa wanafuga majini wako kimyaa.
Hapo ndipo ninaposhindwa kushangaa.
 
Tupate Wazamini Kidogo toka Studio live toka Talaban
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1767062620059.mp4
    4.6 MB
  • ssstwitter.com_1767093749201.mp4
    6.4 MB
  • ssstwitter.com_1766833309598.mp4
    3.7 MB
  • ssstwitter.com_1766427498472.mp4
    3 MB
Ni makosa ya kimtizamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…