M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 8,167
- 19,353
Muislam hutakiwi kusherekea mwaka mpya. Muislam unatakiwa ujue haya
Kwa Uislamu, miezi mitukufu (Ash-hur al-Hurum) ni miezi minne kati ya miezi kumi na miwili ya kalenda ya Kiislamu ambayo ina heshima maalumu. Miezi hiyo ni:
Dhul-Qa‘dah (ذو القعدة)
Dhul-Hijjah (ذو الحجة)
Muharram (محرم)
Rajab (رجب)
Umuhimu wa miezi mitukufu
Miezi hii imetajwa katika Qur’ani:
“Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na miwili… katika hiyo ipo miezi minne mitukufu.”
(Qur’ani 9:36)
Katika miezi hii:
Dhambi zina uzito mkubwa zaidi, hivyo Muislamu anatakiwa ajiepushe sana na maovu.
Matendo mema hulipwa zaidi, kama vile kufunga, kuswali, kutoa sadaka, na dhikri.
Zamani vita viliharamishwa ndani ya miezi hii, isipokuwa kwa kujilinda.
Maelezo mafupi ya kila mwezi
Dhul-Qa‘dah: Mwezi wa maandalizi ya Hija; vita viliharamishwa.
Dhul-Hijjah: Mwezi wa Hija na Iddi ya Adh-ha; una siku kumi bora sana.
Muharram: Mwezi wa kwanza wa mwaka wa Kiislamu; kufunga siku ya ‘Ashura ni Sunnah.
Rajab: Mwezi wa heshima; huhusishwa na tukio la Israa na Mi‘raj kwa wanazuoni weng
Kwani nani kawalazimisha kusherekea???Muislam hutakiwi kusherekea mwaka mpya. Muislam unatakiwa ujue haya
Kwa Uislamu, miezi mitukufu (Ash-hur al-Hurum) ni miezi minne kati ya miezi kumi na miwili ya kalenda ya Kiislamu ambayo ina heshima maalumu. Miezi hiyo ni:
Dhul-Qa‘dah (ذو القعدة)
Dhul-Hijjah (ذو الحجة)
Muharram (محرم)
Rajab (رجب)
Umuhimu wa miezi mitukufu
Miezi hii imetajwa katika Qur’ani:
“Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na miwili… katika hiyo ipo miezi minne mitukufu.”
(Qur’ani 9:36)
Katika miezi hii:
Dhambi zina uzito mkubwa zaidi, hivyo Muislamu anatakiwa ajiepushe sana na maovu.
Matendo mema hulipwa zaidi, kama vile kufunga, kuswali, kutoa sadaka, na dhikri.
Zamani vita viliharamishwa ndani ya miezi hii, isipokuwa kwa kujilinda.
Maelezo mafupi ya kila mwezi
Dhul-Qa‘dah: Mwezi wa maandalizi ya Hija; vita viliharamishwa.
Dhul-Hijjah: Mwezi wa Hija na Iddi ya Adh-ha; una siku kumi bora sana.
Muharram: Mwezi wa kwanza wa mwaka wa Kiislamu; kufunga siku ya ‘Ashura ni Sunnah.
Rajab: Mwezi wa heshima; huhusishwa na tukio la Israa na Mi‘raj kwa wanazuoni weng
Mnayafunga na yanakaa ndani yenu bila kuyatoa alf unaona ni sawaCha ajabu kila siku tunasikia makelele makanisani kondoo wakitolewa mapepo.
Toooooka kwa jiiiiiiiiina la yesu!! Shindwaaaa kwa Jiiiina la yesu.!!
Sasa km uislamu ni dini ya majini inakuwaje hayo majini yawaingie wagalatia tu?
Wapi umewahi kuona au kusikia msikitini wanakemea mapepo ?
Au wagalatia mnaiba mpk majini?! Manake nyie kwa wizi ni balaa.
Serikalini mnaiba kila kukicha. Sasa kwa roho zenu za chuki mkaona muibe mpk majini .
Manina 🤣 🤣
Ndio imesema dini ya majini?sura tul jin
Aya ya ngapi au iweke hapa tuoneNdio
Teh teh tehMnayafunga na yanakaa ndani yenu bila kuyatoa alf unaona ni sawa
Sasa vipi jirani aweke mbuzi halafu wewe ukachunge porini?Mtayakemeaje sasa
Mnataka waswali wapi ?
Si ni waumini wenzenu, au nakosea jamani 🤣🤣🤣
Dini ya copy na kupest, Quran inataja idadi ya miezi 12 ambayo warumi waliitumia kabla ya hiyo koranMuislam hutakiwi kusherekea mwaka mpya. Muislam unatakiwa ujue haya
Kwa Uislamu, miezi mitukufu (Ash-hur al-Hurum) ni miezi minne kati ya miezi kumi na miwili ya kalenda ya Kiislamu ambayo ina heshima maalumu. Miezi hiyo ni:
Dhul-Qa‘dah (ذو القعدة)
Dhul-Hijjah (ذو الحجة)
Muharram (محرم)
Rajab (رجب)
Umuhimu wa miezi mitukufu
Miezi hii imetajwa katika Qur’ani:
“Hakika idadi ya miezi kwa Mwenyezi Mungu ni miezi kumi na miwili… katika hiyo ipo miezi minne mitukufu.”
(Qur’ani 9:36)
Katika miezi hii:
Dhambi zina uzito mkubwa zaidi, hivyo Muislamu anatakiwa ajiepushe sana na maovu.
Matendo mema hulipwa zaidi, kama vile kufunga, kuswali, kutoa sadaka, na dhikri.
Zamani vita viliharamishwa ndani ya miezi hii, isipokuwa kwa kujilinda.
Maelezo mafupi ya kila mwezi
Dhul-Qa‘dah: Mwezi wa maandalizi ya Hija; vita viliharamishwa.
Dhul-Hijjah: Mwezi wa Hija na Iddi ya Adh-ha; una siku kumi bora sana.
Muharram: Mwezi wa kwanza wa mwaka wa Kiislamu; kufunga siku ya ‘Ashura ni Sunnah.
Rajab: Mwezi wa heshima; huhusishwa na tukio la Israa na Mi‘raj kwa wanazuoni weng
WhateverTeh teh teh
Yaani Majini tufuge sisi waislamu ndani ya miskiti halafu
Kuyatoa myatoe nyinyi makanisani.
We kweli kandanda
Hio nakubali bila shaka.Whatever
Jini linikaa kwa yoyote
Ila kibaya ni yule aliyenalo na hajui na limekaa kimya
Tupate Wazamini Kidogo toka Studio live toka TalabanHuwa naheshimu sana dini za watu.
Inaonekana sherehe unayosherekea ipo kwenye kitabu chenu cha quaran na hadithi.
SWALI: 1. SHEREHE YA MAULID IMEANDIKWA KWENYE KITABU GANI AU HADITHI IPI (kumbuka shia na suna wote ni waislamu lakini wanatofautiana siku ya kusherehekea maulid )
2. na kama haipo kwenye maandiko tuiite ni haramu?
ushauri
1. siku kuu na miandamo ya mwezi haitakupeleka kwa mwenyezi wako
2. wanaomjua MUNGU hawako chini ya sheria bali wanaongozwa na amri za MUNGU.
3. Acha kuhangaika na imani za watu, tupo nyakati za mwisho kila mtu anaelekea kuchanganyikiwa na ni swala la muda
4. ishini katika upatanishi na si uchonganishi.
5. utahukumiwa kutokana na kile unachokiamini, acha kuvuruga imani za watu.
6. unaweza kuta unaiishi hyo miezi, huli kitimoto lakn we ni mzinzi na mfiraji na muongo, siku ya kiyama utakiona cha moto (TUBU, ACHA KUJIDANGANYA NA KANZU)
Ni makosa ya kimtizamoHio nakubali bila shaka.
Tatizo ni kwamba wenzetu wagalatia wanaimani majini yanafugwa na waislamu kama unavyofuga kuku au mbuzi
Cha ajabu sasa wao ndio wanaokemea hayo majini kila siku makanisani huku wanakusanya fungu la kumi.
Hao waislamu wanaodaiwa kuwa wanafuga majini wako kimyaa.
Hapo ndipo ninaposhindwa kushangaa.