Lovren10
New Member
- Feb 21, 2020
- 4
- 5
Nimekua nikifatilia mafao yangu pale mfuko wa PSSSF. Kuna michango ambayo kwenye statement haionekani na mwajiri alifanya process zote za kutuma na kuweka. Sasa changamoto inakuja ukienda PSSSF na ukiuliza mbona michango mingine haipo?
Majibu toka PSSSF '' Hii michango mingine kuanzia February tumeipeleka NSSF'' Na ukifatilia NSSF michango inayodaiwa kuletwa na PSSSF haipo.
Unawezaje kupeleka pesa mahali ambako mtu hana account number au si mwanachama?. kwa 100%Hizi ni dalili za PSSSF Wanatumia loophole ya kuichanganya mifuko kuwaibia wananchi na kujinufaisha na matumbo yao.
Hivyo Serikali na Mamlaka husika (ssra) tunaomba mfatilie hili jambo kwa karibu sana ili kuweza kuokoa pesa toka kwa watu wachache wanaojinufaisha na kwa maslahi yao binafsi.
Majibu toka PSSSF '' Hii michango mingine kuanzia February tumeipeleka NSSF'' Na ukifatilia NSSF michango inayodaiwa kuletwa na PSSSF haipo.
Unawezaje kupeleka pesa mahali ambako mtu hana account number au si mwanachama?. kwa 100%Hizi ni dalili za PSSSF Wanatumia loophole ya kuichanganya mifuko kuwaibia wananchi na kujinufaisha na matumbo yao.
Hivyo Serikali na Mamlaka husika (ssra) tunaomba mfatilie hili jambo kwa karibu sana ili kuweza kuokoa pesa toka kwa watu wachache wanaojinufaisha na kwa maslahi yao binafsi.