Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Shika njia yako mama hapo hamna kitu.
Tayari ana mtu
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1].. You never know. It might be true
So Mimi nimeamua kumuangalia tu....Kama aanataka kuwa katika Mahusiano atashow effort na Nia..Kama hataki Siwezi mlazimisha Wala kumforce.

So nimeamua kumuachia hayo maamuzi yeye... Huku Mimi nikiangalia action zake.

Kama ikifika mahala nikaona zero effort... Ntaendelea tu na maisha yangu...bila hata kumbugudhi.

Siwezi weka effort na kupush kutaka matokeo nayoyataka kwa lazima...Lazima itoke kwake...I need him....but he is the one who should need me more.

So Kama he needs me in his life...he will do the right thing....Kama hataki...Mimi ntaendelea na maisha yangu.


And who told you ladies love minimal attention?... You should say "you like it"
Ila ujue hii comment yako imekaa kibabe
 
Ndio kipenzi changu, nikisoma comments zako huwa kuna ubaridi unanipiga mwili mzima nasisimka, inakuwa kama nimepita pembeni ya makaburi ya watakatifu.

Upepo wa utakatifu eneo hilo ukavuma ukanipuliza na mimi nikapata msisimko wa ajabu.......

Mtoto so innocent wewe, MUNGU anijalie nipate nafasi japo hata ya kukukumbatia nikutazame usoni kwenye macho yako hayo makubwa kama mwanasesere wa Barbie.......

Dah unanimaliza sana ewe kimwana Karma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh
Utawapata wajinga siyo mimi
 
Teh teh
Utawapata wajinga siyo mimi

Ni wa ngapi hata nimeshawahi kuwanenea lugha ya moyo kwa ndimi hii iliyotakaswa na mate kutoka katika koo lenye kusema ukweli usio na kificho?! La hasha, hata m'moja wapo haikuwahi kumtokea bali ni wewe pekee ndie mteule uliyeteuliwa miongoni mwa mamilioni waliostahili kuipata fursa hii adhimu.

Ewe kimwana Karma utendee haki moyo wangu ulioteseka kwa miaka mingi ukitafuta pumziko la kudumu katika mikono salama itakayoukinga moyo huo kutokana na mateso ya ulimwengu huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wa ngapi hata nimeshawahi kuwanenea lugha ya moyo kwa ndimi hii iliyotakaswa na mate kutoka katika koo lenye kusema ukweli usio na kificho?! La hasha, hata m'moja wapo haikuwahi kumtokea bali ni wewe pekee ndie mteule uliyeteuliwa miongoni mwa mamilioni waliostahili kuipata fursa hii adhimu.

Ewe kimwana Karma utendee haki moyo wangu ulioteseka kwa miaka mingi ukitafuta pumziko la kudumu katika mikono salama itakayoukinga moyo huo kutokana na mateso ya ulimwengu huu..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa haya Maneno Kama unahubiri...ptuuu
 
Mtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini? Kumpigia mpenzi wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea ni kumnyima Uhuru? Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?

Kwa kweli nishaurini sielewi
Wenzie tunatamani wa kutupigia hata mara 1 kwa siku 3 hawapigi, kama hataki kukusikia andaa tissues zako siku ikifika zitakusaidia kwenye kukinga machozi
Mapenzi ni communications....nayo sio mesejes tu kusikia sauti ya mwenzio ni tiba ya maumivu hata kama kajiibia sekunde tu kusikia sauti yako.
 
Wenzie tunatamani wa kutupigia hata mara 1 kwa siku 3 hawapigi, kama hataki kukusikia andaa tissues zako siku ikifika zitakusaidia kwenye kukinga machozi
Mapenzi ni communications....nayo sio mesejes tu kusikia sauti ya mwenzio ni tiba ya maumivu hata kama kajiibia sekunde tu kusikia sauti yako.

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Aisee....
 
Mkuu unafahamu maana ya neno ASEXUAL? Hebu tuanzie hapo kwanza?
a person who has no sexual feelings or desires, or who is not sexually attracted to anyone.

Nimeitoa google hio hope haina shida yoyote.
Ila bado nina maswali kadhaa kama utanipa ruhusa ya kuuliza basi nitarudi kukuuliza.
 
a person who has no sexual feelings or desires, or who is not sexually attracted to anyone.

Nimeitoa google hio hope haina shida yoyote.
Ila bado nina maswali kadhaa kama utanipa ruhusa ya kuuliza basi nitarudi kukuuliza.
Kama ni personal zaidi basi karibia PM mkuu
 
Duuuh..kwaiyo asipokea Simu sawa...Mimi sikutaka kujua anafanya Nini Mimi nikitaka kuona Kama Kuna uwezekano wa kuonana tena niliuliza kwa text lakini hakujibu...Baada ya Muda mrefu anasema min nalalamika Sana...Sasa Kama Jambo limekukwaza ukae kimya TU?...

Mapenzi Ni compromise...Kila upande ushow effort,...
Mi naona yaani Ni Mahusiano Magumu Sana...Anasema nimsome nijue anataka Nini...namsomaje Simu hapokei, text zenyewe Sio mtu Wa kufunguka...

Eti nimuachie Mahusiano yeye ayalead... Kwaiyo mawasiliano Ni Mpaka yeye aamue....Mimi sisubirie tu ajisikie kuwasiliana
Acha ujinga, huyo jamaa ana kupenda sema ule muda wa kuchat chat kijinga hana kabisa.
Huyo ni pacha wangu kabisaaaa...
 
Back
Top Bottom