Uhuru katika Mahusiano?

Uhuru katika Mahusiano?

Acha ujinga, huyo jamaa ana kupenda sema ule muda wa kuchat chat kijinga hana kabisa.
Huyo ni pacha wangu kabisaaaa...
I guess it's true....

Doooh maybe I want constant attention.
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Labda inawezekana hupendwi yeye ana mtu wake kwaiyo unavyo mpigia aidha wanakuwa pamoja kwaiyo anaona una muaribia! Jambo lingne baadh ya sisi wanaume hatu pend kupigiwa sim kila wakat halaf hatupendi kuonyeshwa tunapendwa sanaa tunaona kelo na usumbufu.
 
Nikipiga coz alisema yupo njiani kurudi home ..ilikua sa nane..nikawa natuma msg hajibu...nikapiga coz nikitaka kuonana nae...coz anasafiri kesho...anasema kuonana haikua kwenye ratiba yeye hawezi vunja ratiba zake.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...KHAAAAAAAAAAAA

Sasa hapa ndoa Mimi kwakweli itakuwa ngumu kufungwa...Mambo yashakuwa Magumu mwanzo kabisa.
Hapo huna chako wewe umempenda yeye haja kupenda halaf na nyinyi wanawake mkipenda mnasumbua sanaaaa yani mnapiga sim mpaka kero
 
Hapo huna chako wewe umempenda yeye haja kupenda halaf na nyinyi wanawake mkipenda mnasumbua sanaaaa yani mnapiga sim mpaka kero
....Kweli simu Kuna muda huzidi
 
....Kweli simu Kuna muda huzidi
Mimi naweza nisimpigie sim mpenz wangu hata siku mbili lakin nakuwa nampenda na nakuwa sina mpenz mwingne zaid yke! kwaiyo inategemea huyo mtu wako yupo kwenye situation gani na sisi wanaume kusema Jambo linatukosesha Aman kwa wapenz wetu ningum sana
 
Mimi naweza nisimpigie sim mpenz wangu hata siku mbili lakin nakuwa nampenda na nakuwa sina mpenz mwingne zaid yke! kwaiyo inategemea huyo mtu wako yupo kwenye situation gani na sisi wanaume kusema Jambo linatukosesha Aman kwa wapenz wetu ningum sana
True .. nimekuelewa sana jaap
 
ukisikia kauli km hizo, jiandae kisaikojolojia na yajayo ambayo hayafurahishi.
Jamaa angu mmoja yeye hupenda kusema Yajayo yanayo furahisha ni ya Vodacom tu mengine yanasikitisha na kuogofya Sana [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Namini Nashangaaa...Uhuru upi yaani anautaka..wakufanya Nini..mpaka Mimi Simu zangu zimpunguzie huo Uhuru...

Huyu mwanaume Ni Mgumu Sana...yaani anamisimamo ya Ajabu Sana...hata ukisema nampeleka ndugu yangu hospital..anajibu HAYA....like hata kuuliza anaumwa Nini nalo hawezi...eti kwani Huyu ndugu yako Ni Wewe?
Bado uko naye tu?
 
Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..

Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...

Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...

ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...

Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....

Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
Haya maneno mawili mwisho ndo sahihi.
 
Back
Top Bottom