snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,324
Na hapa ndo UMEKOSEA.Nikipiga coz alisema yupo njiani kurudi home ..ilikua sa nane..nikawa natuma msg hajibu...nikapiga coz nikitaka kuonana nae...coz anasafiri kesho...anasema kuonana haikua kwenye ratiba yeye hawezi vunja ratiba zake.[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]...KHAAAAAAAAAAAA
Sasa hapa ndoa Mimi kwakweli itakuwa ngumu kufungwa...Mambo yashakuwa Magumu mwanzo kabisa.
MAHUSIANO MAPYA, PENZI JIPYA
UNAANZAJE KULIPA MAWAZO YA NDOA?
ENJOY THE MOMENT.
mwenzio anakuona tu ni partner we ushawaza ndoa.
Relax, chill.
Enjoy the ride while it lasts.