Dhaaaaa aiseeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]c Chek kwa Mazur ila huyo jamaa anavotaka hapo n kizungumkut kwakweliDuuuh..kwaiyo asipokea Simu sawa...Mimi sikutaka kujua anafanya Nini Mimi nikitaka kuona Kama Kuna uwezekano wa kuonana tena niliuliza kwa text lakini hakujibu...Baada ya Muda mrefu anasema min nalalamika Sana...Sasa Kama Jambo limekukwaza ukae kimya TU?...
Mapenzi Ni compromise...Kila upande ushow effort,...
Mi naona yaani Ni Mahusiano Magumu Sana...Anasema nimsome nijue anataka Nini...namsomaje Simu hapokei, text zenyewe Sio mtu Wa kufunguka...
Eti nimuachie Mahusiano yeye ayalead... Kwaiyo mawasiliano Ni Mpaka yeye aamue....Mimi sisubirie tu ajisikie kuwasiliana
Dada kama upo juu shuka ondoaMhuni TU Huyu..
Unaona sasa ambaye atakujali amekuja unaleta mapozi ya kumkataa. Halafu unawapa wahuni wakikufanyia uhuni unakuja kulia lia hapa......Mkuuu...Hebu niache tafadhali
Hata sisi pia usipompenda mtu Simu na sms zake Ni kero... Ila tatizo ALINIAMINISHA Sana kuwa ananipenda... Yaani SANA...kumbe LOOOH it was a lie
Usijali mkuu,ongeza tu maupendo anaweza kukufikiria vizuri
Mh Jambo lako ni gumu jmn,ila kuna kauli nimewahi kuisikia inasema hakunaga ubussy kwenye mapenzi ,,,,km unapiga simu Mara zote hizo mtu hapokei kuna tatizo hapo hamna cha uhuru Wala nnMtu kutaka Uhuru katika Mahusiano maana Yake Nini?.
Kumpigia mpnz wako simu 3 times in a span of 5 hours nazo hajapokea Ni kumnyima Uhuru?..
Kuwa katika Mahusiano na kuishi Kama haupo katika Mahusiano ndo Uhuru?
Kwakweli nishaurini sielewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyu tunawezana....Sam usimtese mrembo bana [emoji23][emoji23][emoji23] pokea simu zake alooh!
Ila we mtoto nina feelings kali sana juu yako. Upo so innocent.......[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mapenzi Ni Ushenzi
Ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuanzishia Uzi kabisa sikubali[emoji27][emoji27]
Okay sawaMkuuu...Huyu TU ndo anashida.. wanaume wengi Ni wazuri...wazuri wapo na Wenye kujali Sana...
Huyu alikuja na gia hiyo lakini ALIKUA MUIGIZAJI TU
Usawa huu wa msukuma tarehe 3 january unaumiza kichwa na mtoto wa mtu[emoji849] Njoo Kidimbwi uko casper nyovest atakuwepo Tonight utafakari maisha kwa mapana[emoji2]Labda maana sielewi....Mi sioni Kama namyima Uhuru..Simu hua napiga akiwa hayupo kazini...akiwa kazini sipigagi Simu..
Sasa mpnz wako kukupigia simu ndo kumyima Uhuru..Tena penzi jipya? Lakini Simu zangu hapokeagi ...Mara nililala mapema, Mara sikuisikia, saiv ndo anasema hawezi kukaa na Simu muda wote nanyima Uhuru wakufanya Mambo mengine...
Sasa Kama unamambo Mengine unafanya SI unasema Tatizo liko wapi...nipo kwenye kikao...Kutokupokea Simu Mimi naona Kama Dharau...
ukilalamika anakata Simu eti Kama huelewi Basi...jamani Mapenzi yakigumu Hakuna kumbembelezana...Hakuna romantic language...yaani yeye anachoona kinafaa ndo hicho hicho...Mtu anaamini yupo sawa haijalishi Wewe unaumia au la...
Mi sioni Kama huu Ni upendo..Mapenzi Ni mahaba na kuhurumiana...
Mtu unasafiri unaenda mbali huko mkoani utakaa labda wiki mbili...huwezi kumuaga mpnz wako Tena Ni dakika 20 TU a Gari....
Minaamini kwenye Mapenzi furaha ya mpnz wako Ni kipaumbele...Kama mtu hainvest kumfanya mpnz wake afurahi...Basi hapo HAKUNA MAPENZI.
ππππππππKafanye hayo Mapenzi ya kiuutu uzima na mpnz wako au mkeo...
Duuh... hii comment sio mchezo....ndefu kuliko uzi wenyewe.Mkuu katika bandiko lako umetaka kujua maana ya uhuru katika mahusiano ni nini?
Ukweli ni kuwa, hakuna maana inayoeleweka na iliyoandikwa ya neno uhuru katika mahusiano nini.
Na hakuna kamusi, wala tume iliyo wahi kuundwa kukusanya maoni kutoka kwa wananchi ili tupate tafsiri ya neno uhuru katika mahusiano.
Matokeo yake, kila mtu ana tafsiri yake ya neno uhuru katika mahusiano kutokana na mtizamo wake na hisia zake kulingana na mahitaji yake, misimamo yake na utamaduni aliokulia.
Umesema jamaa yako hataki umpigie simu kwa sabb anaona unamuingilia uhuru wake, lakini kuna jamii hapa Tanzania mwanaume hataki akiwa anatoka nyumbani au anarudi kutoka mizungukoni mwanamke amuulize unaenda wapi au unatoka wapi, vinginevyo anaingilia uhuru wa mwanaume. Mifano ni mingi sana.
Kwa hiyo kuna "unwritten rules" kibao zilizojengwa katika msingi wa hisia na mtizamo inayochochewa na dhana, mahitaji binafsi, misimamo na tamaduni juu ya kipi ni sahihi na kipi si sahihi kuhusu uhuru katika mahusiano.
Na kwa mtindo huu wa kila mtu kutafsiri anavyojisikia, matokeo yake ndio mnatumbukia katika migogoro kama hii.
Wewe kimitizamo unaona hakuna shida kumpigia ila mwenzako anaona shida. Na huenda hata sio kwa sabb anakudharau lakn ni misimamo aliojiwekea, mitizamo aliyonayo na hisia alizonazo juu ya suala fulani.
And this is for sure, hutokaa upate mtu mnaye match misimamo, mitizamo, na utamaduni hata kama mnahisia za mapenzi kwa sabb tunatoka sehemu tofauti na tumbo inclusive.
Ndio wenye hekima wakasema ili mahusiano yadumu ni lazima tujifunze kutokubalina vinginevyo utahangaika asubuhi mpaka jioni ikukute.
Kwa hiyo Mkuu "ni kweli mapenzi ni hisia" lakn bila kuzingatia misimamo, mitizamo na utamaduni wa mtu utaendelea kupata tabu sana.
Turudi kwenye hoja ya muongozo unaoeleweka,
Katika muktadha huo, kama hoja ni tafsiri ya uhuru katika mahusiano, we must eliminate all unwritten rules na kuunda written rules ambazo zitakuwa standard na ndio utakuwa muongozo unaoeleweka ninao uzungumzia hapa ili kuondoa misunderstanding zote na diversity.
Na nyezo pekee ninayoijua ambayo hutumika kuondoa misunderstanding ni KATIBA.
So tuwe na "Katiba ya mahusiano ya kimapenzi na ndoa".
Akufundishe na kuandika vizuri maana hata kiswahili n changamoto[emoji16]Dada Rowin nami nilikiwa mkubwa nataka unifunindishe kuchanganya kizungu na kiswazi.