KAPOSI SARCOMA
Member
- Jan 13, 2018
- 38
- 50
Sasa wadau kila nikisema wanawake wengine wavaaga kishetani/kimalaya mnakataaga.kuna wanawake ninao kwenye list yangu ni wanavaaga kihuni sana.mimi niwaonye tu hadharani waache utovu wa maadili na wavae vizuri.leo naweka uthibitisho kwa picha ya namna wanavyovaaga kimalaya,mnataka mnunuliwe haraka? Acheni haraka umalaya wa mitandaoni.na wengine wanajidai waislam wa swala tano,OMG.
Kwa hali hii hawa wanawake wafanyweje ili kuliokoa taifa na hili janga?
Kwa hali hii hawa wanawake wafanyweje ili kuliokoa taifa na hili janga?