safi sana umekuja mahali husika, maridhiano ni kwa makundi yote! vp mliowachomea biashara zao hawastahili maridhiano? ama ni nyie mnajipa umuhimu kupitiliza? sisi tunakubaliana na maridhiano kwa wale wote ambao walipata msiba kwa bahati mbaya example wakati wahalifu wanafukuzwa, kwa mfano yule mtangazaji wa clouds yule familia yake ikisema inataka maridhiano ana haki zote za kupata hayo maridhiano
wewe umekaa mtandaoni unashawishi watu kwenda kuchoma mali za watu hujui kaanzia wap anaishi vp, msanii kapata show kwenye kampeni hana ata nafasi za uongozi mnaanzisha movement za unfollow sjui msiskilize nyimbo zao na leo unataka maridhiano 🤣 🤣 , nisiseme mengi