Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

Gentleman,
hakuna mamluki, mchochezi au gaidi wa kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma au binafsi ya wananchi atachekewa na vyombo imara sana vya ulinzi na usalama nchini hata kwa sekunde moja tu.

lazima kuwe na heshima kwa taifa :NoGodNo:
Kuumwa kote kule umeshindwa kufa?lakini naamini mwaka huu humalizi mwaka
 
Kuwa ccm sio kosa,kosa ni kuwa mpumbavu wa kushabikia ujinga,nyinyi ndio mnafanya watu wachukie chama kwa ushabiki wenu wa kipuuzi,kwenye uovu kemea sio kuweka ushabiki sio mpaka usubiri siku wakosee wampige risasi mama Yako ndio uumie,huo upumbavu wa fikra mbovu ni mzigo
tuseme sisi ni wajinga, wapi imeandikwa kua mjinga ni kosa kisheria? na wapi wamesema ukiwa mjinga unatakiwa kuchomewa biashara yako?
 
Ushahidi ni Rais wako mwenyewe alisema kuwa anajua watu wanaiba ila wasiibe sana mpaka wavimbiwe.yaani Rais wako mwenyewe anajua kuna ufisadi na bado akaendelea kuubariki kwa maneno yake mwenyewe.Alafu kuna matumizi mabaya ya mali za uma kama kuwalipa wasanii huku mambo muhuni yakiachwa Nk.
Maana yake huna ushahidi wa mtu kuiba si ndio?
 
Maandiko yamesema pia tusiukalie kimya maovu lazima tuukemee.
uliambiwa ni kwenye mamlaka? Yeye mwenyewe alikuja duniani na alitii mamlaka hata kama walimuua lakini alitii, wewe uliepo vichakan unataka kupindua neno si ndio
 
Kuwa ccm sio kosa,kosa ni kuwa mpumbavu wa kushabikia ujinga,nyinyi ndio mnafanya watu wachukie chama kwa ushabiki wenu wa kipuuzi,kwenye uovu kemea sio kuweka ushabiki sio mpaka usubiri siku wakosee wampige risasi mama Yako ndio uumie,huo upumbavu wa fikra mbovu ni mzigo
na kama kua ccm sio kosa, kwann mmechomabiashara ya shishi? amewakosea wap? kuna pesa ameiba? yaani hizi akili lazima zichapwe battle non stop, hatuwezi kuendekeza huu ujinga
 
No one owe you anything

we unaona nchi ipo ktk uchaguzi mkuu unaongia barabarani kudai haki kwa kuchoma mali

hakuna mtu anapenda mauaji ila calculate ur MOVE kwakuwa

njia ya treni inajulikana sasa kwanini utembee katika hiyo njia na baadae useme umegongwa na kulalamika?
 
Naona bado mnaendelea kufuga uhuni na wahuni Tanzania bado hamjajifunza ile tarehe 29. Njia pekee ya kuiponya nchi yetu ni kuwamaliza wahuni lakini bado mnaendelea kuwalea.watanzania tumeamka na mkiendelea kuwafumbia macho wahuni mambo zaidi ya tarehe 29 yatatokea.
Nimeogopa sana kuona kuna namba kybwa ya vijana wanakimbilia somalia kupata mafunzo vijana hawana uoga wala chuki na hasira hawajal kitu kuna kitu kibaya kinakuja soon
 
Maana yake huna ushahidi wa mtu kuiba si ndio?
Ushahidi ni maneno ya Rais wako mwenyewe kathibitisha viongozi wanaiba mali za uma.alafu pili tunaona viongozi wanamiliki mali ambazo kwa mshahara wao hawawezi kupata.tuliona mali za mkuu wa usalama ,mawaziri Nk kama magari ya kifahari Nk.watanzania tunajua ukweli na huwezi kutudanganya.
 
Nimeogopa sana kuona kuna namba kybwa ya vijana wanakimbilia somalia kupata mafunzo vijana hawana uoga wala chuki na hasira hawajal kitu kuna kitu kibaya kinakuja soon
Suluhisho ni moja tu uongozi bora.
 
Nimeogopa sana kuona kuna namba kybwa ya vijana wanakimbilia somalia kupata mafunzo vijana hawana uoga wala chuki na hasira hawajal kitu kuna kitu kibaya kinakuja soon
hakuna alienda somalia na pia movement zenu zote zishafeli, mara unfollow wasanii mara hakuna kwenda kwenye show zao eti msiangalie video zao 🤣 🤣 , cha ajabu wasanii wenu ndo wameishia kuteseka
 
Ushahidi ni maneno ya Rais wako mwenyewe kathibitisha viongozi wanaiba mali za uma.alafu pili tunaona viongozi wanamiliki mali ambazo kwa mshahara wao hawawezi kupata.tuliona mali za mkuu wa usalama ,mawaziri Nk kama magari ya kifahari Nk.watanzania tunajua ukweli na huwezi kutudanganya.
wewe una uhakika gan hana ishue zingine anafanya ama ulikua wap kabla hajapata huo uongozi, alikua anaishi vp? wewe wivu wako ndo unataka kila mtu awe maskini kama wewe
 
Suluhisho ni moja tu uongozi bora.
uongozi wa samia ni bora na unaruhusu yoyote mwenye kufanya kazi kwa bidii apate utajiri, kwa lugha nyepesi CAPITALISM, wewe wivu unakusumbua na wakenya ndo wanawalisha ujinga na wenyewe ndo wanaongoza kwa umaskini afrika nzima na uongozi wao
 
uongozi wa samia ni bora na unaruhusu yoyote mwenye kufanya kazi kwa bidii apate utajiri, kwa lugha nyepesi CAPITALISM, wewe wivu unakusumbua na wakenya ndo wanawalisha ujinga na wenyewe ndo wanaongoza kwa umaskini afrika nzima na uongozi wao
Uongozi wa Samia ni uongozi haramu na sio bora.kwanza kaua watanzania zaidi ya elfu 10,anaua wapinzani na watanzania walioamua kuongea ukweli,ameruhusu ufisadi na matumizi mabaya ya mali za uma kama kuwalipa wahuni na machawa Nk.God's justice is inevitable and it is comming.
 
uongozi wa samia ni bora na unaruhusu yoyote mwenye kufanya kazi kwa bidii apate utajiri, kwa lugha nyepesi CAPITALISM, wewe wivu unakusumbua na wakenya ndo wanawalisha ujinga na wenyewe ndo wanaongoza kwa umaskini afrika nzima na uongozi wao
Pia uongozi wa samia sio bora kwa sababu anafanya vita na kanisa la Mungu.
 
na kama kua ccm sio kosa, kwann mmechomabiashara ya shishi? amewakosea wap? kuna pesa ameiba? yaani hizi akili lazima zichapwe battle non stop, hatuwezi kuendekeza huu ujinga
We nawe acha kuwa mpumbavu sio sifa ujue,wew unaweza kuwa ni mmoja wa wajinga walioanzisha kuchoma ili kuwapa nafasi wapumbavu wengi waliokuwa kazini siku ya tar 29,acha kushabikia vifo ikiwa shilole analipwa Kila kitu chake alichopoteza vipi waliokufa wanalipwa roho zao na nani?
 
Pia uongozi wa samia sio bora kwa sababu anafanya vita na kanisa la Mungu.
i think bado hamjajua mnataka nn hivo kwa kifupi ukichoka nchi ziko nyingi kuna kina sativa wako apo kenya kazi kwenu ila huo upuuzi wa kuchoma mali za watu hatuutaki tena, na ole wake mtu alete huo ujinga tena
 
i think bado hamjajua mnataka nn hivo kwa kifupi ukichoka nchi ziko nyingi kuna kina sativa wako apo kenya kazi kwenu ila huo upuuzi wa kuchoma mali za watu hatuutaki tena, na ole wake mtu alete huo ujinga tena
watu kuongea sio Tatizo ni ushamba tu wa kiongozi wako.
 
We nawe acha kuwa mpumbavu sio sifa ujue,wew unaweza kuwa ni mmoja wa wajinga walioanzisha kuchoma ili kuwapa nafasi wapumbavu wengi waliokuwa kazini siku ya tar 29,acha kushabikia vifo ikiwa shilole analipwa Kila kitu chake alichopoteza vipi waliokufa wanalipwa roho zao na nani?
wewe unajuaje mm ni mpumbavu na unajuaje shilole alilipwa? na unaletaje ulinganisho wa mali na roho kwan mtaani mwizi hua tumafanyaje? ushawahi kuwaambia raia mwacheni mali sio bora kuliko alichooiba?
 
watu kuongea sio Tatizo ni ushamba tu wa kiongozi wako.
ushamba tena. nyie jitafuteni kwanza naona bado hamjakaa sawa kichwan! wewe hujui mm biashara nmeipataje kwa shida eti kisa naipenda ccm na sjaiba hata pesa ya mtu unakuja kuchoma aisee ningekua nafanya biashara pale sinza aisee watu wangekula pipe sana
 
Back
Top Bottom