Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

Uhuni unaendelea kuruhusiwa Tanzania

wewe unajuaje mm ni mpumbavu na unajuaje shilole alilipwa? na unaletaje ulinganisho wa mali na roho kwan mtaani mwizi hua tumafanyaje? ushawahi kuwaambia raia mwacheni mali sio bora kuliko alichooiba?
Maelezo Yako yanaonyesha hata chupi umevaa kichwani,mtu mzima hawezi kushabikia watu kufa
 
Maelezo Yako yanaonyesha hata chupi umevaa kichwani,mtu mzima hawezi kushabikia watu kufa
lakini utashabikia watu kuiba si ndio, ulishwahi kwenda mtaani ukakuta mwizi anachomwa ukawaambia jamani roho ni zaidi ya mali. leo hii ndo unajikuta kitima
 
ushamba tena. nyie jitafuteni kwanza naona bado hamjakaa sawa kichwan! wewe hujui mm biashara nmeipataje kwa shida eti kisa naipenda ccm na sjaiba hata pesa ya mtu unakuja kuchoma aisee ningekua nafanya biashara pale sinza aisee watu wangekula pipe sana
Watu walikuwa wanatarget biashara za wasanii ambao ccm ilikuwa inawalipa kwa kutumia mali za umma,ukiacha mali zinazozaniwa ni za viongozi mafisadi.watu walikuwa wanalalamia hao wanasanii hawakemei maovu.
 
Gentleman,
hakuna mamluki, mchochezi au gaidi wa kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma au binafsi ya wananchi atachekewa na vyombo imara sana vya ulinzi na usalama nchini hata kwa sekunde moja tu.

lazima kuwe na heshima kwa taifa :NoGodNo:

..msicheke na magaidi wanaoteka, kutesa, na kuuwa, wakosoaji, na wanaharakati.
 
lakini utashabikia watu kuiba si ndio, ulishwahi kwenda mtaani ukakuta mwizi anachomwa ukawaambia jamani roho ni zaidi ya mali. leo hii ndo unajikuta kitima
Uliwahi kwenda tra,tic,hazina labda kuwawajibisha viongozi ambao wanajilimbikizia Mali na kigumbukwa na rushwa Kila sehemu,au uliwahi kuwawajibisha viongozi ambao watoto wao Wana mamlaka ya kuidhinisha malipo ya madeni na kupewa asilimia 10 ikiwa hata hawafanyi kazi sehemu yoyote? Hawa ndio wizi wakubwa vipi lini tukawachome moto
 
Uliwahi kwenda tra,tic,hazina labda kuwawajibisha viongozi ambao wanajilimbikizia Mali na kigumbukwa na rushwa Kila sehemu,au uliwahi kuwawajibisha viongozi ambao watoto wao Wana mamlaka ya kuidhinisha malipo ya madeni na kupewa asilimia 10 ikiwa hata hawafanyi kazi sehemu yoyote? Hawa ndio wizi wakubwa vipi lini tukawachome moto
Una ushahidi wa kiongozi yoyote kuiba mali? hilo swali nmeuliza apo juu mpaka sasa hakuna ushahidi sasa fujo zote za nn? na mbna ni utaratibu wa kawaida mtaani kuchoma wezi, ulishawahi kupeleka busara zako wakati mwizi anachomwa kuwaambia roho ni zaidi ya mali?
 
Hakuna aliyehamaishwa kuchoma vitu vya watu ukweli ni kwamba ile ni hasira zilizokusanywa mioyoni mwa watanzania kwa muda mwingi kwa sababu ya maovu ya serikali.sasa hivi hizo hasira zinaongezeka mara nyingi.hata hivyo huwezi kumuua mtu kisa kachoma kituo cha polisi.uhai unathamani kuliko mali.
Hukumu rasmi Tanzania kwenye vitabu vya sheria za inchi hii ni kunyongwa mpaka kufa kwa kosa la kuchoma moto jengo lolote
 
Gentleman,
hakuna mamluki, mchochezi au gaidi wa kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma au binafsi ya wananchi atachekewa na vyombo imara sana vya ulinzi na usalama nchini hata kwa sekunde moja tu.

lazima kuwe na heshima kwa taifa :NoGodNo:
Hata Maduro alikuwa na ngebe hivihivi hadi kutahamaki unyakuo ukamfikia. Tuzidishe maombi Trump atuone nasi.
 
Watu walikuwa wanatarget biashara za wasanii ambao ccm ilikuwa inawalipa kwa kutumia mali za umma,ukiacha mali zinazozaniwa ni za viongozi mafisadi.watu walikuwa wanalalamia hao wanasanii hawakemei maovu.
kwan wasanii walipewa tu bila kuzifanyia kazi?
 
Una ushahidi wa kiongozi yoyote kuiba mali? hilo swali nmeuliza apo juu mpaka sasa hakuna ushahidi sasa fujo zote za nn? na mbna ni utaratibu wa kawaida mtaani kuchoma wezi, ulishawahi kupeleka busara zako wakati mwizi anachomwa kuwaambia roho ni zaidi ya mali?
Ndio maana nakwambia ukiwa mpumbavu jifunze kukaa kimya sio Kila kitu kushabikia tu,huna unachokijua au kama unajua unajipa ujinga kwa lazima acha kushabikia watu kuuwawa ipo siku utakufa wew na ujinga wako wa uchawa
 
Uliwahi kwenda tra,tic,hazina labda kuwawajibisha viongozi ambao wanajilimbikizia Mali na kigumbukwa na rushwa Kila sehemu,au uliwahi kuwawajibisha viongozi ambao watoto wao Wana mamlaka ya kuidhinisha malipo ya madeni na kupewa asilimia 10 ikiwa hata hawafanyi kazi sehemu yoyote? Hawa ndio wizi wakubwa vipi lini tukawachome moto
nienda na sina ushahidi wowote wa mtu kuiba mali? wewe mwenye ushahidi nimekwambia uweke hapa huo ushahidi toka mda hauna
 
Ndio maana nakwambia ukiwa mpumbavu jifunze kukaa kimya sio Kila kitu kushabikia tu,huna unachokijua au kama unajua unajipa ujinga kwa lazima acha kushabikia watu kuuwawa ipo siku utakufa wew na ujinga wako wa uchawa
huna ushahidi wowote wa mtu kuiba mali hivo basi shaba zitaendelea mpaka vichwa viwakae sawa
 
huna ushahidi wowote wa mtu kuiba mali hivo basi shaba zitaendelea mpaka vichwa viwakae sawa
Kuna hosp inatwa miabong ni ya wakorea,Hawa jamaa wanafanya huduma zao kuanzia jumanne mpaka jumapili,malipo yao yote wanapokea bila kutoa stakabadhi yoyote,hawalipi Kodi kifupi huo ushahidi wa kwanza watu wa tra sio kwamba hawajui kwa Hy tunatakiwa tuwawajibishe
 
..msicheke na magaidi wanaoteka, kutesa, na kuuwa, wakosoaji, na wanaharakati.
Gentleman,
we fanaya kama vile unajaribu kujitia kimbelembele kwenye kuleta fujo, kupora mali au kuharibu miundombinu ya umma na binafsi ya wananchi, nakuhakikishia kwamba lazima utapeleka ya huzuni kwa wazazi wako :BRUHMM:
 
Mbinu ni Kuwaua wajumbe na wenyeviti wa mitaa mali nyumba family zao zipigwe Moto 🔥 samuya atakimbia.piga Moto 🔥 tembea 🔥🔥🔥🔥🚶🚶🚶🚶
 
Kama watu wataona hizo mali zimepatikana kwa njia hatamu kila kitu kinawezeka hata hivyo soon wahuni wataondolewa.Damu za watu zinamlilia Mungu na kutaka justice.
try it ili ufurahishwe na hatimae upeleke zawandi ya huzuni kwenu :BRUHMM:
 
Back
Top Bottom