Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Mie natumia Mtandao wa TIGO Leo majira ya saa kumi jioni simu yangu ilipoteza network ghafla baada ya kuongea tu na baadhi ya simu. Imekua ni kama desturi toka niingie Jiji la Mwanza wiki iliyopita tigo wamekua na matatizo ya network.
Nilichukulia suala hilo kama la kawaida lakini nikawa najiuliza mbona wengine wanapata network? Nikaamua kutulia nyumbani nikiwa na mawazo ya kwenda Tigo shop siku ya kesho yaani Tarehe 16 november 2011. Mara bimkubwa aliporudi akaniuliza wewe simu yako umempa nani mbona nikipiga anapokea mtu mwingine? nikamwanbia itakua network sababu hata simu yangu haionyeshi network.
Nikachukua simu yake nikapiga akapokea Muhindi nikamuuliza inakuaje namba yangu unapokea ww kila inapopigwa? Umeanza kutumia lini hiyo namba? akajibu wiki hii hapo akili ikanijia Teyari namba yangu ilisha uzwa.
Nimempigia tena sahizi kapokea akaniambia yeye katengenezewa kama special number, nikamjibu isiwe tabu keho nitaenda kufuatilia TIGO.
Mpaka sasa sielewi hiyo namba yangu imechakachuliwa kwa mpango upi na kawa authority gani NAOMBA USHAURI wenu WANAJAMVI NICHUKUE HATUA GANI? sababu nimeitumia namba kwa miaka mingi sana.
Nilichukulia suala hilo kama la kawaida lakini nikawa najiuliza mbona wengine wanapata network? Nikaamua kutulia nyumbani nikiwa na mawazo ya kwenda Tigo shop siku ya kesho yaani Tarehe 16 november 2011. Mara bimkubwa aliporudi akaniuliza wewe simu yako umempa nani mbona nikipiga anapokea mtu mwingine? nikamwanbia itakua network sababu hata simu yangu haionyeshi network.
Nikachukua simu yake nikapiga akapokea Muhindi nikamuuliza inakuaje namba yangu unapokea ww kila inapopigwa? Umeanza kutumia lini hiyo namba? akajibu wiki hii hapo akili ikanijia Teyari namba yangu ilisha uzwa.
Nimempigia tena sahizi kapokea akaniambia yeye katengenezewa kama special number, nikamjibu isiwe tabu keho nitaenda kufuatilia TIGO.
Mpaka sasa sielewi hiyo namba yangu imechakachuliwa kwa mpango upi na kawa authority gani NAOMBA USHAURI wenu WANAJAMVI NICHUKUE HATUA GANI? sababu nimeitumia namba kwa miaka mingi sana.