Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Hilo halina ubishi,wanadhani umasikini wao umesababishwa na matajiri
Kuna mshamba MATAGA anakubishia hapo juu anafikiri Mzee Mbowe alikuwa fukara kama alivyo baba yake huko kijijini kwao Iringa,Mwambie kwamba Mzee Mbowe alikuwa anaingia Ikulu muda wowote kuonana na Nyerere na alikuwa ni tajiri kabla hata ya uhuru,Nyerere alimpenda haswaa kwakuwa alikuwa ni kiungo muhimu kuunganisha wazee wa kimila wa kaskazini na TANU..Gari ya kwanza ya Aikaeli kumiliki ni BMW 520i hii wakati inaingizwa nchini kulikuwa na magumashi kibao yaliyokwamisha mchakato mzee akamvutia waya Nyerere na kumwambia kijana wangu anakwamishwa kuingiza gari naomba umsaidie order ikatoka ikulu chap gari ikaingia..

Pia watu hawajui sababu ya Mbowe kuacha kazi BOT,Mbowe aliacha kazi BOT hili kusimamia biashara za baba yake ambapo mwanzo ilimuwia vigumu kwenda kwenye ajira na same time kusimamia biashara akaamua achague moja(mpaka hapa tunaona jinsi hii familia ilivyo na ukwasi)..

Siku Mbowe anaacha kazi BOT aliingia ofisini kwa naibu GAVANA Bob Makani akamwambia nataka kuacha kazi Bob akamwambia "sikia we dogo unaona huu mlango potea fasta nisikuone usiniambie ujinga ujinga mimi" Mbowe badala ya kwenda kuendelea na kazi alipitiliza nyumbani moja kwa moja na ikawa ndio siku yake ya mwishk BOT..Enzi hizo Gavana alikuwa Edwin Mtei na naibu Gavana ni Bob Makani ambao ndio baadae wakaanzisha CHADEMA
 
Kuna mshamba MATAGA anakubishia hapo juu anafikiri Mzee Mbowe alikuwa fukara kama alivyo baba yake huko kijijini kwao Iringa,Mwambie kwamba Mzee Mbowe alikuwa anaingia Ikulu muda wowote kuonana na Nyerere na alikuwa ni tajiri kabla hata ya uhuru,Nyerere alimpenda haswaa kwakuwa alikuwa ni kiungo muhimu kuunganisha wazee wa kimila wa kaskazini na TANU..Gari ya kwanza ya Aikaeli kumiliki ni BMW 520i hii wakati inaingizwa nchini kulikuwa na magumashi kibao yaliyokwamisha mchakato mzee akamvutia waya Nyerere na kumwambia kijana wangu anakwamishwa kuingiza gari naomba umsaidie order ikatoka ikulu chap gari ikaingia..

Pia watu hawajui sababu ya Mbowe kuacha kazi BOT,Mbowe aliacha kazi BOT hili kusimamia biashara za baba yake ambapo mwanzo ilimuwia vigumu kwenda kwenye ajira na same time kusimamia biashara akaamua achague moja(mpaka hapa tunaona jinsi hii familia ilivyo na ukwasi)..

Siku Mbowe anaacha kazi BOT aliingia ofisini kwa naibu GAVANA Bob Makani akamwambia nataka kuacha kazi Bob akamwambia "sikia we dogo unaona huu mlango potea fasta nisikuone usiniambie ujinga ujinga mimi" Mbowe badala ya kwenda kuendelea na kazi alipitiliza nyumbani moja kwa moja na ikawa ndio siku yake ya mwishk BOT..Enzi hizo Gavana alikuwa Edwin Mtei na naibu Gavana ni Bob Makani ambao ndio baadae wakaanzisha CHADEMA
Ahaa asante kwa ufafanuzi mujarabu,nilimuona huyo mataga ni mjinga nikaamua kumshit tu,eti hakuna tajiri mtoto wake anasomea Kibaha Sec miaka ya 70.natamani arudi asome ulichoandika mi nimeona ananichefua tu nimemignore
 
Watoto wa Matajiri walisoma Shaban Robert

Kama Mbowe na Ndugai walisoma pamoja basi wote walikuwa mafukara

Tutajie hizo hotel basi!
Nadharia yako sio sahihi. Enzi hizo (enzi zetu) mtu aksoma shule ya serikali ilikuwa heshma kubwa. Wenye uwezo wa pesa/ madaraka walitumia msuli wao kuhakikjsha watoto wao wanasoma Goernment school. Ikitokea .toto kafeli la saba akaenda private form two au three alihamishiwa shule ya serikali taratibu za enzo hizo ziliruhusu kitu hicho.
 
Nadharia yako sio sahihi. Enzi hizo (enzi zetu) mtu aksoma shule ya serikali ilikuwa heshma kubwa. Wenye uwezo wa pesa/ madaraka walitumia msuli wao kuhakikjsha watoto wao wanasoma Goernment school. Ikitokea .toto kafeli la saba akaenda private form two au three alihamishiwa shule ya serikali taratibu za enzo hizo ziliruhusu kitu hicho.
Mueleze huyu bwana mdogo,sio kosa lake ni umri wake mdogo unamchanganya
 
20230330_213612.jpg
 
Nadharia yako sio sahihi. Enzi hizo (enzi zetu) mtu aksoma shule ya serikali ilikuwa heshma kubwa. Wenye uwezo wa pesa/ madaraka walitumia msuli wao kuhakikjsha watoto wao wanasoma Goernment school. Ikitokea .toto kafeli la saba akaenda private form two au three alihamishiwa shule ya serikali taratibu za enzo hizo ziliruhusu kitu hicho.
Kibao sasa kimegeuka, shule za serikali ni msiba mtupu
 
Hawa miamba walijuana Kibaha Secondary.

Enzi hizo baba yake Freeman akiwa tycoon mkubwa sana nchini, alikuwa na mahotel Dar, Moshi na Arusha na alikuwa na ukaribu sana na baba wa Taifa mwalimu JK Nyerere.

Job Ndugai alitokea familia fukara kama watanzania wengi ila kichwani zilikwemo.

Kuna siku Job aliomba kitabu kwa Freeman akanyimwa ndio uhasama ukaanzia hapo,hicho kitabu alikuwa nacho Freeman peke yake shule nzima.
Acha uongo shule ya sekondari Kibaha miaka ya tangu 1963 ilipoanzishwa mpaka miaka ya 1990 haikuwahi kuruhusu mwanafunzi kuwa na kitabu chake binafsi maana ilikuwa imejitosheleza kwa kila idara maana ilikuwa inadhaminiwa na nchi Skandinavia. Shule hiyo ilianzishwa na shirika la elimu Kibaha (Kibaha Education Center-KEC) ina maktaba yake yenye hadhi ya juu ndio wakati fulani chuo kikuu huria kabla hawajapata eneo la kujenga walikuwa wanatumia maktaba hiyo ambamokila aina ya vitabu vilikuwemo mpaka tafiti za chuo kikuu cha Dar Es Salaam na SUA.
Kwa hiyo wadanganye wasioelewa.

Shule hiyo ilikuwa inaitwa Co-education kwa upande wa O level na A level ni wavulana tupu.

Kidato cha tano-sita tahasusi zilikuwa mbili tu yaani
1. PCM-Physics, Chemistry and Advanced Mathematics Wanafunzi 72 kwa mikondo mitatu yaani X, Y and Z kila mmoja wanafunzi 24 walikuwa wanachaguliwa kuchukua tahasusi hiyo ni wale waliokuwa daraja la kwanza pointi 7 kushuka hadi daraja la pili pointi 18 tu
2. CBA-Chemistry, Biology and Agriculture (Wanafunzi 24) tu Tanzania nzima (mkondo mmoja) waliochaguliwa kwenda hapa wale walikuwa na daraja la kwanza pointi 7-9
Kila mwisho wa wiki mnafanya mtihani na matokeo yanabandikwa ubaoni kwa uwazi jumatatu yake halafu ukipata alama chini ya 25 unapigiwa mstari mwekundu halafu unasutwa kwenye baraza hadi kutandikwa viboko mbele ya wanafunzi wa jinsia zote.
Waliosoma hapo kwenye mtihani wa mwisho wote walikuwa wanafaulu kwenda ama chuo cha UDSM, SUA au nje ya nchi hasa Urusi, Yugoslavia, Ujerumani nk

Hawana mbwembwe, ni wa kimya wana akili sana

Ila kama alisoma O level inawezekana lakini sio A level maana enzi hizo shule ya Kibaha ambayo iko chini ya shirika la elimu Kibaha ilikuwa haitoi daraja '0', na '4' wengi waliku daraja la kwanza na la pili wawili au watatu wanaweza kuwa daraja la tatu ambao hata hivyo na wenyewe walikuwa wanachaguliwa kujiunga chuo kikuu.

Kuna baadhi wa walimu walikuwa wanatoka chuo kikuu cha UDSM waliokuwa wanapangwa kwenda kufundisha hapo walikuwa wakumbana na vichwa vilivyo mbele ya silabasi
 
Acha uongo shule ya sekondari Kibaha miaka ya tangu 1963 ilipoanzishwa mpaka miaka ya 1990 haikuwahi kuruhusu mwanafunzi kuwa na kitabu chake binafsi maana ilikuwa imejitosheleza kwa kila idara maana ilikuwa inadhaminiwa na nchi Skandinavia. Shule hiyo ilianzishwa na shirika la elimu Kibaha (Kibaha Education Center-KEC) ina maktaba yake yenye hadhi ya juu ndio wakati fulani chuo kikuu huria kabla hawajapata eneo la kujenga walikuwa wanatumia maktaba hiyo ambamokila aina ya vitabu vilikuwemo mpaka tafiti za chuo kikuu cha Dar Es Salaam na SUA.
Kwa hiyo wadanganye wasioelewa.

Shule hiyo ilikuwa inaitwa Co-education kwa upande wa O level na A level ni wavulana tupu.

Kidato cha tano-sita tahasusi zilikuwa mbili tu yaani
1. PCM-Physics, Chemistry and Advanced Mathematics Wanafunzi 72 kwa mikondo mitatu yaani X, Y and Z kila mmoja wanafunzi 24 walikuwa wanachaguliwa kuchukua tahasusi hiyo ni wale waliokuwa daraja la kwanza pointi 7 kushuka hadi daraja la pili pointi 18 tu
2. CBA-Chemistry, Biology and Agriculture (Wanafunzi 24) tu Tanzania nzima (mkondo mmoja) waliochaguliwa kwenda hapa wale walikuwa na daraja la kwanza pointi 7-9
Kila mwisho wa wiki mnafanya mtihani na matokeo yanabandikwa ubaoni kwa uwazi jumatatu yake halafu ukipata alama chini ya 25 unapigiwa mstari mwekundu halafu unasutwa kwenye baraza hadi kutandikwa viboko mbele ya wanafunzi wa jinsia zote.
Waliosoma hapo kwenye mtihani wa mwisho wote walikuwa wanafaulu kwenda ama chuo cha UDSM, SUA au nje ya nchi hasa Urusi, Yugoslavia, Ujerumani nk

Hawana mbwembwe, ni wa kimya wana akili sana

Ila kama alisoma O level inawezekana lakini sio A level maana enzi hizo shule ya Kibaha ambayo iko chini ya shirika la elimu Kibaha ilikuwa haitoi daraja '0', na '4' wengi waliku daraja la kwanza na la pili wawili au watatu wanaweza kuwa daraja la tatu ambao hata hivyo na wenyewe walikuwa wanachaguliwa kujiunga chuo kikuu.

Kuna baadhi wa walimu walikuwa wanatoka chuo kikuu cha UDSM waliokuwa wanapangwa kwenda kufundisha hapo walikuwa wakumbana na vichwa vilivyo mbele ya silabasi
Huyo ni muongo

Wakati Ndugai yuko A level Mbowe alikuwa O level!
 
Acha uongo shule ya sekondari Kibaha miaka ya tangu 1963 ilipoanzishwa mpaka miaka ya 1990 haikuwahi kuruhusu mwanafunzi kuwa na kitabu chake binafsi maana ilikuwa imejitosheleza kwa kila idara maana ilikuwa inadhaminiwa na nchi Skandinavia. Shule hiyo ilianzishwa na shirika la elimu Kibaha (Kibaha Education Center-KEC) ina maktaba yake yenye hadhi ya juu ndio wakati fulani chuo kikuu huria kabla hawajapata eneo la kujenga walikuwa wanatumia maktaba hiyo ambamokila aina ya vitabu vilikuwemo mpaka tafiti za chuo kikuu cha Dar Es Salaam na SUA.
Kwa hiyo wadanganye wasioelewa.

Shule hiyo ilikuwa inaitwa Co-education kwa upande wa O level na A level ni wavulana tupu.

Kidato cha tano-sita tahasusi zilikuwa mbili tu yaani
1. PCM-Physics, Chemistry and Advanced Mathematics Wanafunzi 72 kwa mikondo mitatu yaani X, Y and Z kila mmoja wanafunzi 24 walikuwa wanachaguliwa kuchukua tahasusi hiyo ni wale waliokuwa daraja la kwanza pointi 7 kushuka hadi daraja la pili pointi 18 tu
2. CBA-Chemistry, Biology and Agriculture (Wanafunzi 24) tu Tanzania nzima (mkondo mmoja) waliochaguliwa kwenda hapa wale walikuwa na daraja la kwanza pointi 7-9
Kila mwisho wa wiki mnafanya mtihani na matokeo yanabandikwa ubaoni kwa uwazi jumatatu yake halafu ukipata alama chini ya 25 unapigiwa mstari mwekundu halafu unasutwa kwenye baraza hadi kutandikwa viboko mbele ya wanafunzi wa jinsia zote.
Waliosoma hapo kwenye mtihani wa mwisho wote walikuwa wanafaulu kwenda ama chuo cha UDSM, SUA au nje ya nchi hasa Urusi, Yugoslavia, Ujerumani nk

Hawana mbwembwe, ni wa kimya wana akili sana

Ila kama alisoma O level inawezekana lakini sio A level maana enzi hizo shule ya Kibaha ambayo iko chini ya shirika la elimu Kibaha ilikuwa haitoi daraja '0', na '4' wengi waliku daraja la kwanza na la pili wawili au watatu wanaweza kuwa daraja la tatu ambao hata hivyo na wenyewe walikuwa wanachaguliwa kujiunga chuo kikuu.

Kuna baadhi wa walimu walikuwa wanatoka chuo kikuu cha UDSM waliokuwa wanapangwa kwenda kufundisha hapo walikuwa wakumbana na vichwa vilivyo mbele ya silabasi
Unajua ni kitabu gani alinyimwa,na unajua ni kwa nini alimnyima,hakikuwa kitabu cha kiada bali ziada na kama kingekamatwa kingemtia freenan matatani.
Bangi haziruhusiwi mashuleni ila zinavutwa.
Simu zinakatazwa
Mashuleni ila kuna wanafunzi wanamiliki simu kali kiliko wlimu wao cha ajabu ni kipi hapo
 
Unajua ni kitabu gani alinyimwa,na unajua ni kwa nini alimnyima,hakikuwa kitabu cha kiada bali ziada na kama kingekamatwa kingemtia freenan matatani.
Bangi haziruhusiwi mashuleni ila zinavutwa.
Simu zinakatazwa
Mashuleni ila kuna wanafunzi wanamiliki simu kali kiliko wlimu wao cha ajabu ni kipi hapo
Hapakuwa na mtindo wa mwalimu kumfuata mwanafunzi kwenye quarter anayokaa kumkagua hiyo ilikuwa shuleya wanafunzi wenye vipaji maalum kwa hiyo usipoteze muda kudanganya wana jukwaa ambao hawakuwahi kusoma hapo. Acha uongo wako kabisa na usirudie
 
Back
Top Bottom