Uhamiaji watangaza ajira

Uhamiaji watangaza ajira

usishangae hicho ndio kikawa kigezo kikuu mkuu.
Wenda Mkuu na pia hapo wameweka hivyo ili kupima upepo bila shaka kama watapata idadi yao basi wengine watatemwa ila endapo idadi haitoridhisha basi naamini KOZI zingine wanaweza kuwa Considered nao.
 
Wenda Mkuu na pia hapo wameweka hivyo ili kupima upepo bila shaka kama watapata idadi yao basi wengine watatemwa ila endapo idadi haitoridhisha basi naamini KOZI zingine wanaweza kuwa Considered nao.
yaani ao ni vipaumbele, ata 4m 4 wa izo OP wapo na wataenda bila cheti cha taaluma yoyote, na wapo watakaobahatka
 
yaani ao ni vipaumbele, ata 4m 4 wa izo OP wapo na wataenda bila cheti cha taaluma yoyote, na wapo watakaobahatka
Kwa Tangazo lilivyo mtu wa STD VII, FORM 4,6,na DIP hawahusiki.
Subiri nikudadavulie kulingana na Tangazo lilivyo.

Ni hivi Nafasi Zinahitaji Watu Wenye Degree/Advance Dip pia wakasema kwa kozi tajwa hapo juu WATAPEWA KIPAUMBELE.

Kwa maana hiyo basi Tangazo waziwazi linawakataa watu wa Darasa la Saba,Form 4,Form 6,au DIP maana hawajawataja tu ila TANGAZO LIKO BASED NA DEGREE/ADVANCE DIP na wakagusia FANI HUSIKA WATAPEWA KIPAUMBELE it means ukichambua hapo FANI NYINGINE kama Accounts,Logistics n.k Wanaweza fikiriwa kama watahisi kuna uhitaji.

Na Kwa nature ya Tangazo kama utakuwa mfatiliaji wa Màtangazo ya UHAMIAJI bila shaka wanahitajika MAAFISA-DEGREE/ADVANCE DIP na Sidhani kama ni KONSTEBO-FORM 4 na kina KOPLO-DIP/FORM 6.

Nakutakia kilaa la kheri katika kujaribu kwako🙏
 
Kwa Tangazo lilivyo mtu wa STD VII, FORM 4,6,na DIP hawahusiki.
Subiri nikudadavulie kulingana na Tangazo lilivyo.

Ni hivi Nafasi Zinahitaji Watu Wenye Degree/Advance Dip pia wakasema kwa kozi tajwa hapo juu WATAPEWA KIPAUMBELE.

Kwa maana hiyo basi Tangazo waziwazi linawakataa watu wa Darasa la Saba,Form 4,Form 6,au DIP maana hawajawataja tu ila TANGAZO LIKO BASED NA DEGREE/ADVANCE DIP na wakagusia FANI HUSIKA WATAPEWA KIPAUMBELE it means ukichambua hapo FANI NYINGINE kama Accounts,Logistics n.k Wanaweza fikiriwa kama watahisi kuna uhitaji.

Na Kwa nature ya Tangazo kama utakuwa mfatiliaji wa Màtangazo ya UHAMIAJI bila shaka wanahitajika MAAFISA-DEGREE/ADVANCE DIP na Sidhani kama ni KONSTEBO-FORM 4 na kina KOPLO-DIP/FORM 6.

Nakutakia kilaa la kheri katika kujaribu kwako
Form 4 na 6 hao lazima wawepo kwenye kozi kinacho fanyika hapo saivi ni kutafuta hao wenye mahitaji maalum afu wakisha malizana nao wanahamia vikosini kuchukua Form 4 na 6 ili kujaza bogi.
 
Form 4 na 6 hao lazima wawepo kwenye kozi kinacho fanyika hapo saivi ni kutafuta hao wenye mahitaji maalum afu wakisha malizana nao wanahamia vikosini kuchukua Form 4 na 6 ili kujaza bogi.
kamata uyoooo
 
wengine ni viburi kisa nauli 450, huezo toka mkoani alafu unajua huna vgezo ukaja, ata kama ni kujaribu
 
Alafu awa waajiri, wako fair sana, sitaki yatokee ambayo ua nayaskia ila sku iz wako fair.
 
Jamani wakuvamia bogi tujuane, ikiwezekana twende wote, tustupane wakuu

hebu njoo pm kamanda. Una morale sana maana ata mimi naibuka pale na magamba yangu ila sina tu cheti cha jkt
 
Back
Top Bottom