Uhamiaji watangaza ajira

Uhamiaji watangaza ajira

Mwanangu utakuja kunihadithia😃😃
Wale walio VAMIA BOGI la Madaktari wakati wa usaili TPDF waje watupe mrejesho. Watuhadithie maana hakuna formula huko na wale wa mujibu tunao taka KUVAMIA BOGI tupo na si haba mtaani pametupa Molari. Kwa kuwa kwenye kila KIBANGALA cha Mamba kitakachokuwa kinakatwa Kenge hatukosekani maana walisema "kwenye msafara wa Mamba Kenge hawawezi kosekana."
 
Wale walio VAMIA BOGI la Madaktari wakati wa usaili TPDF waje watupe mrejesho. Watuhadithie maana hakuna formula huko na wale wa mujibu tunao taka KUVAMIA BOGI tupo na si haba mtaani pametupa Molari. Kwa kuwa kwenye kila KIBANGALA cha Mamba kitakachokuwa kinakatwa Kenge hatukosekani maana walisema "kwenye msafara wa Mamba Kenge hawawezi kosekana."
Hahahah ila watu wamujibu hiko cheti mnakitumiaga vizuri asee😃😃😃 hamvungiii yaani nakumbuka hata zile za TPA watu walivamia tu na wakapiga fresh.
 
Wale walio VAMIA BOGI la Madaktari wakati wa usaili TPDF waje watupe mrejesho. Watuhadithie maana hakuna formula huko na wale wa mujibu tunao taka KUVAMIA BOGI tupo na si haba mtaani pametupa Molari. Kwa kuwa kwenye kila KIBANGALA cha Mamba kitakachokuwa kinakatwa Kenge hatukosekani maana walisema "kwenye msafara wa Mamba Kenge hawawezi kosekana."
mazee ka vp tuunde group la watsapp kuna maafisa uhamiaji wawili wamenipa details tukifukuzwa bas, ila twende mazeee, ilmrad atutapgwa, na wala hatuna vyetu fake, na hatupo mkoani yaani hamna hasara
 
ila usje ukawa usaili wa kwata, mazee nauogopa knyama ila szan, m naisi ni mahojiano
Hahahah ila watu wamujibu hiko cheti mnakitumiaga vizuri asee hamvungiii yaani nakumbuka hata zile za TPA watu walivamia tu na wakapiga fresh.
 
Jamani wakuvamia bogi tujuane, ikiwezekana twende wote, tustupane wakuu
 
Mimi natoa tahadhali tu kwamba kwa wale walioenda mujibu wa sheria wasithubutu kwenda na kama hamkubaliani na mimi sawa mtakuja simulia wenyewe
 
Idara ya uhamiaji yatangaza Fursa za ajira. Kuangalia sifa na maelezo zaidi pitia website ya www.jkt.go.tz..
Eti Huu ni upotoshaji? au kuna nia ovu hapa? Maana wenyewe JKT wamekana! sasa cha ajabu kwenye hiyo website yao tangazo lipo linataka vijana wafike Mgulani tarehe 10 August, 2019!!! au mtandao wao umedukuliwa??
Binfsi si-elewi!
 
Eti Huu ni upotoshaji? au kuna nia ovu hapa? Maana wenyewe JKT wamekana! sasa cha ajabu kwenye hiyo website yao tangazo lipo linataka vijana wafike Mgulani tarehe 10 August, 2019!!! au mtandao wao umedukuliwa??
Binfsi si-elewi!
Soma vizuri hyo barua ya kukakunisha Ni ya mwez gan. Then utaelewa
 
Mimi natoa tahadhali tu kwamba kwa wale walioenda mujibu wa sheria wasithubutu kwenda na kama hamkubaliani na mimi sawa mtakuja simulia wenyewe
we acha kutukatisha tamaa, au unaijua kesho yako
 
Soma vizuri hyo barua ya kukakunisha Ni ya mwez gan. Then utaelewa
Asante ni ya Julai 3, 2019! na hili tangazo linataka wasahiliwa Agosti 10, 2019 eneo ni lilelile!! Haya ya kuambiwa nimesikia na ya-kuona nimeona, sasa nami nijiongeze ki-vyangu
 
maafisa wa uhamiaji wanasema we nenda ukirudshwa bas we unatuombea mabaya, mbona una roho mbaya jamaa
 
maafisa wa uhamiaji wanasema we nenda ukirudshwa bas we unatuombea mabaya, mbona una roho mbaya jamaa
Ninasemaje nendeni na msisahau kuja kutuhadithia mtakayoyapata huko
 
Wameshasema kabisa kwa intake ya kujitolea na wale waliopo kambini sasa kuna mijitu mingine ilienda sijui mwezi mmoja na nusu sijui miezi mitatu nayo inataka kwenda sasa nasemaje nyie nendeni tu
 
Kipindi wana rudishwa home mlikuwa mnawacheka eti walienda jkt kupoteza muda leo wameitwa kwenye usaili udenda umeanza kuwatoka. Na bado majeshi mengine yanakuja kama magereza, polisi, zimamoto na JWTZ sifa uwe jkt kujitolea.
 
Back
Top Bottom