Jeremy Bentham
Senior Member
- Apr 22, 2019
- 118
- 133
Wameshasema kabisa kwa intake ya kujitolea na wale waliopo kambini sasa kuna mijitu mingine ilienda sijui mwezi mmoja na nusu sijui miezi mitatu nayo inataka kwenda sasa nasemaje nyie nendeni tu
acha uongo wako mbona mujibu wa sheria kibao tuu wamefanya usaili na wapo majeshi mbali mbali na wanakubalika