Uhamiaji watangaza ajira

Uhamiaji watangaza ajira

Huu uzi mbona kimya, tunaomba update kwa wale mlioenda kule mgulani!!
Je na kesho mnaenda?

Saa ngap?
Mimi nategemea kwenda kesho, bado nipo ndani ya mda?
 
Watu walikua wengi Kama ..elfu 4 hivi bt walio fanyiwa usaili Ni OP kikwete na mgufuli kujitolea tu! Wengine walipigwa chini mapema sana
 
Imani yangu ! Wanna watoboe tu maana Kama Ni kujila,humu tumejila Sana BT all in all Asante mwana wa chato
 
Nimeumia sana baada ya kutoka Shinyanga kuja dsm kujaribu bahati yangu kwa usaili wa uhamiaji na kuambiwa kuwa mimi mjibu wa sheria OP kikwete siruhusiwi hata kusogea tu.

Am very disappointed
 
Nimeumia sana baada ya kutoka Shinyanga kuja dsm kujaribu bahati yangu kwa usaili wa uhamiaji na kuambiwa kuwa mimi mjibu wa sheria OP kikwete siruhusiwi hata kusogea tu.

Am very disappointed
Pole mkuu ila mbona Tangazo lilisem vigezo vyote tunafeli wapi wasomi wenzangu ku risk hela hivyo kwa vigezo ambavyo wameshaweka.
 
Mkuu hali ngumu wakati mwingine tunaona bora tukajaribu bahati zetu, vigezo vingine vyote vipo sawa kabsa isipokuwa OP tu.
 
ila mimi ningeenda kama nsingeitwa tpa, ila nauli yangu ni kwenda na kurudi ni 1200, sio kutoka mkoani
 
Huu mfumo umefeli sehemu moja tu, kucentralize interview sehemu moja. Waombaji nchi nzima kufanyiwa interview Dar Es Salaam ni mambo ya kuletea watu unnecessary cost na jam mjini tu. Wangeallocate kwa ukanda ingesaidia sana kuwapunguzia waombaji gharama za kuattend interviews. Kuna wanaoshindwa kuattend kwasababu ya umbali ukizingatia gharama za nauli, malazi, muda wa kusubiria majibu, nenda rudi n.k. mamlaka husika sijui wanafeli na kushindwa wapi aisee, au waombaji ndo hawajalipigia kelele likaonekana kwamba ni very serious issue then serikali ndo ilifanyie kazi maana hizi serikali zetu za Kiafrica ndo ziko hivyo.
 
Back
Top Bottom