Wacha Wafu wazike Wafu wao.
na kweli wafu wazike wafu wao ,utajua tuu kuwa ni umbeya na majungu mpaka wanakosa fahamu kuelewa sheria,kama amesha thibitisha bashe kazaliwa tanzania .tayari hiyo ni raia .anachopaswa bashe kufanya ni atakapo fikisha miaka 18 kwaku wazazi sio raia ni kukana au kuukubali uraia wa wazazi wake, kuukana na kuwa raia kamili wa tanzania ,na hii nisheria inayo husu ata kama wazazi walikuja Tanzania kikazi kwa mkataba wa mwaka 1 wakizaa mtoto ni raia wa Tanzania ,sasa hayo wamaelezo yote ya masanja hayana maana ni upuuzi .haswa kitendo cha kuthibitisha bashe alizaliwa nzega ,hawa magamba majungu kama ndio ugali vile
Rage nae vp?
Hivi huyu kijana Bashe imeshindikana kupambana nae kwa hoja hadi swala la uraia liwe issue kila siku? si amesafishwa huyu na vyombo vyetu?