Uhamiaji wanafanya nini? Kumbe Hussein Bashe si Raia!

Status
Not open for further replies.
Stop lying, acha umbea umbea, fanya kazi upate maisha bora au soma with all ur powers to be like Hussein Bashe....
u seem to have some personal battle with Bashe......
Acha upuuzi......
Hivi kulikuwa na ulazima gani ku quote thread nzima? Kila siku tunaimba mnavyoboa ku quote thread ndefu af hamsikii...
 
Tabu ya wa tz kujifanya wachambuzi wa mambo kila mtu, kama inshu ya bashe ya uraia mbona uzi umekaa kichuki chuki tu na family ya bashe?

Kama sheria inasema mtu akikaa miaka 10 anastahili kupewa urai sasa unahoji nini kuhusu urai wa bashe wakati kazaliwa nzega? Kifupi mimi namfaham bashe namfaham baba yake sheikh Ibrahim ni mtu maarufu sana pale nzega kwa miaka mingi sana,
Nimekulia nzega nimesomea nzega,
Kwanza sijaona sababu ya msingi ya bashe kwenda kuomba urai wakati kazaliwa tz na nchi pekee aliyowahi kuishi,

Nadhani bashe anamtembeza ulimi nje kigwangala ndio sababu ya haya majungu,
Na nilisahau ule uamuzi wake umeishiwa wapi naona kimya, chezea posho wewe!!!?
 
I don't think if is right to personalize this issue to the specific ethnic group. Kila mgeni ana haki ya kuomba uraia wa Tanzania kwa mjibu wa sheria na ku-enjoy benefits zote Kama raia. My problem is when there is insistence of a certain ethnic group to gain part/government readership at any cost. Kwanini ang'ang'anie hivyo and who is behind him. Ni watu wa Kabila lake hilo ? Wana Lengo gani katika kutafuta uongozi wa nchi hii? Is it an underground and unpronounced move to ensure that their interest are protect? Is it a deliberate move to pass leadership from one person/generation who seems to be retiring to another generation with the same purpose of safe guarding their ethnical interest? Are they connected to the same ethnic groups in other countries with the same interest? Hayo ndio maswali ambayo idara yetu ya usalama na Serikali ingefaa wajiulize na kuona Kama ung'ang'anizi wa wagombea hawa wenye asili ya mataifa mengine ni wakawaida kama Watanzania au kuna jambo limejificha ambayo lina madhara kwa nchi.
 
Aliyeandika hiyo barua sidhani ka anajua alichokiandika pamoja na kupoteza muda na cost kufatilia uraia wa jamaa.
Mwandishi mwenyewe kasema Bashe kazaliwa 26.8.1975 Nzega.. Sasa utata wa uraia wake unatokea wapi? Au hajui kuwa kuna uraia wa kuzaliwa?
 
Kinachnishangaza ni mtoa taarifa kuwa na link na Ofisi ya DSO. Hata namba ya simu ni ya DSO na anasema yupo tayari kujitambulisha kwenye ofisi ya DSO, je tuseme Maganga Masanja ndio DSO au mfanyakazi katika ofisi hiyo? Ama kweli kigwangallah anahaha
 
Tabu ya wa tz kujifanya wachambuzi wa mambo kila mtu, kama inshu ya bashe ya uraia mbona uzi umekaa kichuki chuki tu na family ya bashe?

Kama sheria inasema mtu akikaa miaka 10 anastahili kupewa urai sasa unahoji nini kuhusu urai wa bashe wakati kazaliwa nzega? Kifupi mimi namfaham bashe namfaham baba yake sheikh Ibrahim ni mtu maarufu sana pale nzega kwa miaka mingi sana,
Nimekulia nzega nimesomea nzega,
Kwanza sijaona sababu ya msingi ya bashe kwenda kuomba urai wakati kazaliwa tz na nchi pekee aliyowahi kuishi,

Nadhani bashe anamtembeza ulimi nje kigwangala ndio sababu ya haya majungu,
Na nilisahau ule uamuzi wake umeishiwa wapi naona kimya, chezea posho wewe!!!?
mimi mwenyewe huyu mchambuzi aliyefuatilia swala la bashe amenishangaza kwa nini kafanya hivi ila nikabaki na maswali nikasema hivi ni kwa nini mtu anayejiamini kuwa ni raia ataenda kuomba uraia? nadhani kuna ukweli sana kwenye maelezo ya huyu maganga masanja maana ameweka pia hadi vielelezo siyo porojo. hata hivyo inaonekana kuna harufu ya siasa za chuki kutokea huko ccm
 
Kwanini isiwe mleta mada ndiye uliye ghushi kumpakazia mwenzako?

Kiwanda At Work.
 
Nimesoma uzi wote Bashe sio raia. Ila yupo jirani na baadhi viongozi wa ccm. Ambao wanampandisha na kumshusha kwa maslai yao... Ushauri kwa Bashe bora ajipange aombe uraia rasmi kwa kufuata taratibu na kanuni za nchi.!
 
Naomba kupata ufafanuzi hapa. Inakuwaje kwa mzazi aliyeenda masomoni usa-kwa mfano kisha akazaa huko wanawe? Hawa hujulikana kwa uraia wa usa. Sasa inakuwaje kwa bashe ambaye alizaliwa hapo nzega?

Kwa upande mwingine najaribu kuona kama ni kweli uhalali wa kutokuwa raia kwa bashe unatokana na wazazi wake kumzalia nchini wakiwa si raia, akienda somalia si wanampokea kama raia halali? Si kwamba hana kikwazo akiwa somalia?
 
Naona kuna watu umu CIVICS inawapiga chenga kama wakatinunazaliwa wazazi wako si raia then nawe ukizaliwa unakuwa si raia mpaka hapo utakapochagua kuwa raia wa either Somalia au Tz ufikishapo umri wa miaka 18 of which nina wasiwasi Bashe hakufanya ndo maana at several occassion akaonekana kuomba uraia
Lakini kwa hii Tz yetu ilo lawezekana mtu kuishi kama MTZ na akawa kiongozi ila itokeapo mifarakano ndo watu wanaanza chunguza kasoro
 
Mhe. Magnus (Mkuu wa Uhamiaji-Taifa) anafahamu kuhusu hili? Ili kama anafahamu naye ajiandae kuwajibika.
 
It depends on how smart are they! Uraia sio tatizo tunaweza kufikiri nje ya mipaka kama kuna umuhimu wake.
 
Nimesoma uzi wote Bashe sio raia. Ila yupo jirani na baadhi viongozi wa ccm. Ambao wanampandisha na kumshusha kwa maslai yao... Ushauri kwa Bashe bora ajipange aombe uraia rasmi kwa kufuata taratibu na kanuni za nchi.!
 
Kwani sheria ya uhamiaji inasemaje kuhusu hii ishu?? Mtu akizaliwa hapa nchini hata kama wazazi wake sio raia hawezi kuwa raia??
 
bashe.jpg


magamba bana?

kwanin hajatumia gazet la mtanzania kutangazia?
 
Nimesoma uzi wote Bashe sio raia. Ila yupo jirani na baadhi viongozi wa ccm. Ambao wanampandisha na kumshusha kwa maslai yao... Ushauri kwa Bashe bora ajipange aombe uraia rasmi kwa kufuata taratibu na kanuni za nchi.!
 
Nadhani issue hapa ni kuukana uraia wa nchi moja na kuukubali wa nchi nyingine kuna issue kama hii iliwahi kumtokea jamaa yangu mmoja alikuwa anafanya kwenye shirika moja ambalo linafanya kazi na UNHCR huko Kasulu ikatokea kukawa na mivutano ya kisheria kati ya huyo jamaa yangu na watu wa uhamiaji.

Kilichotokea hawa jamaa wakaanza kufukunyua makaratasi ya huyu bwana ikajakubainika kuwa wazazi wake walikuwa ni wakimbizi kutoka Congo japokuwa yeye kazaliwa bongo.Sakata lililotokea huyu bwana ilibidi ajira yake isitishwe kwani hakuna katika kumbukumbu za uhamiaji zilionyesha kuwa aliukana uraia wa nchi moja hivyo akawabranded kama mkimbizi mpaka hapo atakapo fanya maombi ya uraia japo kazaliwa bongo.

Hii reference tunaweza kuifanya kwa Bashe kama hakuukana uraia wa Somalia na kuomba wa bongo ni wazi sio raia, sema ni vile tu yuko na backing ya wanene ila kisheria hata ajira yake ilibidi iwe questionable kwani ni mgeni ambaye hana kibali cha kufanya kazi bongo.

Na kitu kingine hili liko wazi sheria zetu naona kama zina double standards kama uko upande wa watawala unakuwa uko juu ya sheria.
 
wazungu husema there is no free lunch in America.... sasa hapa huyu ndugu yetu maganga iwapo ni kweli ametumia cost na muda wming kama ninavyoweza kuuona hapa yeye anafaidika vipi? alilipwa na serikali? ama allilipwa na mmoja wa wapinzani wa Bashe? ama yeye mwenyewe ni mpinzani wa Bashe(maana ameficha jina) ama ana interest gani katika hili, ningependa kusikia aki-declare interest pia japo ni utafiti mzuri and an eye opener kwa wengi pia.... maana tulikuwa hatuna details hizo zote na binafsi nimepata elimu ya uraia hapa, thanks mkuu
 
Wakati bashe anasoma hawa wanyamwezi walikuwa wanasubiri mavuno yao wacheze ngoma (matanda) sasa jamaa anakula faida ya elimu yake wanahoji uraia kwanini msimuhoji toka wakati anasoma?

Acheni majungu sasa hivi watu wa nzega wanatakiwa wamuhoji mbunge wao anawasaidia nini? Vipi kuhusu mgodi wa Golden pride unasaidia nini mji wa nzega wakatai hauna barabara hata moja ya lami acha njia kubwa inayokwenda mwanza, wanapoteza muda kujadili uraia wa bashe,

Baba yake bashe anaishi tz zaidi ya miaka 40 sasa kama angekuwa na mpango wakuhujumu serikali miaka yote anasubiri nini? Eti bashe anampango wakuingiza wasomali wenzake kwa njia haram,

Nawaomba wana siasa pambaneni ulingoni sio nje ya ulingo
 
Baba yake mzazi fomu moja 1928 nyingine 1947 na yeye kazaliwa 1977 na nyingine 1976 kaazi kweli kweli
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom