licha ya matatizo ya hapa na pale,binafsi sioni kama issue ya Bashe ni nyeti kiasi hiki mtu mzima kuhangaika hivi,hizi ni chuki na siasa za majitaka. najiuliza ingekuaje kama Bashe angekua amezaliwa nje ya Tanzania?FJM mbona kuna in-consistences kwenye fomu zake mbili hizo dates za kuzaliwa hazifanani!!!!
Is it true some one can forget his birth dates?