Uhamiaji wanafanya nini? Kumbe Hussein Bashe si Raia!

Status
Not open for further replies.
FJM mbona kuna in-consistences kwenye fomu zake mbili hizo dates za kuzaliwa hazifanani!!!!

Is it true some one can forget his birth dates?
licha ya matatizo ya hapa na pale,binafsi sioni kama issue ya Bashe ni nyeti kiasi hiki mtu mzima kuhangaika hivi,hizi ni chuki na siasa za majitaka. najiuliza ingekuaje kama Bashe angekua amezaliwa nje ya Tanzania?
 
Huu ni uhuni. Bashe ni raia halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake! Very sad!
Mkuu FGM, kwa mujibu wa hozo nondo, BASHE sio raia halali. Ili kuwa raia halali wa Tanzania ni lazima
  1. Uraia wa kuzaliwa, ila pia lazima mmoja wa wazazi wako awe ni rais pindi ilipozaliwa!.
  2. Bashe ana haki zote za uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, bila ubishi, ila wakati anazaliwa, wazazi wake wote wawili walikuwa sio raia!. Hivyo pamoja na kuzaliwa na haki zote za uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, kufuatia wazazi wake wote wawili kuwa sii raia wakati anazaliwa, alipaswa baada ya kufikia "the age of majority", umri wa miaka 18, alipaswa kula kiapo cha kuukana uraia wa wazazi wake, ili kuuhalalisha "birth right" yake ya uraia wa Tanzania!.
  3. Bashe amelikwepa hilo kwa kufanya forgery ya vyeti vya kuzaliwa vya mama yake na baba mzaa mama ili kujihalalisha kuwa yeye ni raia halali wa Tanzania kwa kigezo cha kuzaliwa Tanzania na mmoja wa wazazi wake, Mama ni Mtanzania!.
  4. Vile vyote viwili ni forgery, vyote viwili vimetolewa tarehe siku moja na kusainiwa na mtu mmoja aliyekuwepo sehemu mbili tofauti!.
  5. Hakuna chuki yoyote binafsi dhidi ya Bashe, bali hitaji lake ni dogo tuu, wala halihitaji kutoa matangazo magezetini, anachotakiwa kufanya ni kuukana tuu uraia wa wazazi wake wakati alipozaliwa!. Angekuwa ndio anaomba uraia ingembidi kutoa tangazo gazetini kwa siku mbili mfufulilizo!.

Wanabody, haya masuala ya uraia sio politics, ni mambo ya kufuata sheria taratibu na kanuni, nothing more,
nothing less, ila pia lazima nikiri wazi kabisa, Tanzania tuna double standars sana!. Ile hoja ya Mchungaji Mtikila, kuna nanii pia hakuwa raia halali, kwa sababu alizaliwa nchumbiji, na alikuja nchini akiwa na umri wa miaka 6, huku nchini ni upande wake wa umamani, hata jina la che ni la upande wa umamani!, hakusikilizwa!.

P.
 
Hata mwandishi amepika data basi yeye ni fundi na mpishi mzuri sana wa data.
Ila UKWELI upo humohumo kwenye maelezo we soma rudia tena na tena utaona ni majungu na uoga wa mpinzani wake na BASHE.
Watatumalizaaaaa....
 
Mkuu FGM, kwa mujibu wa hozo nondo, BASHE sio raia halali. Ili kuwa raia halali wa Tanzania ni lazima
  1. Uraia wa kuzaliwa, ila pia lazima mmoja wa wazazi wako awe ni rais pindi ilipozaliwa!.
  2. Bashe ana haki zote za uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, bila ubishi, ila wakati anazaliwa, wazazi wake wote wawili walikuwa sio raia!. Hivyo pamoja na kuzaliwa na haki zote za uraia wa Tanzania wa kuzaliwa, kufuatia wazazi wake wote wawili kuwa sii raia wakati anazaliwa, alipaswa baada ya kufikia "the age of majority", umri wa miaka 18, alipaswa kula kiapo cha kuukana uraia wa wazazi wake, ili kuuhalalisha "birth right" yake ya uraia wa Tanzania!.
  3. Bashe amelikwepa hilo kwa kufanya forgery ya vyeti vya kuzaliwa vya mama yake na baba mzaa mama ili kujihalalisha kuwa yeye ni raia halali wa Tanzania kwa kigezo cha kuzaliwa Tanzania na mmoja wa wazazi wake, Mama ni Mtanzania!.
  4. Vile vyote viwili ni forgery, vyote viwili vimetolewa tarehe siku moja na kusainiwa na mtu mmoja aliyekuwepo sehemu mbili tofauti!.
  5. Hakuna chuki yoyote binafsi dhidi ya Bashe, bali hitaji lake ni dogo tuu, wala halihitaji kutoa matangazo magezetini, anachotakiwa kufanya ni kuukana tuu uraia wa wazazi wake wakati alipozaliwa!. Angekuwa ndio anaomba uraia ingembidi kutoa tangazo gazetini kwa siku mbili mfufulilizo!.

Wanabody, haya masuala ya uraia sio politics, ni mambo ya kufuata sheria taratibu na kanuni, nothing more,
nothing less, ila pia lazima nikiri wazi kabisa, Tanzania tuna double standars sana!. Ile hoja ya Mchungaji Mtikila, kuna nanii pia hakuwa raia halali, kwa sababu alizaliwa nchumbiji, na alikuja nchini akiwa na umri wa miaka 6, huku nchini ni upande wake wa umamani, hata jina la che ni la upande wa umamani!, hakusikilizwa!.

P.

Pasco, if I remember correctly, mwaka jana Bashe aliandika kwa kirefu kuhusu uraia wake pamoja na hatu ambazo alichukuwa kabla kusawazisha mambo kabla ya kujaza fomu za kura za maoni CCM (2010). Kuna viapo vilifanyika mahali maana aliambiwa kabisa uraia wake ulikuwa na kasoro kwa sababu ya wazazi wake kutokuwa raia wa Tanzania. Sasa hii habari za vyeti upande wa mama is very interesting!

NB: Unakumbuka ya Arumeru?
 
Pasco, if I remember correctly, mwaka jana Bashe aliandika kwa kirefu kuhusu uraia wake pamoja na hatu ambazo alichukuwa kabla kusawazisha mambo kabla ya kujaza fomu za kura za maoni CCM (2010). Kuna viapo vilifanyika mahali maana aliambiwa kabisa uraia wake ulikuwa na kasoro kwa sababu ya wazazi wake kutokuwa raia wa Tanzania. Sasa hii habari za vyeti upande wa mama is very interesting!

NB: Unakumbuka ya Arumeru?
Mkuu FJM, alijaza affidavits based on uraia wa mama yake!. Ni baada ya kuona hizo attachments ndipo kugundua kuwa kumbe aliforge uraia wa mama yake ili kuwa Mtanzania. Mpaka hivi tunavyozungumza, Baba yake alishaomba uraia wa Tanzania na ni raia halali wa kuomba, pia ndugu zake, wameomba uraia wa Tanzania na ni raia halali!. Mama yake wala Bashe, hawakuwahi kuomba uraia popote, hivyo Bashe ni Mtanzania halali kwa kuzaliwa ila sio raia halali wa Tanzania mpaka kwanza aukane Usomali!.

Ile ya Arumeru, ni vivyo hivyo, na ndizo hizi double standards ninazo zizungumzia!. Kijana wetu wa Arumeru ni Mkenya!, itambidi aukane Ukenya ili kuwa Mtanzania halali!.
P.
 
Maganga Masanja,
NZEGA.
TABORA
+255786731566 (DSO)
18th Sept. 2012

Katibu Mkuu,
Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu DODOMA.

Mheshimiwa,

Yah: Taarifa Kuhusu Ndugu Husein Mohamed Bashe
Mkuu Dotword, asante kwa kuiweka vizuri hii kitu!. Mkuu gwaigwa, replace ile post yako kwa hii post ya Dotword!.
P.
 
Leo kuna barua nimeikuta ofisini kwetu ikijadiliwa na wakubwa, ni kutoka kwa mdau mmoja wa Nzega anayejiita Maganga Masanja amemwaga data za uraia wa Basha nimeisoma nikashangaa
Mkuu Gwaigwa, replace hii poat yako kwa post ya mkuu dorword.

Maganga Masanja,
NZEGA.
TABORA
+255786731566 (DSO)
18th Sept. 2012

Katibu Mkuu,
Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu DODOMA.

Mheshimiwa,

Yah: Taarifa Kuhusu Ndugu Husein Mohamed Bashe
Mkuu Dotword, asante kwa kuiweka vizuri hii kitu!. Mkuu gwaigwa, replace ile post yako kwa hii post ya Dotword!.
P.
 
Ana haki ya kupata uraia wa Kuzaliwa kwani alizaliwa Tanzania, mengine ni siasa za magazetini kasomeni sheria ya uraia wa tanzania tena.
 
Mkuu FJM, alijaza affidavits based on uraia wa mama yake!. Ni baada ya kuona hizo attachments ndipo kugundua kuwa kumbe aliforge uraia wa mama yake ili kuwa Mtanzania. Mpaka hivi tunavyozungumza, Baba yake alishaomba uraia wa Tanzania na ni raia halali wa kuomba, pia ndugu zake, wameomba uraia wa Tanzania na ni raia halali!. Mama yake wala Bashe, hawakuwahi kuomba uraia popote, hivyo Bashe ni Mtanzania halali kwa kuzaliwa ila sio raia halali wa Tanzania mpaka kwanza aukane Usomali!.

Ile ya Arumeru, ni vivyo hivyo, na ndizo hizi double standards ninazo zizungumzia!. Kijana wetu wa Arumeru ni Mkenya!, itambidi aukane Ukenya ili kuwa Mtanzania halali!.
P.

Pasco, ninachoweza kusema kuna watanzania wenye roho ngumu kushinda Savimbi. Jinsi huyo mtu alivyofutatilia familia nzima ya Bashe is just increadible! He/she even befriended a family member just to get inside information. Lakini labda tujiulize, hivi kweli huyu mtoa habari ni raia wa kawaida tu au ni mtu maalum wa kummaliza Bashe?
 
Pasco, ninachoweza kusema kuna watanzania wenye roho ngumu kushinda Savimbi. Jinsi huyo mtu alivyofutatilia familia nzima ya Bashe is just increadible! He/she even befriended a family member just to get inside information. Lakini labda tujiulize, hivi kweli huyu mtoa habari ni raia wa kawaida tu au ni mtu maalum wa kummaliza Bashe?
Mkuu FjM, barua inajieleza wazi the motive behind, kazi iliofanyika ni investigative, rais wa kawaida hawezi kuifanya bila kuwezeshwa, the motive behind "muwezeshaji" leaves much to be desired ndio maana utashangaa "muwezeshaji" this time, very soon atachangia uzi huu ili kututhibitishia sisi na yeye anashangaa!. This is "character assasinations" lakini angalau hizi zina facts to hold water, alichofanyiwa Dr. Salim ile 2005, ita wa just a "make belive"!.
P.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Huu ni uhuni. Bashe ni raia
halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa
nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na
huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake!
Very sad!

Huu ni uhuni. Bashe ni raia
halali kwa mujibu wa taratibu na sheria za uhamiaji Tanzania. Sijui kwa
nini watu wanaendeleza hizi porojo za kizamani. Wanashindwa kupambana na
huyo kijana kwenye ulingo wa siasa, sasa wanajificha kwenye uraia wake!
Very sad!

Mkuu ni vigumu sana kusema huu ni uhuni pasipo kutoa vielelezo vya kutosha juu ya tuhuma hizi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina mwandishi wa barua hii.Watu makini hawawezi kupinga hoja hii kwa juujuu kiasi hicho.Yapo mambo mengi ya kujiuliza juu ya uraia wa Bashe,na kama uraia huu hautawekwa sawa kisheria itakuwa ndo mwisho wa Bashe kwenye ulingo wa siasa. Pamoja na hayo ipo haja pia ya kujua watu wanaompatia Bashe mamilioni ya pesa kwa ajili ya kufanyia siasa ni akina nani na nini malengo yao.Kwani kipato cha Bashe ni tofauti na mamilioni ya pesa anayotoa kwenye siasa.Tuombe wizara ya mambo ya ndani ifuatilie kwa umakini mtu huyu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu ni vigumu sana kusema huu ni uhuni pasipo kutoa vielelezo vya kutosha juu ya tuhuma hizi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina mwandishi wa barua hii.Watu makini hawawezi kupinga hoja hii kwa juujuu kiasi hicho.Yapo mambo mengi ya kujiuliza juu ya uraia wa Bashe,na kama uraia huu hautawekwa sawa kisheria itakuwa ndo mwisho wa Bashe kwenye ulingo wa siasa. Pamoja na hayo ipo haja pia ya kujua watu wanaompatia Bashe mamilioni ya pesa kwa ajili ya kufanyia siasa ni akina nani na nini malengo yao.Kwani kipato cha Bashe ni tofauti na mamilioni ya pesa anayotoa kwenye siasa.Tuombe wizara ya mambo ya ndani ifuatilie kwa umakini mtu huyu.

The end justifies the means! CCM madhubuti bado ipo?
 
Mkuu ni vigumu sana kusema huu ni uhuni pasipo kutoa vielelezo vya kutosha juu ya tuhuma hizi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina mwandishi wa barua hii.Watu makini hawawezi kupinga hoja hii kwa juujuu kiasi hicho.Yapo mambo mengi ya kujiuliza juu ya uraia wa Bashe,na kama uraia huu hautawekwa sawa kisheria itakuwa ndo mwisho wa Bashe kwenye ulingo wa siasa. Pamoja na hayo ipo haja pia ya kujua watu wanaompatia Bashe mamilioni ya pesa kwa ajili ya kufanyia siasa ni akina nani na nini malengo yao.Kwani kipato cha Bashe ni tofauti na mamilioni ya pesa anayotoa kwenye siasa.Tuombe wizara ya mambo ya ndani ifuatilie kwa umakini mtu huyu.

Hayo mamilioni kapewa nani au na wewe ni beneficiary?
 
Tangu tulipogeuza pesa kuwa kigezo cha kupata uongozi kwenye siasa hayo ndio matokeo yake ni kweli kuna makundi ya kisomali na wahindi wanasapoti watu wa asili yao wapate nyazifa za kisiasa ili walinde maslahi yao lakini pia wamekuwa wanasapoti hata wanzania wa asili ili mradi wakiingia huko mambo yao yaweze kwenda sawa lakini tumeona matukio mawili ya ajabu wakati nchi yetu inasifika kama nchi ya amani leo hii tumeona matumizi ya vitisho vya kutumia silaha za moto na kati ya matukio hayo mawili yametokea Tabora yakihusisha watu wa asili ya somalia ambao mpaka leo hawana serikali inayoeleweka.Nani amesahau sakata la mwamuzi mwenye asili ya kisomali ambaye wakati rage ni katibu mkuu wa FAT sasa tff alivyokuwa akipewa nafasi za kuchezesha mechi za afrika kila nafasi inapotokea kwa waamuzi wa Tanzania.Watu hawa ni vigumu kuwaona sura ya halisi ila tunapokuwa na migogoro kama tuliyonayo na Malawi ndipo utajua madhara yake.Bashe ametuhumiwa kumpiga mfanyakazi mwenzake katika kampuni ya habari leo ingawa vitendo hivyo ni vingi Tanzania siachi na kuhusisha asili yake.Wakati jwtz walipowakamata maharamia walisema watu hao walikuwa wanapata msaada toka ndani ya Tanzania kwani walifanya doria na hawakuweza kuwaona leo hii kariakoo na sehemu nyingi za Dar es salaam zimejaa wahamiaji haramu wakiongozwa na wasomali na pia kuna silaha nyingi ambazo zimechangia kuongeza uhalifu wa kutumia silaha.Kama hawa watu wanataka kuishi nchini mwetu wafate sheria na wasijiingize kwenye siasa.
 
yaani nimeisoma kwa makini sana, lakini kuna sehem naona hujaweza kunielewesha vizuri.

Kwanza wewe si mwananchi wa kawaida kama unavoandika, ukusanyaji wa taarifa muhimu namna hii haiwezekanani kwa mwananchi wa kawaida kupata nyaraka muhimu kiasi hiki na kziweka ktk mtandao, naamini wewe ni mtu mwenye madaraka ktk jamii na ndiyo maana haya umeyaweza.

Pili hujaweza kunieleza vema ni nini tofauti ya uzalendo, Utaifa na Uraia, (Patriotism, Nationalism and Nationality) ni sifa ipi inaweza kumnyima au kumpa mtu uongozi.

Tatu kwanini wakati wa uchaguzi anakuwa si raia lkn wakati wa baada ya uchaguzi anakuwa raia.

Na mwisho ni mahakama au home affair wanaweza kumkataa mtu kuwa raia, na mwisho nimepima uelewa wa mwandishi, uwezo wa uandaaji wa taarifa, marejeo ya kisheria na vifungu alivyonakili ktk katiba, matumizi ya vifaa vya electronics km Scanner, Email, computer, Upload and Download, Documentation, na hata nashawishika kuamini this is a Proffesional Figure DESIGNED FOR DEPLOYEMENT OF A POLITICAL GAME. LKN PIA NASHUKURU UPINZANI HUU UNATOKA KTK CHAMA TAWALA.
 
CCM Mna FitnA. Mtataona roho na hayo Majimbo ...mnachafuana sana Mwisho mtaanzA Itana Mashoga...Majimbo mmekalia kutI Kavu..Chadema akifanya Bidii anachukua hayo Majimbo. Yenu.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mkuu ni vigumu sana kusema huu ni uhuni pasipo kutoa vielelezo vya kutosha juu ya tuhuma hizi ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina mwandishi wa barua hii.Watu makini hawawezi kupinga hoja hii kwa juujuu kiasi hicho.Yapo mambo mengi ya kujiuliza juu ya uraia wa Bashe,na kama uraia huu hautawekwa sawa kisheria itakuwa ndo mwisho wa Bashe kwenye ulingo wa siasa. Pamoja na hayo ipo haja pia ya kujua watu wanaompatia Bashe mamilioni ya pesa kwa ajili ya kufanyia siasa ni akina nani na nini malengo yao.Kwani kipato cha Bashe ni tofauti na mamilioni ya pesa anayotoa kwenye siasa.Tuombe wizara ya mambo ya ndani ifuatilie kwa umakini mtu huyu.

Mkuu kuna vijana wengi ndani ya CCM wanagombea nafasi za kisiasa kwa kumwaga pesa kuliko Bashe,kwanini anaandamwa Bashe tu? Mimi naamini kuna matatizo kidogo ktk uraia wake,yanayotakiwa kusahihishwa na maisha yakasonga mbele. Amezaliwa Tanzania na amekulia Tanzania,ataendelea kuishi Tanzania.
 
hahahahahaaaaaaa..... I wish Watanzania wengi tungekua detail oriented na makini namna hii, na uliponimaliza ni pale ulipoweka sababu ya kila unaem forwardia barua unam forwadia ili aifanye nini... hahaahaahaaaa....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom