Uhamiaji pitieni hapa

yaani hapo ndio upeo wa akili yako ulipoishia? au kwa kuwa mtoa uzi hamshei mama? kwa taarifa yako kila dhuluma moja kwa mtanzania ni hasara kwa taifa zima we poyoyo; na bahati yako hapa siwezi kukuzaba vibao
na wewe unakuwa

yale meusi manyamwezi ya Zanzibar yalibaguliwa na nani?
 
Suala siyo kuajiriwa wageni, suala ni wageni kuwa na makaratasi yanayowaruhusu kuajiriwa.

Kwani Coca-Cola Kwanza ikiwa ya Mengi ndio isimulikwe na vyombo vya dola?
Wanayo makaratasi yote...n huyu mvivu analalamika tu hapa
 
Wacha uzembe wa kufikiri. Just imagine, mtanzania ni mhasibu, salary yake ni 650,000/- lkn PS wa MD ni mhindi, mshahara wake 2,650,000/-. We unaona sawa?
kwenye private sector mshahara wako ni bargaining power yako
 
Chadema muwe makini sana tena sana uchaguzi ujao mnaweza msipate jimbo lolote labda kwenu kaskazini. Watu wanaiona rangi yenu halisi sasa.
kwani hapa kuna kongamano la vyama? wewe unawakilisha chama gani arif?
 
Huelewi kitu unachoongea ndugu yangu. Ila bila shaka ww utakuwa ni kijana mmoja hvi mpuuzi sana , ambaye bado unanyonya kwa wazazi..

Haya kazana sana
acheni hasira onyesha productivity yako utalipwa vizuri
 
Jamani taarifa kama hizi serikali hususani Idara ya Uhamiaji kwa kushirikiana na Idara ya Kazi wafanye msako wa pamoja kukamata wahamiaji haramu wapo wengi sana wanafanyakazi kwenye makampuni mbalimbali bila vibali vya serikali ni uhujumu uchumi na wizi wa ajira za watanzania wenzetu.

Wageni hawa wamekuwa na lugha mbaya sana kwetu watanzania wamekuwa wakitusema, kututukana na kutudharau kwa kigezo cha ujinga wetu na upole tulionao sasa umekuwa unatumika vibaya na wageni.

Isipokuwa hapo Coca Cola ni kweli kuna zaidi ya wageni 17 ambao wanalipwa mishahara yakutisha, pengine nitoa angalizo hili huyu ndugu aliyetajwa kuwa ni Mkenya hapana sio, Otaigo ni mswahili wa Tarime kasomea nchini Kenya kuanzia ujana wako kwa hiyo lafudhi ya kikenya imemwathiri, hao wengine ni sawa kabisa inabidi wakamatwe na kufukuzwa nchini.
Ninavyofahamu mimi sheria ya uwekezaji inamtaka mwekezaji asiajiri wageni zaidi ya 5 lakini Coca wamezidi wapo 17!! ni ajabu sana, hebu vyombo vya dola fanyeni kazi yenu kwa weledi mtafukunyua mengi.
 
Kumbe uhamiaji wamekula rushwa!!!!
 
Wafichueni mchana kweupe hata atakayetaka rushwa aone aibu. warudi makwao wote. Mwenye namba ya simu ya waziri kitwanga au katibu wa wizara ampe huyu jamaa ili majibu yatumbuliwe.
 
hapa ni nini hasa..wivu wa watu kulipwa laki sita ya chakula au?

hio ni kampuni binafsi arif
You must be out of your mind. Kwanini wasilipwe hiyo laki sita kwao?

Hamna nchi yoyote duniani inayowaachia wageni kuajiriwa kiholela kama unavyotaka kutuaminisha. Kama wwe ni mmoja wao, pack and go before..........
 
You must be out of your mind. Kwanini wasilipwe hiyo laki sita kwao? Hamna nchi yoyote duniani inayowaachia wageni kuajiriwa kiholela kama unavyotaka kutuaminisha. Kama wwe ni mmoja wao, pack and go before..........

mkuu hiyo ni kampuni binafsi.....haitumii kodi yako...ni mmiliki ameona bora alipe that much kwa sababu ya competence ya hao wafanyakazi...wewe endelea kupiga porojo

Ingelikuwa hata mwekezaji mwenyewe ni foreigner hapo sawa...lakini a local personnn.....nooo.maana yake watanzania tuko In competent
 
Naona huwajui wahindi wewe kwa wizi!

Kama kumbukumbu zangu ni sahihi Mwalimu Nyerere aliwahi kusema hivi: Tofauti ya rushwa ya Tanzania na nchi za Asia (India ikiwemo bila shaka) ni kuwa aliyekula rushwa (kuhusiana na ujenzi wa barabara) Asia barabara itajengwa lakini kwa Tanzania barabara haitajengwa.
 
Ninavyofahamu mimi sheria ya uwekezaji inamtaka mwekezaji asiajiri wageni zaidi ya 5 lakini Coca wamezidi wapo 17!! ni ajabu sana said:
Hii Ya kuajiri more than 5 foreigners ni kweli?
 
utawala wa sasa ni wakukurupuka na kushtukiza,labda zamu yenu itakuwa mwezi wa saba mwaka 2019
 
bora hao wabongo wanaajira za kudumu huku kwa mengi sis ni vibarua na wapakiaji masanduku ya vyoda sehem zenye tija wahindi ndo wapo na wakenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…